Nchi ya viwandaNasoma msg imetumwa muda huu.. KUANZIA LEO TAR 11/2/17
Kg 15 wakala watanunua kwa sh 45"000 badala ya 46"000 na mdogo 18"000 badala ya 18"500
Watauza kg 15 kwa sh 51"000 badala ya 52"000 ya awali na ndogo 21"000 badala ya 21"500 ya awali
Tuendelee kupiga kelelee waziri husikaa hii ni dhahama kwa taifa masikini kama hili. Nina imani hamjawapindishia kodi ya kufikia kuongeza elfu tisa kwa mtungi wa 15kg. tunaomba sauti zenu zitumike kusaidia wananchi na sio kwenye umeme tu
Wenu