asante for sharing mkuuINAAGIZWA NJE INALETWA NA KUSHUSHWA SBM NA KOJ
duuh, ile theory ya malaika kua shetani naanza kuiona sasa😀😀😀Mimi natumia mtungi mkubwa. Mwezi wa kumi na moja nilinunua kwa 108000. Wiki mbili zilizopita ndio umeisha, nimenunua 115000.
-callmeGhost
Wameshajua kunapokuwa na issue ya muhimu wanatafuta cha kupotezea maana sioni anayejadili bei ya unga kuzidi kupanda wala wanafunzi kufeli
Sembe kiroba cha kilo 25 sh 40000/= gas nayo imeongezeka 1000 nzima haya hamuyaoni mnayaona ya cocaine tu okay
Kupanda kwa gas= kuongezeka kwa matumizi ya mkaa na kuni=kuongezeka uharibifu wa mazingira=kupungua mvua=kupungua uzalishaji mazao= kupungua uzalishaji wa umeme wa maji=kuongezeka kwa gharama za uzalishaji=kupungua kwa uwezo wa wananchi kununua bidhaa=Viwanda na biashara kufugwa= watu kupoteza ajira=mfumuko wa bei=matumaini ya uchumi kukua kwa 7.2% kutoweka na kuwa story, Mh Mhongo, Mh Mpango wakati wa kupanga ni sasa, muache waongeze maji iwe uji ama mpunguze maji tule ugali. Nawakilisha