Gesi imepanda bei kuanzia leo tar 9/2/2017

Kwenye kampeni tuliambiwaga kuwa wachina wamepewa gesi kwa kipindi cha miaka kumi kwa majaribio, so bado wapo LAB wanafanya majaribio
 
Kwenye kampeni tuliambiwaga kuwa wachina wamepewa gesi kwa kipindi cha miaka kumi kwa majaribio, so bado wapo LAB wanafanya majaribio
Mkuu, ungefanya uchunguzi kidogo kujua hasa unachozungumzia. Umesema wazi ya kuwa umenunua gesi ya LPG na wakati huo huo unashangaa manufaa ya gesi ya visimani (ya Songo songo). Hivyo ni vitu viwili tofauti. LPG ni aina ya gesi mgandamizo ambayo inashindiliwa kutokana na mchakato wa kupata mazao ya mafuta ghafi. Kwa maana hiyo, inaagizwa toka nje ya nchi na makampuni. Ni bidhaa kama zingine zinazoagizwa nje. Gesi ya Songo songo inaitwa natural gas, hii kwa sasa mostly inatumika kwenye uzalishaji wa umeme na kuendesha mitambo viwandani.

Tukirudi kwenye hoja yako, kwa sababu LPG inatolewa kutoka kwenye mafuta ghafi, kuna uwezekano bei yake pia ikafuatana na ile ya mafuta. Bei ya mafuta kwa sasa inaongezeka, si ajabu pia bei ya LPG kuongezeka.
 
Habari wadau!
Hivi gesi inayotoka mtwara ni yetu wa Tanzania au serikali ilitudanyanya..? Nimestaajabu baada ya uwepo na uzalishaji wa gesi kuongezeka nilitaraji bei itashuka..
Ila imekua viceversa, yaani bei imepanda kutoka 42,000= hadi 52,000= ..!! Daah huku sasa kukamuana damu aiseee
 
Habari wadau!
Hivi gesi inayotoka mtwara ni yetu wa Tanzania au serikali ilitudanyanya..? Nimestaajabu baada ya uwepo na uzalishaji wa gesi kuongezeka nilitaraji bei itashuka..
Ila imekua viceversa, yaani bei imepanda kutoka 42,000= hadi 52,000= ..!! Daah huku sasa kukamuana damu aiseee
Mkuu gas tunayotumia majumbani kupikia siyo ya mtwara ile ni imported ni butane.
Gas ya mtwara siyo kwamba haiwezi kuchakatwa ikaanza tumika kwa matumizi ya kupikia lakini kwa sasa bado.
Ila siungi mkono kupanda kwa bei ya gas bali nakusahihisha usije fikiria hii gas inatoka mtwara.
 
Mbona sijaona au kusikia maelezo ya kupanda kwa gesi ya kupikia, naona EWURA wako kimya, huku mikoani gesi umetoka 47,000/- hadi 54,000/- mwenye habari yake ya kupanda kwa gesi ya LPG, atuwekee hapa.
 
Mbona walitangaza muda kama mwezi kuwa gas itapanda, wengine tushazoea maana hata ukishindwa kuyazoea bado yanakaza, komaa mkuu
 
Ewura should say something. Gas ya mitungi ya Oryx hapa Dsm ilikuwa 42,000 mwezi uliopita. Sasa ni 54,000. Kwa nini inapanda kimya kimya?
 
Jana nmenunua mtungi wa kilo 30 kwa sh 50,000....hatari hii
Nafikiri utakuwa umekosea kidogo, huo mtungi ni wa kilo 15, hakuna package ya 30kg, hata ingekuwepo usingepata Kwa 50,000/-. Yaani jamaa wamepandisha mno, huku Wana mazingira wakisema tumieni gesi sasa hii itafanikiwa kweli?
 
Back
Top Bottom