Gerald Hando & Babra Hassan Msiogope Jamii Forums!

Gerald Hando & Babra Hassan Msiogope Jamii Forums!

pande hz haziwezi yeye ataishia kuendesha Jahazi na Gamba lake! JF siyo pande za viraza.


ahhh wale wote wana ID jf...ata kaka kibss wa kibonde anayo
muda mwngne nawashtukiaga utakuta mtu anaanzisha uzi wa clouds ivi...kumbe ni wao wenyewe wanatafuta maoni


hando kapoa kdg tangu apewe onyo...

apunguze ushabiki na atumie akili...tatizo la hando ni

1.USHABIKI UMEMZID NA UMEMZIBAMACHO so awez tena kutumia akili nyeupe kujaj mambo b4 ajapanua domo lake
2.ujana.ukinondon umemzd sana..mambo atakayojadili pale stereo bar na washkaji zake basi ndo ayo ayo anayaptsha kuwa ni kweli na kuyaongelea kwa kiond
3 nadhan smtmes anatumika pia...unampa kitu kdg then unamditekt aongee nin ili amwaribie flan kwa maslahi flani

4.sijui km alienda chuo cha utangazaji au kijielimu kdg ata kidiploma km anacho sjuiiiiiiiiiiiii...ni umjn mjin tu...ukiwa na tps bas unapewa dawat ufanye kazi


USHAURI

mimi nakupenda kaka hando nakwambia ukweli km vp nenda shule ukapgwe brash...yes idea na uzoefu wa utangazaj unao bt u nid some brash ili ujue ethics,principles na swaga zinazoongoza utangazaj ili mwsho wa siku uheshimike na kaz yako


kuna mtu alikuwa dereva kwa miaka zaidi ya 30 lakin akuwai kwenda driving skul/kufundishwa properly...basi kuna siku akapelekwa driving skul ahh alivyotoka apo akaadmit kabisaa dah kumbe NIMETENDA MAKOSA MENG SANA /NILIKUWA SIJUI KUENDESHA GAR...ingawa alikuwa anaendesha magar mpk uko kongo...zambia.....NADHAN UMENIELEWA NATAKA KUSEMA NINI...bas poa we fanya ivo....KIROHO SAFI TU.
 
Jf,is a place to be..ukikosa lazima uimiss...rahaaaaa,utyamuuu..huku hakuna msongo wa mawazo..!
 
Hando ana ushahabiki wa kipuuzi sana nahisi atakuwa gamba.Siku alipokuwa anairusha clip ya Rwakatari alionesha anavoichukia CDM.Mtu mwenye kufanya reasoning asingeikomalia vile.Jamaa ana maneno ya kimbea sana

Capacity ya kufikiria kwao ni ndogo, labda kama mnataka comedians, they are the best!
 
Mie napenda kazi yao
Ni wabunifu, hata kama natofautiana nao kiitikadi za siasa, hainisumbui

Ubunifu ulikuwa wa Fina na Masoud (Kipanya) na ndio maana bado wanaendelea vizuri katika "solo" careers zao baada ya kutoka Clouds.......Gerald alikuwa anakoroga chai tu!

fina-mango3bc.jpg
 
Tatizo la baadhi ya wasemaji (sio watangazaji) wa clouds wanajiona wanajua kila kitu na wanavyotafsiri jambo wao wanaona ndio sahihi. Mtu wa namna hii ana mawazo mgando na ukitoa hoja ya kupingana naye, hamuwezi kwenda naye sambamba. Hili ni tatizo kubwa kwenye media za bongo kwasababu wachache sana wanabobea kwenye eneo fulani.
 
muda wa JF atautoa wapi,yeye studio na vibinti vya ifm

aende shule kafute matongotongo
 
Ni kazi sana kujulikana
Watu wanakuweka kati wanaanza kukuchambua

Kila mtu kwenye kazi yake ana mapungufu
Ndi maana kuwa kuna idara za 'continuous Improvement'

Mtu ukiwekwa kati hapa, lazima watu wakutoe kasoro tu, ndio ubinadamu lakini kiukweli wanajitahidi sana.
 
Jamii Forums
It has been and will forever be
The Home of Great Thinkers
 
Huyu G Hando huwa anajiita MKUDA! Nini maana ya hili neno???
 
Ni kazi sana kujulikana
Watu wanakuweka kati wanaanza kukuchambua

Kila mtu kwenye kazi yake ana mapungufu
Ndi maana kuwa kuna idara za 'continuous Improvement'

Mtu ukiwekwa kati hapa, lazima watu wakutoe kasoro tu, ndio ubinadamu lakini kiukweli wanajitahidi sana.

Wewe Kongosho vijipointi unavyodondosha hapa ni dhahiri walimu wako hawakua wakilipua kazi na wajibu wao!
Kimtazamo wawezaishi sehemu yeyote duniani !
Tatizo lako moja tu, msuba!
Ukiachana nao nakupigia debe la ulekchara St Augustine (SAUT)
Nota Bene ;
Ukifanikiwa ulekchara st Augustine italazimu kwanza NIKUKAGUE mi mwenyewe! Tena UKAGUZI yakinifu na uliotukuka, ndiyo ajira ipande.
 
Last edited by a moderator:
hapa ni home of great thinker not weak thinker so hakuna ukasuku hapa.
 
ahhh wale wote wana ID jf...ata kaka kibss wa kibonde anayo
muda mwngne nawashtukiaga utakuta mtu anaanzisha uzi wa clouds ivi...kumbe ni wao wenyewe wanatafuta maoni


hando kapoa kdg tangu apewe onyo...

apunguze ushabiki na atumie akili...tatizo la hando ni

1.USHABIKI UMEMZID NA UMEMZIBAMACHO so awez tena kutumia akili nyeupe kujaj mambo b4 ajapanua domo lake
2.ujana.ukinondon umemzd sana..mambo atakayojadili pale stereo bar na washkaji zake basi ndo ayo ayo anayaptsha kuwa ni kweli na kuyaongelea kwa kiond
3 nadhan smtmes anatumika pia...unampa kitu kdg then unamditekt aongee nin ili amwaribie flan kwa maslahi flani

4.sijui km alienda chuo cha utangazaji au kijielimu kdg ata kidiploma km anacho sjuiiiiiiiiiiiii...ni umjn mjin tu...ukiwa na tps bas unapewa dawat ufanye kazi


USHAURI

mimi nakupenda kaka hando nakwambia ukweli km vp nenda shule ukapgwe brash...yes idea na uzoefu wa utangazaj unao bt u nid some brash ili ujue ethics,principles na swaga zinazoongoza utangazaj ili mwsho wa siku uheshimike na kaz yako


kuna mtu alikuwa dereva kwa miaka zaidi ya 30 lakin akuwai kwenda driving skul/kufundishwa properly...basi kuna siku akapelekwa driving skul ahh alivyotoka apo akaadmit kabisaa dah kumbe NIMETENDA MAKOSA MENG SANA /NILIKUWA SIJUI KUENDESHA GAR...ingawa alikuwa anaendesha magar mpk uko kongo...zambia.....NADHAN UMENIELEWA NATAKA KUSEMA NINI...bas poa we fanya ivo....KIROHO SAFI TU.
Yaelekea unamfahamu kweli...!
 
Back
Top Bottom