Gerald Hando hata Wewe?

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,460
29,157
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikuwa najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kufanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin mara nyingi huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua hot sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanayohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.

- Hando aungana na Ndugai kupinga Serikali inavyokopa kopa ovyo

Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
 
Ni neema tupu....

Mkataba wetu na DPW unakwenda kuuondoa urasimu na "status quo" iliyoko bandarini.... haiwezekani bandari za nchi jirani ,Lamu na Mombasa ziwe na ubora wa kupakia na kupakua mizigo ndani ya siku 3 ,zetu ziwachukulie wafanyabiashara siku 7 ,siku 14 hadi mwezi na nusu....AIBU HII ...

Tunapoteza mapato kiasi gani.

Tunawaumiza wafanyabiashara kiasi gani.

Turidhie kukimbiwa na wafanyabiashara wa hizi nchi 8 zinazotuzunguka?!!!

Serikali ya awamu ya 6 inakwenda kuukata huo mzizi wa fitina

Kongole kwake mh.Rais SSH

#SiempreJMT
 
Ni neema tupu....

Mkataba wetu na DPW unakwenda kuuondoa urasimu na "status quo" iliyoko bandarini.... haiwezekani bandari za nchi jirani ,Lamu na Mombasa ziwe na ubora wa kupakia na kupakua mizigo ndani ya siku 3...

Wezi na vibaka wameajiri vibaraka vyao mitandaoni kuikashifu serikali na kupotosha wananchi kuhusu Hilo,wananchi ni waelewa na wamewapuuza,ni watu wanaopoteza muda wao tuh.
 
Ni neema tupu....

Mkataba wetu na DPW unakwenda kuuondoa urasimu na "status quo" iliyoko bandarini.... haiwezekani bandari za nchi jirani ,Lamu na Mombasa ziwe na ubora wa kupakia na kupakua mizigo ndani ya siku 3 ,zetu ziwachukulie wafanyabiashara siku 7 ,siku 14 hadi mwezi na nusu....AIBU HII ...

Tunapoteza mapato kiasi gani....

Tunawaumiza wafanyabiashara kiasi gani....

Turidhie kukimbiwa na wafanyabiashara wa hizi nchi 8 zinazotuzunguka?!!!

Serikali ya awamu ya 6 inakwenda kuukata huo mzizi wa fitina

Kongole kwake mh.Rais SSH

#SiempreJMT
Hujaelewa hata. Na pengine hujasoma andiko langu lote. Kweli ukitaka kumficha mbongo neno litie kwenye maandishi.

1) Serikali hailaumiwi kwa kuweka mwekezaji. Hata kabla ya DPW walikuwepo TICTS kwenye makontena hivyo kwa DPW kuwekeza sio issue.

2) DPW halaumiwi kwamba ni mbaya. Amewekeza sehemu mbalimbali tu Kwa mafanikio makubwa. Na hata akija hapa tuna imani tutapiga hatua.

3) Shida ni kua tunakaa nae Kwa muda Gani?
Na kipindi hicho tuko nae ye atapata nini na sie tutapata nini
Tukiona haturidhishi tunaweza kumtoa?
Atatuletea mitambo, workers, technology au nini hasa?
Na siku akiamua yeye kuondoka (manake sie hatuwezi kumtoa labda) ataacha nini alivyokuja navyo na alivyovikuta?
Haya ndio maswali yanatakiwa yajibiwe
 
Ni neema tupu....

Mkataba wetu na DPW unakwenda kuuondoa urasimu na "status quo" iliyoko bandarini.... haiwezekani bandari za nchi jirani ,Lamu na Mombasa ziwe na ubora wa kupakia na kupakua mizigo ndani ya siku 3 ,zetu ziwachukulie wafanyabiashara siku 7 ,siku 14 hadi mwezi na nusu....AIBU HII ...

Tunapoteza mapato kiasi gani....

Tunawaumiza wafanyabiashara kiasi gani....

Turidhie kukimbiwa na wafanyabiashara wa hizi nchi 8 zinazotuzunguka?!!!

Serikali ya awamu ya 6 inakwenda kuukata huo mzizi wa fitina

Kongole kwake mh.Rais SSH

#SiempreJMT
kwani izo nchi kuna muarabu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikua najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
Ulikuwa na point sana, lakini ulipoletwa la unyonge umeharibuibu pakubwa, anyway ni mawazo yangu tu, so wewe ni mnyonge?
 
Ni neema tupu....

Mkataba wetu na DPW unakwenda kuuondoa urasimu na "status quo" iliyoko bandarini.... haiwezekani bandari za nchi jirani ,Lamu na Mombasa ziwe na ubora wa kupakia na kupakua mizigo ndani ya siku 3 ,zetu ziwachukulie wafanyabiashara siku 7 ,siku 14 hadi mwezi na nusu....AIBU HII ...

Tunapoteza mapato kiasi gani....

Tunawaumiza wafanyabiashara kiasi gani....

Turidhie kukimbiwa na wafanyabiashara wa hizi nchi 8 zinazotuzunguka?!!!

Serikali ya awamu ya 6 inakwenda kuukata huo mzizi wa fitina

Kongole kwake mh.Rais SSH

#SiempreJMT
Mkuu unaweza sema huo mkataba unaisha lini?
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikua najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
Njaa haina Baunsa
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikua najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,

Njaa haina adabu kaka. Kaka wa watu alipopoteza kibarua sote sie tukaongea kidogo tukaacha hakuna ambaye hata aliamua kuanzisha mchango wa MPESA ili jamaa tumjaze manoti km shujaa ili aendelee kuishi.
Jamaa ana bills za settle, anawatoto wanataka ada kwa hiyo unataka ukoo wake utaabike.
Yujifunze kuwaenzi wote wanaojitolea muda wao na hata kazi na maisha yao kwa kusimamia kweli.

Jamaa ameamua kuwajoin ili bili zake zilipike, UMUACHE!!!!!
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikua najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
💰💲💱🤑💸🐬
 
Kila Nikiwaza kuandika huu uzi nilikua najishauri sana, mwishowe nimeona tu bora niandike ili dukuduku langu liishe.

Hivi karibuni watangazaji wakituo cha Wasafi FM Gerald Handom Maulid Kitenge na Zembwela walienda mpaka ziliko ofisi za DP Word kwenda kudanya mahojiano na wafanyakazi mbalimbali wa kampuni hiyo juu ya utendaji wao katika masuala mbalimbali ya bandari.

Kwangu ziara hiyo haikua na maana sana sababu kinachopingwa na watanzania wengi sio utendaji wa hao jamaa, hakuna anaepinga kua jamaa wako vizuri. Ila kinachopingwa ni aina ya mkataba. Sasa katika watangazaji hawa ningeweza kuelewa kama Maulid Kitenge na Zembwela wakifanya ushabiki wa haya masuala sababu upeo wao wa kuchambua mambo kama haya sio mkubwa kama Gerald.

Maulid Kitenge hua anaropokaga tu anadhani akiongea kwa sauti na ushabiki mkubwa ndio watu wataelewa. Sio mjenga hoja kwenye issues nyeti za msingi. Zembwela anaweza kua anajua kujenga hoja lakin maranzingio huonekana kwenye vipindi ambavyo sio serious sana hivyo uwezo wake unaweza ukawa unafichwa na hilo.

Lakin Gerald Hando wewe toka ukiwa Clouds FM msimamo wako ulikua ni wa kutetea wanyonge. Wewe ulikua hutetereki kuongea ukweli. Ulikua huogopi kabisa na kipindi hicho uko clouds ulikua hot kweli kaka. Kipindi chako cha Power Breakfast kilikua ho sana kwenye ile segment ambayo ulikua ukizungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu jamii. Umejadili mengi sana na kwa weledi sana kwenye hicho kipindi cha PB. Nadhan hata leo hii kama bado ungekua pale ungepinga hili.

Hata ulipoingia EFM bado ulikua hujaacha kuongelea mambo mbalimbali yanazohusu jamii. Nakumbuka ulisimamishwa hata EFM sababu ulikua ukitetea juu ya nchi kukopa kulikopitiliza. EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi.


Sasa Gerald Hando wa sasa umekuaje? NIni kimekubadilisha msimamo? Ni wewe kweli unaungana na Mtu roporopo kama Maulid Kitenge kutetea kitu ambacho unajua sio sahihi? Najua mtakua mmelipwa ili mtetee ulaji lakini roho yako kweli haikusuti kwa usaliti unaoufanya? Au kuna mahali umebanwa kifedha ukaona ufate msemo wa "mtumikie kafiri upate utajiri"??

Ukweli sijaamini na sintoamini kama kweli eti wewe Gerald Hando unaamini kua ule mkataba wa DP World na Serikali hauna dosari yoyote ile,
NJAA MBAYA SANA
 
Ni neema tupu....

Mkataba wetu na DPW unakwenda kuuondoa urasimu na "status quo" iliyoko bandarini.... haiwezekani bandari za nchi jirani ,Lamu na Mombasa ziwe na ubora wa kupakia na kupakua mizigo ndani ya siku 3 ,zetu ziwachukulie wafanyabiashara siku 7 ,siku 14 hadi mwezi na nusu....AIBU HII ...

Tunapoteza mapato kiasi gani....

Tunawaumiza wafanyabiashara kiasi gani....

Turidhie kukimbiwa na wafanyabiashara wa hizi nchi 8 zinazotuzunguka?!!!

Serikali ya awamu ya 6 inakwenda kuukata huo mzizi wa fitina

Kongole kwake mh.Rais SSH

#SiempreJMT
Unaonaje hili suala la Bandari ungetuachia sisi Watanganyika?
 
Back
Top Bottom