Gerald Hando & Babra Hassan Msiogope Jamii Forums!

Gerald Hando & Babra Hassan Msiogope Jamii Forums!

Sio kweli Viraza na wanaofikiria kwa kutumia Masaburi kama Hando hawaruhusiwi
 
Tena huyu Hando alichange sana alipoendaga Dodoma kufanya mahojiano na Pinda wakati fulani. Dah aliporudi kutoka huko aisee nahisi atakuwa aliwekwa sawa, jamaa anaboa sana hana ethics kabisa za uandishi

Issue ya Lwakatare kaishikia bango utafikiri yeyey ndo aliyei-upload u-tube. Siku ile aliicheza kama mara kumi hivi. Kibaya ni kwamba yeye siku hizi hataki kabisa serikali ikosolewe, mbona zamani hakuwa hivi?
 
Punde hivi, nikiwa naskiliza kipindi chenu Power breakfast.

Nimekusikia Hando ukimuuliza Babra kama hua anatembelea Jamii Forums. Eventhough sikumsikia Babra akitoa jibu la moja kwa moja, kwamba hua anatembelea mara kwa mara, ama kwa nadra. Aidha nikakusikia ukimwambia Babra kwamba wewe (Gerald) unapaogopa sana Jf, kwa sababu watu wa hapa ni wakali mno!

Na kwamba ukileta mawazo yalio tofauti tu , kidogo na ya Ma'member wa hapa wanakuchambuaje!. Na hicho ndiyo kinachokufanya uwe unachungulia tu, na kuumwaga! Nichukue fursa hii kuwaambia karibuni Jamii Forums kwa mapana.

Hapa ni mahala salama, na pana mengi ya maana na ya faida tofauti na unavyofikiri. Achana na kuchungulia, tia maguu yote, mlete na babra, dinna, PJ, Gea, ikibidi na Jahazi lote livute lije.

Hahahahaaa mkuu nimebaki niki-smile tu..............!
 
Millard ayo! Jembe langu respect. mkata maua wa habashi sijui kwa nini kaliacha limtumbwi!
 
Back
Top Bottom