Gerald Hando & Babra Hassan Msiogope Jamii Forums!

Gerald Hando & Babra Hassan Msiogope Jamii Forums!

ni kweli hapa Jf jitahidi ulete hoja nzinto na pia utoe mawazo elekezi katika hoja yako ya nini kifanyike
 
..JF home of great thinkers. karibu mdogo wangu Hando ila jipange, pumba ziache hukohuko kwenye chai..
 
kwani JF ni kwa chadema tu,, si ni cho,bo cha habari hata kama ni ccm poa tu ha
 
Punde hivi, nikiwa naskiliza kipindi chenu Power breakfast.

Nimekusikia Hando ukimuuliza Babra kama hua anatembelea Jamii Forums. Eventhough sikumsikia Babra akitoa jibu la moja kwa moja, kwamba hua anatembelea mara kwa mara, ama kwa nadra. Aidha nikakusikia ukimwambia Babra kwamba wewe (Gerald) unapaogopa sana Jf, kwa sababu watu wa hapa ni wakali mno!

:flock::flock: :flock:
:smile-big::rockon::lalala:

Na kwamba ukileta mawazo yalio tofauti tu , kidogo na ya Ma'member wa hapa wanakuchambuaje!. Na hicho ndiyo kinachokufanya uwe unachungulia tu, na kuumwaga! Nichukue fursa hii kuwaambia karibuni Jamii Forums kwa mapana.

Hapa ni mahala salama, na pana mengi ya maana na ya faida tofauti na unavyofikiri. Achana na kuchungulia, tia maguu yote, mlete na babra, dinna, @PJ, @Gea, ikibidi na Jahazi lote livute lije.

:flock: :flock:
 
Hando ana ushahabiki wa kipuuzi sana nahisi atakuwa gamba.Siku alipokuwa anairusha clip ya Rwakatari alionesha anavoichukia CDM.Mtu mwenye kufanya reasoning asingeikomalia vile.Jamaa ana maneno ya kimbea sana
Hivi ile kitu ya Ustaadhi Ilunga amewahi kuirusha?? Ile ni ya hatari zaidi maana inashawishi jamii moja kuua jamii nyingine...
 
nachojua mimi JF c ya wanachadema tu
ni ya watu wote jamani,sasa habari ya chama
inakujaje?karibu Gerald Hando na Babra Hasan mjisikie
mpo nyumbani!

 
Hivi ile kitu ya Ustaadhi Ilunga amewahi kuirusha?? Ile ni ya hatari zaidi maana inashawishi jamii moja kuua jamii nyingine...
Jamaa atakuwa analipwa.Si ajabu akitokea mtu wa kumhonga hata hiyo anaweza kuirusha.
 
Jamaa atakuwa analipwa.Si ajabu akitokea mtu wa kumhonga hata hiyo anaweza kuirusha.

Naskia eti jamaa ni PUNG'A...

Hivi ile milioni tano ya faini aliyopigwa na TCRA kwa kuso la kutaka kuhalalisha mapung'a ameishailipa kweli?
 
Mkuu! Username yako, ungekua footballer kuindika kwenye jezi ingemalizikia kifuani, kuisoma hadi mtu akuzunguke!

Ingetosha mkuu.......so far huyu ndie anashika record........mdachi wa GLASGOW CELTIC.......Jan Venegoor of Hesselink

jan+venn.jpg
 
Habari ndo hyo, ukitaka uwe salama jf basi ukisifie chadema hata kikifanya vitendo vya kipuuzi, uiponde serikali hata kama imefanya jambo jema,na vitu vya mwelekeo huo.ila taratibu wananza kunyoka na kujua hata watumie propaganda gani humu jf,hawatabaki pekea yao,wanamageuzi wasio chadema, wanaccm, na wasio na vyama wanakuwa huru kujieleza bila kujali matusi yao.
 
Unajua ata darasani vilaza huwa wanakaa mbali na wale wanaohisi wana akili zaidi yao.
Mbaya zaidi hujitenga wenyewe bse wanajua kila watakchochangia kitapondwa bse most of the time wanahisi wako offpoints.
Hayo ndo yanayowasibu hawa jamaa.
 
Back
Top Bottom