Mtoto wa tembo
Senior Member
- Oct 4, 2012
- 198
- 30
Njaa kali mjini!!
----- hilo....gamba fulu ni bingwa wa kulamba viatu vya wezi wa jasho la watanzania halisi
hakuna mnafiki mkubwa kama huyo jamaa akifuatiwa na kibonde
Njaa kali mjini!!
nachojua mimi JF c ya wanachadema tu
ni ya watu wote jamani,sasa habari ya chama
inakujaje?karibu Gerald Hando na Babra Hasan mjisikie
mpo nyumbani!
Mie napenda kazi yao
Ni wabunifu, hata kama natofautiana nao kiitikadi za siasa, hainisumbui
Usisahau na MA-person huwa tunayajadiri humuI thought that's more personal affairs!
Probably unielimishe mimi hapa Jf watu wanaingia kwa mujibu itikadi za Politics au?
Great Thinker ?Kuna clouds member mmoja alijiunga hapa ila alishindwa kuzuia hasira kwenye thread moja ilokua inaongelea mapresenter wengi wa clouds ni mashoga na wasagaji acha amwage mitusi,nahisi atakua bado kwenye ban
nimerejea niliimic mbaya Jf
View attachment 87766
Gambaz @Work
A Muppet maybe.........
![]()
Mkuu! Username yako, ungekua footballer kuindika kwenye jezi ingemalizikia kifuani, kuisoma hadi mtu akuzunguke!