Mkuu, watu wa Mbeya wanajua yote: wanajua kuwa MBOMA NI FISADI, tena siyo fisadi tu, bali FISADI NAMBARI MOJA, ambaye jina lake jeshini linanuka kwa rushwa na ubadhirifu.
Mali anazomiliki ni nyingi sana ikiwemo Petrol Station ya Mbeya aliyojengewa na Balhabou wa Morogoro kama asante kwa kuwapa tenda zote za jeshi kuanzia mafuta hata kusupply buti za jeshi! Habari za ukakika ni kuwa anaungwa mkono na mlinzi wa mafisadi ndani ya CCM, MAKAMBA!
Hii ni bahati kubwa kuwa anagombea ili tumwanike hadharani kisawasawa. Hata yule rafiki yake fisadi APSON MWANG'ONDA wa usalama wa Taifa, naye anataka kuwania kiti cha Mbozi Mashariki. Tunamsubiri kwa hamu kumwonesha kuwa yeye ndiye KAGODA nambari wani ambaye kwa sasa anastahili kuwa jela!