Mboma ni mtu ambaye anafaa kuwania uongozi. Anayo haki,siyo kama anavyosema Zitto kwamba Mboma hana haki kugombea. Mboma has a right and a left. Kwa wale wasio elewa hiyo expression,it was used in the Wild West,the cowboys,who used to say,whenever asked what right have you got,they would say,I have a right and a left.
I am not suggesting the General is a wild man. Alikuwa Commanding Officer,CO katika kambi nilipokuwa Jeshini,kwa hiyo I know he is a reasonable person.
Kuhusu wale wengine waliojitokeza kuchukua fomu,siwafahamu,labda because they are University lecturers,au maybe they have not done anything for this Nation.