Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,399
- 6,366
Polisi CCMHapa ndio tunahitaji kuona kazi ya jeshi la polisi, ulinzi wa raia na mali zao
Polisi CCMHapa ndio tunahitaji kuona kazi ya jeshi la polisi, ulinzi wa raia na mali zao
Ama kweli hayawi hayawi sasa yanakuwa.CCM wamezidiwa hadi uvunguni kwao sana. CDM tusonge mbele usindi unakaribia.
Tukisubiri Mungu atende miujiza haitatokea tutaendelea kuonewa.Ila nacho amini ni kwamba ipo siku haya yote yataisha na kubaki history! Naamini Mwenyezi Mungu yupo na atatenda haki dhidi ya dhuluma hizi za chama tawala na viongozi wake.
Inauma sana lakini furaha itakuja sio muda!
Acha ubaguzi we kila mtu ana haki ya kulindwa mdogo au mkubwa.Ni kwa nini kila tukio mchukulie ni serikali? Wanaofanyiwa ni malaika hawanaga maadui?vyama hivyo hivyo walipo hawana uadui? Serikali ihangaike na mtu mdogo wa kazi gani? Watu wengi mmejaa UPUMBAVU mwingi sana juu ya haya mambo ya siasa
Mbona unaumia sana! Hiyo serikali ni baba yako kiasi cha kuumia kupitiliza inaposemwa? Ina haki gani sasa ya kuwatawala wananchi iwapo inafanya vitendo vya kibaguzi na kushindwa kuwalinda baadhi ya raia na mali zao?Ni kwa nini kila tukio mchukulie ni serikali? Wanaofanyiwa ni malaika hawanaga maadui?vyama hivyo hivyo walipo hawana uadui? Serikali ihangaike na mtu mdogo wa kazi gani? Watu wengi mmejaa UPUMBAVU mwingi sana juu ya haya mambo ya siasa
Huwezi kuishinda CCM kwa kukubari unyonge na kulialia kila siku.CCM wamezidiwa hadi uvunguni kwao sana. CDM tusonge mbele usindi unakaribia.