Uchaguzi 2020 Geita: Nyumba ya Mgombea Ubunge Chato wa CHADEMA Massai, yadaiwa kuchomwa moto na kubomolewa

Dhuluma, hujuma na kila tone linaongeza nguvu na ari kusaka uhuru na haki toka mkoloni mweusi.Poleni sana wahanga. Nashauri CDM wawe na utaratibu kuratibu wahanga na kutangaza Watanzania wema tuwasitiri.
 
Utachukia kisha ufe, kama arusha mlichoma wenyewe sasa iweje hapo chato?
Huko mbea mmemuuwa mtu wenu nyie wenyewe, sasa hapo mbna hujachukia?
Mliuwa kijana wa ccm mbeya mtwara dodoma, mbona sijaona tamko lako hapo?
Au wao ilikuwa haki wafe?
Shagal kabisa wewe.
 
Tukiendekeza mambo haya ndugu zangu nchi haitakwenda kabisa yaani just imagine kuna watu walikuwa wanamipango ya kuchoma hata nyumba yao wenyewe ili waopate populality kwa society nawakumbusha kuna maishsa baada ya kampeni.
 
Salaam Wakuu,

Inadaiwa kuna mambo hayaendi Vizuri huko Chato Mkoani Geita. Tunaomba Jeshi la Polisi lihakikishe amani kwa Wakazi wa Chato wa vyama vyote.

Hapa chini ni Taarifa kutoka Viongozi wa CHADEMA nliyotumiwa Usiku wa leo.

"Tumevamiwa na kuchomwa Moto kwa Mgombea Ubunge Maalum Massai Chato. Nyumba yachomwa Moto , Bajaji zachomwa Moto Katika Wilaya ya Chato.

Walio tuvamia Wana sema eti tumemleta Tundu Lissu Chato. CCM wameandaa magaiti Wana piga watu Usiku huu.

Usiku huu wa Saa 12:25 Ndo tumevamiwa ni hatari, watoto wetu wamenusulika kwa mgombea Ubunge Wilaya ya Chato leo hii Ucku Huu

Mimi Kamanda Husna Amri Said"

Ninalaani watu wote wanaopanga kuharibu amani ya Nchi kisa Siasa.

Mia
View attachment 1598339View attachment 1598340
Acheni uhuni hapo moto uko wapi
 
Jamani acheni uchochezi hii nyumba ndio unasema imebomolewa? si imeanguka yenyewe, usiku wa leo mvua kubwa imenyesha maeneo ya geita nzera na katoro, huu unafiki hata mungu unamkera, mhandisi wa mji hebu chunguza hii nyumba kama ilijengwa chini ya kiwango mmiliki afikishwe mahakamani haraka, na hako katoto kaliko chuchumaa mbona kana macho ka ya bundi? katakuwa kachawi.
 
Chato ni Tanzania na ni ngome ya CHADEMA na wanachato wanahaki ya kusikiliza sera za mgombea wao wa urais.

Aende wakamsikilize mbona wanaikungi hawakumfanyia vurugu Magufuli kwenye mikutano yake.

Tumeongoza serikali za mitaa asilimia 94 chato toka 2014 mpaka 2019.

Hivyo chato lazima mgombea wetu wa urais afike kukutana na wanachama wetu na watanzania wa chato ambao pamoja na kuzungukwa na ziwa hawana maji badala yake wakapelekewa taa za barabarani na uwanja wa ndege, hawana malisho na wakapelekewa reserve na simba yale mifugo yao.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Vijana wengi wa humu jf hawaielewi nguvu ya chadema chato
 
Salaam Wakuu,

Inadaiwa kuna mambo hayaendi Vizuri huko Chato Mkoani Geita. Tunaomba Jeshi la Polisi lihakikishe amani kwa Wakazi wa Chato wa vyama vyote.

Hapa chini ni Taarifa kutoka Viongozi wa CHADEMA nliyotumiwa Usiku wa leo.

"Tumevamiwa na kuchomwa Moto kwa Mgombea Ubunge Maalum Massai Chato. Nyumba yachomwa Moto , Bajaji zachomwa Moto Katika Wilaya ya Chato.

Walio tuvamia Wana sema eti tumemleta Tundu Lissu Chato. CCM wameandaa magaiti Wana piga watu Usiku huu.

Usiku huu wa Saa 12:25 Ndo tumevamiwa ni hatari, watoto wetu wamenusulika kwa mgombea Ubunge Wilaya ya Chato leo hii Ucku Huu

Mimi Kamanda Husna Amri Said"

Ninalaani watu wote wanaopanga kuharibu amani ya Nchi kisa Siasa.

Mia
View attachment 1598339View attachment 1598340

Hayo matendo pia yalitokea kwenye jimbo la waziri Mkuu Majaliwa.
 
Back
Top Bottom