Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,839
- 93,626
Utashangaa polisi watawakamata wafuasi wa chadema kuwa wamechoma
Yote yanawezekana, police watakuja na habari kamili.wanajiponda wenyewe ili wasingizie serikali, kule Hai walienda na marungu na mipini walikodi wahuni kutoka rombo
Sasa Kama ni Serikali ya kishamba kwanini mnaenda kuomba kura kwa Washamba?Hii ni serikali ya kishamba kuwahi kutokea!
Kwani kura zinaombwa kwa serikali? Nyie akili zenu mkebakiza za kuvukia barabara tu!Sasa Kama ni Serikali ya kishamba kwanini mnaenda kuomba kura kwa Washamba?
JAMANI KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI KUISHAwanajiponda wenyewe ili wasingizie serikali, kule Hai walienda na marungu na mipini walikodi wahuni kutoka rombo
Acheni uhuni hapo moto uko wapiSalaam Wakuu,
Inadaiwa kuna mambo hayaendi Vizuri huko Chato Mkoani Geita. Tunaomba Jeshi la Polisi lihakikishe amani kwa Wakazi wa Chato wa vyama vyote.
Hapa chini ni Taarifa kutoka Viongozi wa CHADEMA nliyotumiwa Usiku wa leo.
"Tumevamiwa na kuchomwa Moto kwa Mgombea Ubunge Maalum Massai Chato. Nyumba yachomwa Moto , Bajaji zachomwa Moto Katika Wilaya ya Chato.
Walio tuvamia Wana sema eti tumemleta Tundu Lissu Chato. CCM wameandaa magaiti Wana piga watu Usiku huu.
Usiku huu wa Saa 12:25 Ndo tumevamiwa ni hatari, watoto wetu wamenusulika kwa mgombea Ubunge Wilaya ya Chato leo hii Ucku Huu
Mimi Kamanda Husna Amri Said"
Ninalaani watu wote wanaopanga kuharibu amani ya Nchi kisa Siasa.
Mia
View attachment 1598339View attachment 1598340
Hakuna police ukoHapa ndio tunahitaji kuona kazi ya jeshi la polisi, ulinzi wa raia na mali zao.
Jamani acheni uchochezi hii nyumba ndio unasema imebomolewa? si imeanguka yenyewe, usiku wa leo mvua kubwa imenyesha maeneo ya geita nzera na katoro, huu unafiki hata mungu unamkera, mhandisi wa mji hebu chunguza hii nyumba kama ilijengwa chini ya kiwango mmiliki afikishwe mahakamani haraka, na hako katoto kaliko chuchumaa mbona kana macho ka ya bundi? katakuwa kachawi.
Magufuli anang'olewa oct 28 bila huruma yoyoteHii ni serikali ya kishamba kuwahi kutokea!
Hajitambui babako kuzaa mtoto mpumbavu kama weweHujitambui
Vijana wengi wa humu jf hawaielewi nguvu ya chadema chatoChato ni Tanzania na ni ngome ya CHADEMA na wanachato wanahaki ya kusikiliza sera za mgombea wao wa urais.
Aende wakamsikilize mbona wanaikungi hawakumfanyia vurugu Magufuli kwenye mikutano yake.
Tumeongoza serikali za mitaa asilimia 94 chato toka 2014 mpaka 2019.
Hivyo chato lazima mgombea wetu wa urais afike kukutana na wanachama wetu na watanzania wa chato ambao pamoja na kuzungukwa na ziwa hawana maji badala yake wakapelekewa taa za barabarani na uwanja wa ndege, hawana malisho na wakapelekewa reserve na simba yale mifugo yao.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kama uchaguzi wa serikali za mitaa usingechezewa tungeshida tena mitaa yote chato.Vijana wengi wa humu jf hawaielewi nguvu ya chadema chato
Salaam Wakuu,
Inadaiwa kuna mambo hayaendi Vizuri huko Chato Mkoani Geita. Tunaomba Jeshi la Polisi lihakikishe amani kwa Wakazi wa Chato wa vyama vyote.
Hapa chini ni Taarifa kutoka Viongozi wa CHADEMA nliyotumiwa Usiku wa leo.
"Tumevamiwa na kuchomwa Moto kwa Mgombea Ubunge Maalum Massai Chato. Nyumba yachomwa Moto , Bajaji zachomwa Moto Katika Wilaya ya Chato.
Walio tuvamia Wana sema eti tumemleta Tundu Lissu Chato. CCM wameandaa magaiti Wana piga watu Usiku huu.
Usiku huu wa Saa 12:25 Ndo tumevamiwa ni hatari, watoto wetu wamenusulika kwa mgombea Ubunge Wilaya ya Chato leo hii Ucku Huu
Mimi Kamanda Husna Amri Said"
Ninalaani watu wote wanaopanga kuharibu amani ya Nchi kisa Siasa.
Mia
View attachment 1598339View attachment 1598340
Labda Kama Ingekuwa ni wa ccmHapa ndio tunahitaji kuona kazi ya jeshi la polisi, ulinzi wa raia na mali zao.