hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:
- Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
- Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)
Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.
Huna uthibitisho, hujui umeandika nini!! Basi utakua hujajitambua unachokihitaji. Huenda umelala ukaota then unakuja kutumwagia utumbo wako hapa unaondoka. Thibitisha kwanza.