Ni bora kila mtu kuheshimu imani ya mwenzake ndio uvumilivu tatizo humu JF kuna members huwa wanaona imani zao ndio bora zaidi kumbe ni mtizamo dhaifu kabisa, nadhani imefika wakati kuondoka kwenye hii thread ambayo haina tija yoyote kwa taifa zaidi ya chuki.
Viziwi ,mabubu,vipofu na wala hawataiona njia ya kweli kamwe wameizamisha nchi kwenye tope la umasikini,ufisadi na ubaguzi kwa wanaoabudu mungu mmoja asiena mtoto wala mjukuu. Kazi yao ulevi tu na kucheza eti ibada nani kawaambia mungu anakula mkate wa kuchoma hahaha
Kauli hizi nilizisikia pale kariakoo karibu R/ ABOUT. Nilipomuuliza kijana aliyekuwa ameshupaa vipi kuhusu KARAMAGI, nani aliuza Loliondo, Mahita na kashifa za ujambazi akaondoka bila kuaga. Ndo mistari mliokaririshwa kwenye vijiwe vya kahawa, maana huo utangulizi kwenye "red" unaonyesha kuwa wewe upo upo tu.
Siamini kama wewe ndo unaandika haya,kama ndivyo kinachokufanya kushabikia mfumo wa magamba nini?matatizo ya nchi hii yahasababishwi na wasomi bali mfumo mbovu wa utawala,wasomi hulazimishwa kufanya vitu visivyo vya kitaalamu na wanasiasa.Kumbuka Richmond,RADA,KAGODA,IPTL n.k chanzo ni wanasiasa na si wasomi,kama wasomi wataachwa wafanye mambo kwa weledi na utaalamu wao tutafika mbali na hapa hakuna mkiristo wa muislamu.ndo maana ni muhimu kuuondoa kabisa mfumo chakavu wa siasa wa sasa wa magamba haufai hata kidogoTaasisi zote Wizara zote Tanzania, watendaji wote ni Wakiristo, Taifa limeingia mikataba ya kijinga na kipuuzi na wasomi wa Kikiristo katika migodi yetu, sasa mkuu wangu tunakubali kabisa Wakiristo ni wasomi je unaweza kutufahamisha huo usomi wenu wakuu umelisaidiaje taifa letu?
Wewe si huwa unajinasibu kuwa ni PAGAN? leo imekuaje?acha unafiki.
Kweli mkuu wangu mie nipo nipo tu na saizi nipo kwenye kijiwe cha kahawa karibu.
Kwani mtu hakiwa PAGAN nimarufuku kuchangia mada JF? Great thinkers bana.
Bila kuelewa kahawa yenyewe inalimwa kaskazini
Pagan gani wewe wakati wewe ni mwanachama hai wa UAMSHO wachoma makanisa
Moderators please funga hii thread..
Dr Babak Sheikh. Orthapaedic Surgery.
Dr Mohamed Aden Sheikh. Surgery.
unataka wengine?
Hivi tukianza kuorodhesha Maprof na Drs. wa kikikristu si tutakesha hapa jamvini...
Sheikh wa msikiti hawezi kuwa Doctor wa kutibu watu. Uchawi sio mpaka uwange.
Naona Ritz anataka kujipalia makaa-kaweka wawili-kama anataka tumpe orodha aisome mwenyewe-nazan ndo atakaa kimya
ha haa haaa huwa nacheka sana aisee! kuna watu Tanzania wanajifanya wasomi wakati hakuna kitu..
Mkuu ebu tusaidie huo usomi wenu unaojitapa nao umelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye ndimbwi la umasikini duniani?
Hivi Tanzania nako kuna wasomi?