STRATON MZEE
Member
- Jan 4, 2012
- 59
- 17
Gazeti hili limekuwa chanzo na mwendelezo wa ubaguzi wa kidini hapa Tanzania. Pia redio Imam. Limekuwa ni gazeti la udaku. Badala ya kuwaelimisha Waislam jinsi ya kufanya kazi ili kujipatia maisha bora, limeegemea kuwachochea waislam kuuchukia Uislam. Hivi kama na magazeti wanayomiliki wenzetu wakristo yataanza kuchongea wakristo kuchukia uislam, Tanzania itatawalika?
Mfano, wanasema Baraza la Mitihan linabagua wakristu. Je! ina maana kuwa panel ya wanaosahihisha Mitihan hiyo ni Wakristo pekeee? Hakuna waalim wa Kiislam wanaokwenda kusahihisha? Au na wenyewe wanapewa mlungula ili wasitoboe siri ya upendeleo uliopo?
Ndo maana unaambiwa, akili za kupewa, ongeza na za kwako. Waislam tuwe tunajiongeza.
:crazy:
Mfano, wanasema Baraza la Mitihan linabagua wakristu. Je! ina maana kuwa panel ya wanaosahihisha Mitihan hiyo ni Wakristo pekeee? Hakuna waalim wa Kiislam wanaokwenda kusahihisha? Au na wenyewe wanapewa mlungula ili wasitoboe siri ya upendeleo uliopo?
Ndo maana unaambiwa, akili za kupewa, ongeza na za kwako. Waislam tuwe tunajiongeza.
:crazy:
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:
- Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
- Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)
Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.