Gazeti Al-Nuur lifungiwe

Status
Not open for further replies.
Tatizo lenu mkielezwa ukweli mnasema mnashambuliwa hata Quran imesisitiza kusoma IQRA..

Mie nakubali kabisa kuwa wakiristo Tanzania ndio wamesoma sana hapo nipo na wewe pamoja tena nawapa sifa sana.

Labda ungetusaidia kwa faida ya JF wasomi wa Tanzania wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?

Wewe si huwa unajinasibu kuwa ni PAGAN? leo imekuaje?acha unafiki.
 
Ni bora kila mtu kuheshimu imani ya mwenzake ndio uvumilivu tatizo humu JF kuna members huwa wanaona imani zao ndio bora zaidi kumbe ni mtizamo dhaifu kabisa, nadhani imefika wakati kuondoka kwenye hii thread ambayo haina tija yoyote kwa taifa zaidi ya chuki.

Umeongea sawa mkuu ritz ,ila tatizo liko kwa baaadhi ya waislamu.Hawataki maelewano suala la uhuru wa ibada hawataki kusikia kabisa.Wangependa kila binadamu atawaliwe na sharia za kiislamu ndio maana baadhi ya nchi hawataki kuona hata mkristo mmoja jambo ambalo sio sawa.
Kuhusu kufungwa kwa gazeti Al-Nuur mimi siungi mkono kwa kuwa kila watu wana haki ya kupata habari wanazopenda.Ila jaribu kuangalia mantiki ya kile kinachoandikwa baadhi habari zinakosa usawaziko/rationale kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Taasisi zote Wizara zote Tanzania, watendaji wote ni Wakiristo, Taifa limeingia mikataba ya kijinga na kipuuzi na wasomi wa Kikiristo katika migodi yetu, sasa mkuu wangu tunakubali kabisa Wakiristo ni wasomi je unaweza kutufahamisha huo usomi wenu wakuu umelisaidiaje taifa letu?

huyu rais wetu ambaye kila siku anadanganywa na watendaji wake aliowateuwa yeye mwenyewe ni dini gani vileee? bandugu nikumbusheni nimesahau kidogo.
 
Huu ndio kweli wasomi wa Tanzania ni sawa sawa na Punda aliebeba mizigo ya vitabu... Sehemu yoyote kwenye wasomi lazima athari zionekane. Athari za Wasomi wa Tanzania ni Ufisadi.

Umeulizwa mdogo wako MwanaAsha alifelishwa makusudi na NECTA? Mbona hutaki kujibu wewe Ritz1!
 
Hivi ile Feza boys ni ya wakristo au waislamu?
Hivi kuna kitengo nyeti zaidi ya Urais?
Wahadhiri wa kiislamu wametoka wapi?
In short waislamu wapo wengi wasomi wakubwa na wanaliongoza taifa hili kwa ushauri na hekima zao.
Sema muislamu akisoma anakuwa mtendaji na mshauri wa kitaalamu ila ambao hawajasoma wanapiga kelele na kuona kama wakristo wote wamesoma sana kuliko waislamu.
 
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:


  1. Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
  2. Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)


Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.

Haliwezi fungiwa ni mtaji mkubwa wa kuwaunganisha "Wajinga" ili waipigie kura CCM nyakati za Chaguzi
 
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:


  1. Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
  2. Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)


Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.

Mi naomba niwashauri wenzetu Waislam kwamba badala ya kulalamika kila wakati kuwa wanaonewa na Serikali
wajiangalie kwanza wao. Je viongozi wao wa dini wanaowasikiliza sana wana elimu gani. Nawashauri pamoja na
kupata elimu ya dini pia wawe wanasoma na elimu zingine ili waweze kupanua ufahamu wao badala ya kulalamika
kila wakati
 
Namuomba Mungu aifute hii dini hapa duniani tuishi kwa amani..maana waumini wa dini hii ni matatizo tuu, kila kukicha..kuonewa wanaonewa wao kila siku..jamani acheni inferiority complex na mjitutumue..sasa kushinda kucheza bao na kunywa gahawa siku nzima itawasaidia nini..sisi tunajituma halafu mnakuja kutuwangia usiku..yaani tokea nihamie huku pwani..ni kugombana na wachawi tu kila siku..mchana ukienda mishe unawakuta wamekaa vibarazani kwao wanakucheki..ijioni ukirudi unawakuta wanakunywa gahawa..usiku wanaanza kukuwangia..yaani hii dini taabu tupu..
Sijui unamuomba Mungu yupi ?
Nijuavyo Mwenyezi Mungu, ''Mwendeshaji wa mambo'' (Q:Al Maida: 2.) yeye ndiye mlinzi wa Dini yake ! Kila anaetaka au mwenye maombi kama wewe anaangamizwa.
Sodoma na Gomora waliangamizwa, watu wa Nuhu waliangamizwa, Firaun (alidai yeye Mungu) aliangamizwa, watu wa Musa wliotengeneza Sanamu ya Ng'ombe waliangamizwa !
Walichoma Tourat, wakaipotezea Zaburi kisha wakaiharibu Injil (kwa kujaza maneno yao wanayoyataka). Mwenyezi Mungu akaleta Qur'an, akatuambia tuikariri (qurr !) kisha akaahidi kuilinda. Wanahangaika kuichoma, kuipakazia, lakini bado iko vile vile, tumihifadhi katika mioyo yetu. Unaloo ??
 
Nimesoma comments nyingi kwenye post hii.. Nilichoona kwa comments nyingi ni chuki dhidi ya dini hizi mbili..! Inasikitisha sana kwa kuwa toka ninapata fahamu nimekuwa nikiona jamii ikiishi kwa amani na upendo.. Nimekulia katika msingi wa dini ya kikristo lakini nilifundishwa kuheshimu dini ya watu wengine.. Nakumbuka kitoweo chochote iwe kuku au mbuzi daima alitafutwa muislamu aje achinje.. Nimekuwa nikiamini hivyo na ni utamaduni ambao ninauendeleza mpaka leo.. Hata mashuleni tulifundishwa kuheshimu dini za wenzetu.. Na familia nyingi wameingiliana dini.. Leo hali imekuwa tofauti.. Wanasiasa wameshiriki kuujenga tena ufa huu wa udini.. Comments nilizozishuhudia leo zimenithibitishia kufanikiwa kwa azma ya wanasiasa hawa.. Kwamba hatimae udini umekuwa ni sehemu ya maisha yetu.. Kwamba JF member anajicikia fahari kuandika post au comment ya kuiponda dini nyingine.. Naamini hakuna aya yeyote iwe katika Biblia au Quraan ambayo inampa muumini uwezo na sababu ya kuponda imani ya mtu mwingine..! Tunapata wapi nguvu kwenye ujinga huu wa kuponda dini au imani ya wenzetu ikiwa hata kwenye vitabu vyetu haturuhusiwa kufanya hivyo..? C kweli kwamba sisi ni wanafiki na wakosaji kwa kushambulia dini za wenzetu tofauti na mafundisho ya vitabu vyetu vya dini..? Ni nafci zetu ndio zinatulazimisha kuwa na chuki hizi.. au ni Wanasiasa ndio wanajenga chuki hizi mioyoni mwetu..?
Tafakari..
 
Haliwezi fungiwa ni mtaji mkubwa wa kuwaunganisha "Wajinga" ili waipigie kura CCM nyakati za Chaguzi
umeona eeeeh...halafu mwisho wa siku ni 'wajinga' hawahawa wenye kuja na kulalamika mara mfumo kristo mara mikataba mibovu mara...
 
Nimesoma comments nyingi kwenye post hii.. Nilichoona kwa comments nyingi ni chuki dhidi ya dini hizi mbili..! Inasikitisha sana kwa kuwa toka ninapata fahamu nimekuwa nikiona jamii ikiishi kwa amani na upendo.. Nimekulia katika msingi wa dini ya kikristo lakini nilifundishwa kuheshimu dini ya watu wengine.. Nakumbuka kitoweo chochote iwe kuku au mbuzi daima alitafutwa muislamu aje achinje.. Nimekuwa nikiamini hivyo na ni utamaduni ambao ninauendeleza mpaka leo.. Hata mashuleni tulifundishwa kuheshimu dini za wenzetu.. Na familia nyingi wameingiliana dini.. Leo hali imekuwa tofauti.. Wanasiasa wameshiriki kuujenga tena ufa huu wa udini.. Comments nilizozishuhudia leo zimenithibitishia kufanikiwa kwa azma ya wanasiasa hawa.. Kwamba hatimae udini umekuwa ni sehemu ya maisha yetu.. Kwamba JF member anajicikia fahari kuandika post au comment ya kuiponda dini nyingine.. Naamini hakuna aya yeyote iwe katika Biblia au Quraan ambayo inampa muumini uwezo na sababu ya kuponda imani ya mtu mwingine..! Tunapata wapi nguvu kwenye ujinga huu wa kuponda dini au imani ya wenzetu ikiwa hata kwenye vitabu vyetu haturuhusiwa kufanya hivyo..? C kweli kwamba sisi ni wanafiki na wakosaji kwa kushambulia dini za wenzetu tofauti na mafundisho ya vitabu vyetu vya dini..? Ni nafci zetu ndio zinatulazimisha kuwa na chuki hizi.. au ni Wanasiasa ndio wanajenga chuki hizi mioyoni mwetu..?
Tafakari..

Well said..
 
Taasisi zote Wizara zote Tanzania, watendaji wote ni Wakiristo, Taifa limeingia mikataba ya kijinga na kipuuzi na wasomi wa Kikiristo katika migodi yetu, sasa mkuu wangu tunakubali kabisa Wakiristo ni wasomi je unaweza kutufahamisha huo usomi wenu wakuu umelisaidiaje taifa letu?
hadi rais wetu ni mkristu
 
ha haa haaa huwa nacheka sana aisee! kuna watu Tanzania wanajifanya wasomi wakati hakuna kitu..

Mkuu ebu tusaidie huo usomi wenu unaojitapa nao umelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye ndimbwi la umasikini duniani?

Hivi Tanzania nako kuna wasomi?

Wasomi wazalendo wapo tena wako wengi, jaribu kuijua CDM kwa ndani utawapata humo. Hao wasomi unaosema wameshindwa kulikomboa taifa ni wale wliomo ndani ya mfumo (CCM) na wamebaki wakiimba mashairi ya wakubwa. Kwao wao matumbo yao ni bora kuliko taifa.

Hapo kwenye red rekebisha, nadhani ulimaanisha dimbwi
 
ndo maana ata vikundi vya kigaidi vinaongozwa na waislam tupu huwez kuta kundi la kigaidi la kikristu, hawa jamaa sijui vchwan kwao kuna nn
 
Sijui unamuomba Mungu yupi ?
Nijuavyo Mwenyezi Mungu, ''Mwendeshaji wa mambo'' (Q:Al Maida: 2.) yeye ndiye mlinzi wa Dini yake ! Kila anaetaka au mwenye maombi kama wewe anaangamizwa.
Sodoma na Gomora waliangamizwa, watu wa Nuhu waliangamizwa, Firaun (alidai yeye Mungu) aliangamizwa, watu wa Musa wliotengeneza Sanamu ya Ng'ombe waliangamizwa !
Walichoma Tourat, wakaipotezea Zaburi kisha wakaiharibu Injil (kwa kujaza maneno yao wanayoyataka). Mwenyezi Mungu akaleta Qur'an, akatuambia tuikariri (qurr !) kisha akaahidi kuilinda. Wanahangaika kuichoma, kuipakazia, lakini bado iko vile vile, tumihifadhi katika mioyo yetu. Unaloo ??

the devil is a liar and a father of all lies!!!
 
Taasisi zote Wizara zote Tanzania, watendaji wote ni Wakiristo, Taifa limeingia mikataba ya kijinga na kipuuzi na wasomi wa Kikiristo katika migodi yetu, sasa mkuu wangu tunakubali kabisa Wakiristo ni wasomi je unaweza kutufahamisha huo usomi wenu wakuu umelisaidiaje taifa letu?
Kauli hizi nilizisikia pale kariakoo karibu R/ ABOUT. Nilipomuuliza kijana aliyekuwa ameshupaa vipi kuhusu KARAMAGI, nani aliuza Loliondo, Mahita na kashifa za ujambazi akaondoka bila kuaga. Ndo mistari mliokaririshwa kwenye vijiwe vya kahawa, maana huo utangulizi kwenye "red" unaonyesha kuwa wewe upo upo tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom