asrams
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 4,799
- 2,645
natamani sana kukata vichwa vya makafiri inshaallah iko siku itawadia
Hahahahah , Kua na subra kaka,
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
natamani sana kukata vichwa vya makafiri inshaallah iko siku itawadia
kwa nini hao ma-DR wa kiislamu huwa hawawi mashehe?Hivi tukianza kuorodhesha Maprof na Drs. wa kikikristu si tutakesha hapa jamvini...
Ni bora kila mtu kuheshimu imani ya mwenzake ndio uvumilivu tatizo humu JF kuna members huwa wanaona imani zao ndio bora zaidi kumbe ni mtizamo dhaifu kabisa, nadhani imefika wakati kuondoka kwenye hii thread ambayo haina tija yoyote kwa taifa zaidi ya chuki.
kwa kumchagua tena kikwete mlishiriki kuwarudisha hawa wasomi majizi madarakani...hapa utamlaumu nani, sisi tuliokuwa tunataka mabadiliko au nyinyi mlioukumbatia mfumo uleule kwa sababu tu rais ni mwislam?Mkuu hatupo humu JF kwa ajili ya kusifiana, sio kama naponda ndio ukweli ebu niambie wewe wasomi wa Tanzania wameisaidiaje Tanzania? Sasa hivi Tanzania katika nchi 20 duniani masikini wa kutupwa tumo sasa unataka tuwasifie hao wasomi kwa lipi?
Umesema vyema sana, kitu ambacho gazeti hilo lilipaswa kufanya. Badala ya kukazana kushambulia ukristo na kulalamika ingeweza kuongelea strong points za uislam ili na wasio waislamu wajue uzuri wake wajiunge. Na kuwafundisha waislamu mbinu za ku-survive competition. Mfano Bible inasema 'mshike sana elimu wala usimuache aende zake', na pengine inasema hamtakopa bali ninyi mtakopesha. Naongelea positive energy.
Hilo tu ndo ulisikia ? Hukusikia wanasema Mungu si mtu na hakuwahi kushikwa na njaa !?
" Hata asubuhu alipokuwa akienda mjini, aliona njaa" MT:21:18
" Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia: mna chakula chochote hapa !? Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa, akakitwaa akala mbele yao" LUKA:24:41-43.
Taasisi zote Wizara zote Tanzania, watendaji wote ni Wakiristo, Taifa limeingia mikataba ya kijinga na kipuuzi na wasomi wa Kikiristo katika migodi yetu, sasa mkuu wangu tunakubali kabisa Wakiristo ni wasomi je unaweza kutufahamisha huo usomi wenu wakuu umelisaidiaje taifa letu?
kwa kumchagua tena kikwete mlishiriki kuwarudisha hawa wasomi majizi madarakani...hapa utamlaumu nani, sisi tuliokuwa tunataka mabadiliko au nyinyi mlioukumbatia mfumo uleule kwa sababu tu rais ni mwislam?
Tatizo lenu mkielezwa ukweli mnasema mnashambuliwa hata Quran imesisitiza kusoma IQRA..
Mie nakubali kabisa kuwa wakiristo Tanzania ndio wamesoma sana hapo nipo na wewe pamoja tena nawapa sifa sana.
Labda ungetusaidia kwa faida ya JF wasomi wa Tanzania wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:
- Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
- Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)
Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.
Adui Mkubwa wa Shule za Kiislamu na wanafunzi wa Kiislamu kwa Ujumla alikuwa Kapuya!! Alianza kuleta Ubaguzi kwa Kuwavisha Hijabu!! Sasa imefikia Mahali Hata mzazi unapishana na Mwanao kwenye mlango wa Gest Huwezi Mtambua kwa sababu ya Kujitanda na Kufunika Uso!! Shule Nyingi za kiislamu Zimeshindwa Kutofautisha Elimu Dunia na Elimu Ahera!! Sasa wanataka Huruma kwenye Elimu Dunia? Madaktari si Wataua wagonjwa na Madaraja kubomoka?? Jamani Hili Gazeti naona Mwandishi/Mhariri ana Mtindio wa Ubongo!! Na lipuuzwe!!
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:
- Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
- Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)
Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.
Dr Babak Sheikh. Orthapaedic Surgery.
Dr Mohamed Aden Sheikh. Surgery.
unataka wengine?
Ritz, binafsi sijivunii usomi wa wakristo wala wa waislamu. Nina marafiki wa dini zote, waliosoma na wasiosoma na kila mmoja ana sehemu yake muhimu kwangu! Wote tukiwa maprofesa nani atakuwa bwana shamba, ama mwalimu wa shule ya msingi? Tatizo la tanzania sio dini za wasomi wetu. Dini zote zinasisitiza kufanya kazi kwa bidii na uaminifu. Na ukisema mkristo ama muislamu kafanya vizuri unakosea, Nyerere, Mwinyi, Mkapa wala Kikwete hawafanyi na hawakufanya kazi kwa muongozo wa dini zao. See the BIG PICTURE papaa!
ww unataja madaktari wa kimarekani? Afu hao sio masheikh wa msikiti.acha ujinga
Comrade naunga mkono hoja hii kwa asilimia mia moja,
Management ya shule zao ni hafifu kabisa wanashinda wanazurura tu mijini na mitaani kwa nini wasifeli?
wamekurupuka hwa jamaa kulalamika sana ni ishara ya udhaifu,na woga
ha haa haaa huwa nacheka sana aisee! kuna watu Tanzania wanajifanya wasomi wakati hakuna kitu..
Mkuu ebu tusaidie huo usomi wenu unaojitapa nao umelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye ndimbwi la umasikini duniani?
Hivi Tanzania nako kuna wasomi?