Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Mods muwe makini sana.. Sred kama hizi zinazochochea udini mnazimuvuzishia kwenye Dustbin Na mtoa hoja nae anapatiwa BAN!!! Ustaarabu unaendelea..
madhila ya kujitakia? hii inferiority complex mnaitoa wapi? kwani akina zitto,lipumba,kikwete,bilal na wengine wengi waliwezaje??Sijawah kuona watu wanafki kama baadhi ya WAKRISTO watanzania....yaani udini mnautengeneza wenyewe alafu mwashangaa matokeo yake? AL noor ni matokeo ya madhila dhid ya waislam
Mkuu nchi hii pasingekuwepo hili kundi kubwa la manyani linofikiria kwa rivasi daima unadhani tungekuwa hapa tulipo? Tatizo kubwa la nchi hii ni hiyo midude inayoongogwa na hiyo mistari ya lusufer.ha haa haaa huwa nacheka sana aisee! kuna watu Tanzania wanajifanya wasomi wakati hakuna kitu..
Mkuu ebu tusaidie huo usomi wenu unaojitapa nao umelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye ndimbwi la umasikini duniani?
Hivi Tanzania nako kuna wasomi?
Wamezoea kutukana na kejeli, hapa wanamtukana na kumkejeli Mungu wao.Viziwi ,mabubu,vipofu na wala hawataiona njia ya kweli kamwe wameizamisha nchi kwenye tope la umasikini,ufisadi na ubaguzi kwa wanaoabudu mungu mmoja asiena mtoto wala mjukuu. Kazi yao ulevi tu na kucheza eti ibada nani kawaambia mungu anakula mkate wa kuchoma hahaha
Hilo tu ndo ulisikia ? Hukusikia wanasema Mungu si mtu na hakuwahi kushikwa na njaa !?watabakia kulalamika kila siku......,hawatapata lolote....
kweli ajali sio lazima kugongwa na gari, mtu kukosa elimu/maarifa ni ajali kubwa sana
shule mbovu academically halafu unabakia laumu serikali wakati we ndo unayoiendesha..unabagua hata walimu,badala ya kuchukua ma expert..
matokeo yake ni nini..?
aise inachekesha sana...kusikia hizi fikra potofu za ndugu zetu hawa....
yaani ni kama vile wanaigiza......
(ebu anagalia hapa chini uprove ukweli)
siku moja nilikuwa nasikiliza radio imani usiku wa manane nikavutiwa na maneno ya shehe mmoja..eti alikuwa anadai eti anashangaa muislam anashabikia soka za ligi za ulaya wakati asilimia 90% ni wakristo...akaenda mbali zaidi akadai eti au brazil inacheza na saudi arabia muislam mzima anashabikia brazili badala ya saudi arabia..akahoji utamshabikiaje vipi kafiri badala ya muislamu mwenzako kinyume na mafunzao ya allah...?
hapo ndipo nikajua kweli kuwa kuna hasara ya kukariri quran na kukosa elimu dunia...!
Kweli nyani haoni kundule!
Hivi tukianza kuorodhesha Maprof na Drs. wa kikikristu si tutakesha hapa jamvini...
Huu ndio kweli wasomi wa Tanzania ni sawa sawa na Punda aliebeba mizigo ya vitabu...
Sehemu yoyote kwenye wasomi lazima athari zionekane.
Athari za Wasomi wa Tanzania ni Ufisadi.
Leo unaponda wasomi asalamaleku walahi
Taasisi zote Wizara zote Tanzania, watendaji wote ni Wakiristo, Taifa limeingia mikataba ya kijinga na kipuuzi na wasomi wa Kikiristo katika migodi yetu, sasa mkuu wangu tunakubali kabisa Wakiristo ni wasomi je unaweza kutufahamisha huo usomi wenu wakuu umelisaidiaje taifa letu?
hivi Haji Mponda na Msitafa Mukulo ni dini gani