kimsingi usalama wa nchi uko hatarini,hasa kwa watu wachache(waislamu) kupotosha uma na kuchochea machafuko nchini,kwa kutoa lawama kua wanaonewa na wakristo.Hiyo radio, imani na hilo gazeti bila shaka mmiliki wake ni mmoja.ukifuatilia vizuri radio imani,utabaini kua baadhi ya vipindi vyao ni vya kiuchochezi,(udini) hoja za wachangiaji wengi huwa ni pumba tupu,na mbaya zaidi wengine ni lecturers kutoka baadhi ya vyuo vikuu.hakika serikari imeshindwa kusimamia suala la usalama wa nchi,siyo kwamba haijui nini kinaendelea-inajua sana.binafsi kwa lolote litakalo tokea serikali itakua imehusika kwa 100%.suala la kujiuliza mbona kuna radio nyingi za kikiristo na za kilokole,vipindi vyao hakuna hata kimoja kinacho watukana waisilmu,wala haata wachangiaji wake katk vpindi hivyo kudhubutu kuongea mabaya yoyote kuhusu waisilamu?binafsi huwa inakela sana radio imani-morogoro.