leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,590
- 2,141
Kwa kusema pasipo na uthibitisho wa kitafiti kuwa:
Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.
- Baraza la Mitihani linafelisha Makusudi Waislamu na Shule Zao
- Vitengo nyeti wapo wakristu wakereketwa (Maana yake vyeo viangalie dini badala ya Competency)
Sioni kama kuna mantiki yoyote kwenye malalamiko haya.