atafute tu apa tz hawezi kosa watu makiniKama sikosei kiongozi wetu keshaomba msaada Rwanda.
atafute tu apa tz hawezi kosa watu makiniKama sikosei kiongozi wetu keshaomba msaada Rwanda.
atafute tu apa tz hawezi kosa watu makini
Kwani kuna kodi isiyoenda kwa mlaji???????kitendo cha ile kodi kuiita VAT,Basi mzigo unaenda moja kwa moja kwa mlaji.Labda ibadilishwe jina na isiwe VAT.Profesa yuko sahihi.TATIZO HII NCHI KWA SASA MAAMUZI YA TULIOWAPA DHAMANA YANATOLEWA KWA HOFU YA KUTUMBULIWA.
Mi ningekuwa commissioner ninge jiuzulu leo hii hiiWatanzania vitu kama hivi hatuwezi kuvifahamu watu wataleta ushabiki wa vyama vijana walio wengi wanajua wema na shilole lakini wachache sana wanaoweza kuelewa prof kazungumzia kitu gani watu ata VAT ajui maana yake
Si bora kuisoma namba , sasa hivi wananchi wameanza kusomeshwa hata lugha ya alama !Wacha wararuane.wananchi tuendelee kuisoma namba.
Kukatwa mimi sioni tatizo hila kusema Ndulu kaongea ndio nakataa!Utaamini tu! Utake usitake na wakati ukiendelea kujitafakari uamini au uwendele kutoa amini, kuanzia tarehe 1/7/2016, VAT unakatwa kama kawaida hata kama hutaki.
Mpaka watakapo waita UKAWA kuwasaidia kufikiriSoon tutapata ufafanuzi kutoka BOT na hii hoja inayotaka kuwa ya ki-Ukawa itaisha.....halafu wapotoshaji watashughulikiwa vilivyo...TUTAELEWANA TU
Zamani walikuwa wanalipa mkuu but Ilikuwa Kama sehemu ya faida so Ilikuwa inalipwa Kwenye income tax na ukumbuke huko nyuma hii sheria Ilikuwa bado haijatungwaZamani walikuwa hawatozwi na walikuwa wanatukata.. Basi wangeacha kukata.. Au wanataka walipe na zile zote za nyum?
Akikujibu hilo,najitoa JF.cc.jingalao
maana jana ulileta uzi hapa kuwa mabenki yashitakiwe kwa uhaini.tuambie sasa kati ya TRA na Benki Kuu nani wanapaswa kushitakiwa kwa uhaini.
It is very true.
Anachosema Profesa Ndulu ndiyo ukweli wenyewe, it is obvious VAT inalipwa na mlaji, kwa maana ya mteja.
Kwa kuwa kama vile :vichwa 'vya wabunge wa Ukawa wangekuwepo Bungeni, huu' upuuzi 'wa VAT kwenye miamala ya mabenki na kwenye makampuni ya simu kamwe isingepita.
Lakini ndiyo hivyo tena.. kuwa wabunge waliobaki Bungeni ndiyo wale wanaounga mkono kwa asilimia 100 kwa chochote kinacholetwa ....
kabla hujacomment shirikisha ubongo kwanza: VAT, is a tax added to the price of goods or services. Sasa hapo nani kakurupuka kama sio hao TRA na serikali kwa ujumla. hii kitu watarumbana lakini mwisho wa siku wakuumia ni sisi walaji wa mwisho.Huyu prof anajua yupo kipindi ch JK nini?
Bro wa sasa hachelewi kuchapisha note mpya
Sasa wewe ulitaka iweje wakati kila mtu anajua kuwa katika wabunge wote wa CCM waliomo Bungeni na wizarani, CCM wamebahatika kupata Mbunge mmoja tu ambaye ni Hussein Bashe.Tusiwe wavivu wa kupata taarifa sahihi mabenki yapo sahihi na prof yuko sahihi tatizo tuna wabunge wengi wa ccm uelewa wao wa mambo ni mdogo saaana hawasomi.Naomba watu waaome income tax practise notice number 05/2013 iliyotiwa sahihi tarehe 1/11/2013 inayozungumzia business income ndio utajua sasa wakuu wameamua kwa makusudi kupindisha sheria za nchi.
Na lazima tujue VAT as per international taxation laws mlipaji ni final consumer and not otherwise.kama tumeamua kuwa na ' VAT' ya definition ya kibongo kibongo well and good lakini is not health kwa elimu yetu watu wako vyuoni wanasoma hivi halafu in practices wanakuta vike its ridiculous and shame kwa watu walioshiriki kupitisha mambo ya hovyo kama haya
VAT "is a tax added to the price of goods or services"...wakati nasoma soma niliambiwa kuwa this is short and clear defination of VALUE ADDED TAX. Sasa sijui hao wanaotuaminisha kuwa VAT italipwa na mabenk na makampuni ya simu watueleze pia hizo benk au kampuni za simu zitakuwa zinanunua huduma au bidhaa gani kwetu hadi watakiwe kulipa VATTusiwe wavivu wa kupata taarifa sahihi mabenki yapo sahihi na prof yuko sahihi tatizo tuna wabunge wengi wa ccm uelewa wao wa mambo ni mdogo saaana hawasomi.Naomba watu waaome income tax practise notice number 05/2013 iliyotiwa sahihi tarehe 1/11/2013 inayozungumzia business income ndio utajua sasa wakuu wameamua kwa makusudi kupindisha sheria za nchi.
Na lazima tujue VAT as per international taxation laws mlipaji ni final consumer and not otherwise.kama tumeamua kuwa na ' VAT' ya definition ya kibongo kibongo well and good lakini is not health kwa elimu yetu watu wako vyuoni wanasoma hivi halafu in practices wanakuta vike its ridiculous and shame kwa watu walioshiriki kupitisha mambo ya hovyo kama haya
BOT wako sawa, labda mrudi bungeni mkarebishe sheria zile kura zenu za ndioooo bila kutafakari.Huyu gavana hana msaada wowote nchini..ndio maana BOT ina mauzauza kibao..atoke tu hizi nyakati zimemzidi uwezo.