Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

Hapo anatafutwa mliji wa mwisho afutiwe mikono hakuna kingine.
 
Ukweli utabaki ukweli, anayepaswa kulipia kodi hii ni final consumer, always consumption tax inalipwa na final consumer na siyo vinginevyo, kama bunge lineridhia tulipe acha tu tulipe tujenge nchi yetu.
 
Huenda watendaji hawa wakuu wa hizi taasisi hawajaelewa malengo ya JPM au JPM hajawaelewa hawa watendaji.
Wenye uelewa mdogo wa nchi hii wanajua kuwa hawa wote pamoja na zaidi ya 95% ya watendaji waliimba na kutukaririsha wimbo mtamu wa 'maisha bora kwa kila mtz' na kwa speed ya nyuma geuka wanatwambia eti #hapakazitu.
Waacheni mbwa koko ndio wapotezwe na hiyo miluzi mingi lakini Germany shepherd hata mmoja hapotei hapa, ccm ni ile ile!
 
Hahahahaha jana nilijua tunaingizwa chaka na T. R. A

Tangu lini V. A. T akalipa mfanya biashara. V. A. T ni consumption tax.

Nchi ya miujiza hiii. Tangu lini kuwe na double standards kwamba bank ndo zilipe VAT ila biashara zingine mteja ndo alipishwe.

Yani tumefikia pabaya sana kama taasisi kubwa hivi za kuaminika zinapishana kauli hadharani.
Hapa kazi tu.
 
tatizo nini kwani Lipeni kodi..na hata ikiamriwa zaidi ya hapo tutalipa tu...

yesi...viongezwe tu pengine tutajitathmini upya
 
Ina maana bunge wamepitisha kitu wasichokijua na wizara hakuyajua haya? Inaelekea which ever way tutaisoma namba. Na kama ni hvyo basis ya makato ni nini-gharama ya hela unayohamisha au makato ya benki?
 
Kwa mujibu wa act ya Vat Ndulu yuko sahihi KIDATA anatakiwa kwenda ITA kupatiwa mafunzo ya Induction course ambayo ni ya lazima kwa kila mwajiriwa mpya wa TRA. Vinginevyo atashindwa kumshauri rais pia ni vyema akawatumia wasaidizi wake kabla hajatoa tamko lolote linalohitaji uelewa wa kodi. Yeye ni CEO tuu mengine afanye rejea kabla hajaongea huo ni ushauri tùu
Mbio za kumfurahisha mtukufu na kutupiana mizigo.
 
Tra hakuna wajuvyi wa kodi, nafasi nyingi za kugaiana tu. Hata hio vat juu ya ada ni utumiaji mbovu wa vat. Sio kila mahala una toza vat.
Hii kwa uerfu ni valu added tax. Inatumika pale mlaji anapo nunua kitu. Hutumika zaidi kwenye bidhaa na sio kwenye services. Na hii ni kodi ambayo kuna wengine wapo excempted mfano diplomats . Hawa wanapo nunua kitu au service basi huomba refund...ni usumbufu sana ila tra hawajui ku plan mambo yao kwani wana ukosefu wa wataalam wa kububi hiw yo implement tax wanazo zitunga.
Na hili la bank vat haikupaswa kuwekwa kabisa , ndio kama lile la utaliii....
Gharama za kuweka fedha benki hazitakiwi ziwe juu . Ukiweka vat ni wazi banki wata ongeza juu ada zao kufidia ile iliokatwa na vat....hivyo gharama zinaenda kwa mteja.
Tukumbuke fedha zozote zinazo wekea bank tayari aidha ni income au revenue ya makampuni au mishahara ya wafanyakazi ambao wanapitishia fedha benki.
Hizi fedha sio product, hizi tayari ndani yake kuna vat ya tra , kuna stamp duty ya tra, kuna WHT ya tra pia kuna corporate tax ya tra...na kwa wafanya kazi ni net income baada ya kutoa payee. Kuzitoza kodi kwa njia yoyote ile hata kwa kuongezeka ada juu kutokana na kuanzishwa vat ya ada sio sawa kabisa kabisa..ni kodi haramu au kodi jipu
Yaani kamshahara nikalipie PAYE-halafu ili nikatoe kwenye account nikalipie (bank charges + VAT) halafu ukienda kununua sukari (unalipa VAT tena). OMG haya tuwe wazalendo tulipe kodi!!!!!
 
Mkuu mbeziboy mabenk yangewezaje kulipa tena wakati yanalipa kodi ya jumla kwenye mapato yake?na mapato ni pamoja na bank charges.Yani muuza duka alipe kodi ya mapato na bado alipie kodi ya sukari peke yake,inakuwaje?
Ukishataja sukari hoja yako haisikilizwi tena na wale wa ndioooooo
 
Ndulu hajasoma/hajaielewa taarifa ya TRA.Amekurupuka. Kwanza huyu mtu ni jipu. Nashangaa mpaka leo hajatumbuliwa.
Siyapendi aliyosema Ndulu lakini hii haifanyi aliyosema kuwa si kweli, kiukweli nimeanza kuona huenda akawa sawa. Hii haituzuii kupiga kelele kama serikali ilikosea yaweza kujirekebisha au sivyo tutulie tu dawa ii...e.
 
Bank Charges Haziepukiki,ziwe na kodi ndani yake ama zisiwe na kodi ndani yake.Kumbuka Zile ni sehemu ya gharama unazotozwa kwa huduma unazopata za kibenki.Sasa kama Serikali yako haikuwa inatoza chochote kwenye charge hizo si kosa la Benki ama jukumu la benki kuiambia Serikali iwacharge.Na vyovyote vile,Tozo hiyo ikiitwa VAT basi automatically jukumu linakuwa kwa mlaji,na hata iwe excise duty nyingine,Mabenki yatatafuta namna ya kuongeza mzigo kwa wateja kwa kigezo cha kupanda kwa gharama za uendeshaji.
Well said broo kuna watu wanatoa maoni bila kujua msingi wa VAT
1467474737186.jpg
 
Huyu gavana hana msaada wowote nchini..ndio maana BOT ina mauzauza kibao..atoke tu hizi nyakati zimemzidi uwezo.
Rafiki Ndulu yupo sahihi kabisa.VAT inalipwa na mlaji.Labda wabadili Income Tax Act kabla ya kuwapa oda.
 
I

Ikiwa huyajui haya mambo ni bora ukauliza kuliko kukurupuka. Sio hivyo mkuu.

TRA wamechemka, BOT iko sahihi
Nashangaa labda Waziri Mipango hajaisoma Income Tax Act
 
Tusiwe wavivu wa kupata taarifa sahihi mabenki yapo sahihi na prof yuko sahihi tatizo tuna wabunge wengi wa ccm uelewa wao wa mambo ni mdogo saaana hawasomi.Naomba watu waaome income tax practise notice number 05/2013 iliyotiwa sahihi tarehe 1/11/2013 inayozungumzia business income ndio utajua sasa wakuu wameamua kwa makusudi kupindisha sheria za nchi.

Na lazima tujue VAT as per international taxation laws mlipaji ni final consumer and not otherwise.kama tumeamua kuwa na ' VAT' ya definition ya kibongo kibongo well and good lakini is not health kwa elimu yetu watu wako vyuoni wanasoma hivi halafu in practices wanakuta vike its ridiculous and shame kwa watu walioshiriki kupitisha mambo ya hovyo kama haya

Tatizo Watanzania hatupendi kusoma sheria zetu.Sheria ya kodi inajieleza kabisa.VAT inabebwa na Mlaji.
 
Back
Top Bottom