Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 65
Mama Lao,
Apende asipende he had no choice but to give out money to bail out serikali (CCM)! hata kama angekataa, the next guy was going to face the same dillema and had to either accept what the Government wants or surrender!
Nyinyi mwafikiri ni pesa zinazotoka kirahisi bila ruhusa ya Raisi na Waziri wa Fedha? Nope! Ukirudia mada yangu kuhusu Meremeta utaelewa ni nini kilichotokea. Kibaya zaidi ni kuwa Uchunguzi huu utaleta vurugu mechi ambayo hatutataka kuina kamwe.
When did you see Jeshi being investigated? who has balls to investigate CCM and its arms?
Mwacheni Kondoo wa Kafara atulie huko unyamwezini! The only way for the truth to come out is for CCM loosing the control of parliament in 2010!
Hiyo ripoti itakaliwa Ikulu na Rais atasema kwa Taifa hakuna ushahidi wa Wizi na Sifukuzi Mawaziri!
But collectivelly, we can make the thruth even partial to come out 2011 if we vote more seats to opposition in the parliament!
Kweli kabisa Rev hata mimi nakubaliana nawe kwa kiasi fulani kuwa Balali ni kafara hapa. Pesa zilizatikiwa kutoka ili zilipie uchaguzi wa ccm na kuwanunua wanajeshi wazidi kuwa watiifu.
Pesa nyingine zimetoka kumlipa mwizi na mkoloni Rostam Aziz kwa mapesa aliyogawa kwa wajumbe wa NEC wakati wa kampeni za CCM mwaka 2005. Balali hakuwa na choice lasivyo wangemrutihinda kama kipindi kipindi kile cha kesi Rutihinda+Kibona dhidi ya CCM ya Malecela.
Hata hivyo, kwanini jamaa wanataka Balali afe so bad? hili ndilo swali najiuliza. Mimi sina msahama kwa Balali, kama ni mwema angefanya alichofanya yule Githongo wa Kenya kwa kurekodi mazungumzo na baadae akimbilie huku na kuwashikia bango jamaa.
Yeye atahusishwa tu na wizi huu labda kama anataka light sentensi kwa kushirikiana na waendesha mashtaka. Hata hivyo ujenzi wa majengo ya BOT una kashfa kibao na Balali aliutetea hadharani. Kwa hili the guy naye ni mwizi na anastahili kuwa na special tanuru ya kumchoma vizuri huko jehanum siku akifa rasmi