FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Hivi akili ya huyu dada huwa iko sawa sawa kweli..vituko vyake tu huwa vinaniacha hoi
Nimeumia sana kwa kuangalia hii picha.
hii ni noma nawasubiri kuwasikia wale PETA watasemaje
Hivi akili ya huyu dada huwa iko sawa sawa kweli..vituko vyake tu huwa vinaniacha hoi
Kweli kabisa.Hiyo sio nyama halisi.Ni mabandia tu/maplastiki yana rangi ya nyama.Hivi kuna uthibitisho kuwa hilo vazi lilitengenezwa kwa nyama kweli au nyama bandia? Manake nyama gani hiyo isiyoacha walau unyevynyevu wa damu? Au iliwekewa kemikali?
Nasita kuamini kuwa ilikuwa nyama ya kweli
Nanukuu kipande cha maelezo haya hapa:Hivi kuna uthibitisho kuwa hilo vazi lilitengenezwa kwa nyama kweli au nyama bandia? Manake nyama gani hiyo isiyoacha walau unyevynyevu wa damu? Au iliwekewa kemikali?
Nasita kuamini kuwa ilikuwa nyama ya kweli
]!!!!!!!!!!!!!!!!!mmmmmhhhhhh wagosha[/color]
huyu mwanamke ni Yezebel, ni mmoja wa maajenti wa shetani toka kuzimu kabisa. wengi wa wanaoangalia au kuhudhuria matamasha yake, kuangalia nyimbo zake, huwa wanaingiliwa na mapepo ya ajabu ambayo kutoka si rahisi. watu hawa wanaoabudu dini ya shetani, wamemaliza wengi. kama haujui jini, angalia jinsi anavyotembea, jinsi alivyo na mwenendo wa kingonongono, mwenendo wa kishetani, yaani ni pepo kabisa, shetani kavaa mwili wake na atamaliza roho nyingi za watu. poleni wafuasi wake!
sipati picha alivyokuwa ananuka!uchizi tu unamsumbua!
hiyo bongo hatuwezi kuiga na hawa inzi wetu si wataonekana wao badala ya hio nyama!
Hivi kuna uthibitisho kuwa hilo vazi lilitengenezwa kwa nyama kweli au nyama bandia? Manake nyama gani hiyo isiyoacha walau unyevynyevu wa damu? Au iliwekewa kemikali?
Nasita kuamini kuwa ilikuwa nyama ya kweli
Nyama hiyo inapoanza kuchina inakuwaje?