Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
Niseme tu wazi miongoni mwa wanamuziki wenye vipaji tofauti tofauti vya hali ya juu ila hawajielewi basi mmoja wapo ni huyu ndugu yetu Abasi Kinzasa (20 Percent).
20 Percent ni msanii wa hali ya juu mwenye uwezo wa hali ya juu wa kuandika na kuimba nyimbo zinazoteka hisia za watu kwa kiasi kikubwa mno ila marafiki wa hovyo waliokuwa wakimzunguka ndio waliochangia anguko lake la kimuziki.
Ikumbukwe msanii twenty percent ndiye msanii wa kwanza kihistoria kubeba tuzo nyingi za Kilimanjaro Music Awards kwa mara moja baada ya kufanikiwa kubeba tuzo 5 za Kilimanjaro Music Awards mwaka 2011 katika vipengele sita alivyokuwa anawania kabla historia hiyo haijavunjwa na Diamond Platnumz mwaka 2014 baada ya Diamond kuweka rekodi ya kuchukua tuzo 7 za Kilimanjaro Music Awards rekodi ambayo haijavunjwa mpaka leo.
Sasa kilichomponza 20 ni hizi tuzo maana zilimvimbisha kichwa sana nakuona ameshamaliza kila kitu akawa ni mtu wa starehe starehe na yeye badala ya kuumiza kichwa kutoa kazi zingine kali zaidi.
Na alizidi kupotea zaidi baada ya yeye na producer wake ambao chemistry zao mara nyingi zinaendana (Man Walter) maana hapa kila mmoja alijiona yupo juu ya mwenzie.
20 Percent alivuka mipaka kwa kumtusi mpaka Diamond Platnumz kwamba eti si lolote si chochote hapa ndipo alipozidi kujiharibia.
Na kama hiyo haitoshi juzi kati hapa alipoenda kuhusu ishu ya Juma Nature na kusema "Achilia mbali Juma Nature kutaka kulipwa laki 5 kwa show, Mimi kwa hadhi yangu sifanyi show hata kwa milioni moja" .
Tuachane na mambo ya muziki turudi kwenye upande wa kuigiza.
Kwa upande wa kuigiza 20 Percent amewaacha mbali sana waigizaji wengi sana hapa bongo kiasi kwamba alikuwa tishio mpaka kwa marehemu Steven Kanumba ila tu jamaa hakuwa serious na Sanaa ya maigizo.
Kupitia filamu ya Furaha Ipo wapi jamaa aliuonesha ulimwengu upande wake wa pili wa vipaji alivyojaliwa na Mwenyezi Mungu. 20 alizidi kujizolea mashabiki lukuki na hapo akajisahau tena na kuvimba kichwa kwa kutaka dau kubwa ili aje kuigiza kwenye filamu yako ,alikuwa anataka kucheza filamu kwa milioni 4 kama sikosei wakati kwa kipindi hicho hata akina Kanumba wenyewe dau lao lilikiwa halifiki huko.
Yote kwa yote muda bado upo ,kurudi kwenye muziki kwa Sasa na kuwika ni ngumu ila arudi kwenye kuigiza atang'aa sana hilo halina ubishi kabisa.
20 Percent ni msanii wa hali ya juu mwenye uwezo wa hali ya juu wa kuandika na kuimba nyimbo zinazoteka hisia za watu kwa kiasi kikubwa mno ila marafiki wa hovyo waliokuwa wakimzunguka ndio waliochangia anguko lake la kimuziki.
Ikumbukwe msanii twenty percent ndiye msanii wa kwanza kihistoria kubeba tuzo nyingi za Kilimanjaro Music Awards kwa mara moja baada ya kufanikiwa kubeba tuzo 5 za Kilimanjaro Music Awards mwaka 2011 katika vipengele sita alivyokuwa anawania kabla historia hiyo haijavunjwa na Diamond Platnumz mwaka 2014 baada ya Diamond kuweka rekodi ya kuchukua tuzo 7 za Kilimanjaro Music Awards rekodi ambayo haijavunjwa mpaka leo.
Sasa kilichomponza 20 ni hizi tuzo maana zilimvimbisha kichwa sana nakuona ameshamaliza kila kitu akawa ni mtu wa starehe starehe na yeye badala ya kuumiza kichwa kutoa kazi zingine kali zaidi.
Na alizidi kupotea zaidi baada ya yeye na producer wake ambao chemistry zao mara nyingi zinaendana (Man Walter) maana hapa kila mmoja alijiona yupo juu ya mwenzie.
20 Percent alivuka mipaka kwa kumtusi mpaka Diamond Platnumz kwamba eti si lolote si chochote hapa ndipo alipozidi kujiharibia.
Na kama hiyo haitoshi juzi kati hapa alipoenda kuhusu ishu ya Juma Nature na kusema "Achilia mbali Juma Nature kutaka kulipwa laki 5 kwa show, Mimi kwa hadhi yangu sifanyi show hata kwa milioni moja" .
Tuachane na mambo ya muziki turudi kwenye upande wa kuigiza.
Kwa upande wa kuigiza 20 Percent amewaacha mbali sana waigizaji wengi sana hapa bongo kiasi kwamba alikuwa tishio mpaka kwa marehemu Steven Kanumba ila tu jamaa hakuwa serious na Sanaa ya maigizo.
Kupitia filamu ya Furaha Ipo wapi jamaa aliuonesha ulimwengu upande wake wa pili wa vipaji alivyojaliwa na Mwenyezi Mungu. 20 alizidi kujizolea mashabiki lukuki na hapo akajisahau tena na kuvimba kichwa kwa kutaka dau kubwa ili aje kuigiza kwenye filamu yako ,alikuwa anataka kucheza filamu kwa milioni 4 kama sikosei wakati kwa kipindi hicho hata akina Kanumba wenyewe dau lao lilikiwa halifiki huko.
Yote kwa yote muda bado upo ,kurudi kwenye muziki kwa Sasa na kuwika ni ngumu ila arudi kwenye kuigiza atang'aa sana hilo halina ubishi kabisa.
2011 winnersEdit
Main article: 2011 Tanzania Music AwardsCategory | Artist | Track |
---|---|---|
Best Male Artist | 20 Percent | |
Best Female Artist | Lady Jaydee | |
Best Male Singer | 20 Percent | |
Best Female Singer | Linah Sanga | |
Best Song Writer | 20 Percent | |
Best Upcoming Artist | Linah Sanga | |
Best Hip Hop Artist | Joh Makini | |
Best Rapper (from a Band) | Khalid Chokoraa | |
Best Song | 20 Percent | 'Tamaa Mbaya'[6] |
Best music video | CPWAA ft Ms. Triniti, Albert Mangwea & Dully Sykes | 'Action' |
Best Afro Pop Song | 20 Percent | 'Ya Nini Malumbano' |
Best R&B Song | Ben Pol | 'Nikikupata' |
Best Zouk/Rumba Song | Barnaba Classic | 'Nabembelezwa' |
Best Hip Hop Song | JCB ft Fid Q & Chidi Benz | 'Ukisikia Paah' |
Best Collaboration Song | JCB ft Fid Q & Chidi Benz & Jay Moe | 'Ukisikia Paah' |
Best Swahili Song (from a Band) | Mapacha Watatu ft Mzee Yusuph | 'Shika Ushikapo' |
Best Ragga/Dancehall Song | CPWAA ft Ms. Triniti, Albert Mangwea & Dully Sykes | 'Action' |
Best Reggae Song | Hardmad ft Enika & BNV | 'Ujio Mpya' |
Best Taarab Song | Jahazi Modern Taarab | 'My Valentine' |
Best East African Song | Kidum & Lady Jaydee | 'Nitafanya' |
Best Traditional Song | Mpoki Mjuni ft Cassim | 'Shangazi' |
Best Producer | Lamar (Fish Crab) | |
Hall of Fame trophy |
|