Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Hii ni nyama halisi mkuu, niliisoma kwenye jarida la OK! Ukigoogle utapata hata jina la designer (designer anasema hiyo ni nyama alichukua katika duka "butcher" lao la familia!!!). Huyu mtu kichaa jamani, siku nyingine atavaa gauni limetengenezwa kwa kinyesi!
Au kwa mbegu za kiume!!!!!!!!!