Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 55.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.

640x360_cmsv2_72403c8d-927d-5d06-a834-b25313b15d33-7856772.jpg

Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

========

Gabonese President Ali Bongo Ondimba is being detained at home and one of his sons has been arrested for "treason," military officers said Wednesday, hours after announcing they had overthrown the government.

"President Ali Bongo is under house arrest, surrounded by his family and doctors," they said in a statement read out on state TV.

Bongo's son and close adviser Noureddin Bongo Valentin, his chief of staff Ian Ghislain Ngoulou as well as his deputy, two other presidential advisers and the two top officials in the ruling Gabonese Democratic Party (PDG) "have been arrested," a military leader said.

They are accused of treason, embezzlement, corruption and falsifying the president's signature, among other allegations, he said.

Earlier on Wednesday, military officers said they had toppled Bongo, who has been in power for 14 years, hours after he had been declared the victor in Saturday's elections.

In a televised statement, they said the vote results had been cancelled and "all the institutions of the republic" dissolved.

===========

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
 
HabariMpyaa.jpg


Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon na kusema wamechukua mamlaka.

Wamesema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi.

Tume ya uchaguzi ilisema Bw Bongo alishinda chini ya theluthi mbili tu ya kura katika uchaguzi ambao upinzani ulidai kuwa ulikuwa wa udanganyifu.

Kupinduliwa kwake kutakomesha utawala wa familia yake iliyodumu kwa miaka 53 madarakani nchini Gabon.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

Gabonese military officers said they had taken power after the state election body announced President Ali Bongo had won a third term.

A group of high-ranking military officers in Gabon appeared on TV on Wednesday to announce the nullification of the country's recent election results, citing a lack of credibility.

The move comes after the state electoral body declared President Ali Bongo the winner of a third term.

Claiming to represent all of Gabon's security and defense forces, the officers declared the dissolution of "all the institutions of the republic."

They cited "irresponsible, unpredictable governance" leading to a deteriorating social climate as the reason for their intervention, aiming to restore peace by ending the current regime. The announcement on the Gabon 24 TV channel was made on behalf of a group calling itself the "Committee for the Transition and Restoration of Institutions."

In a related development, gunfire was heard in the capital city of Libreville, according to news agency AFP.

DW News
 
Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu
Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

Gabon military officers claim power, say election lacked credibility

Safi sana, hawa puppets wa mabeberu ni kuwanyoosha kama hivyo.
 
View attachment 2733075

Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon na kusema wamechukua mamlaka.

Wamesema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi.

Tume ya uchaguzi ilisema Bw Bongo alishinda chini ya theluthi mbili tu ya kura katika uchaguzi ambao upinzani ulidai kuwa ulikuwa wa udanganyifu.

Kupinduliwa kwake kutakomesha utawala wa familia yake iliyodumu kwa miaka 53 madarakani nchini Gabon.

★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★★

Gabonese military officers said they had taken power after the state election body announced President Ali Bongo had won a third term.

A group of high-ranking military officers in Gabon appeared on TV on Wednesday to announce the nullification of the country's recent election results, citing a lack of credibility.

The move comes after the state electoral body declared President Ali Bongo the winner of a third term.

Claiming to represent all of Gabon's security and defense forces, the officers declared the dissolution of "all the institutions of the republic."

They cited "irresponsible, unpredictable governance" leading to a deteriorating social climate as the reason for their intervention, aiming to restore peace by ending the current regime. The announcement on the Gabon 24 TV channel was made on behalf of a group calling itself the "Committee for the Transition and Restoration of Institutions."

In a related development, gunfire was heard in the capital city of Libreville, according to news agency AFP.

DW News
Nayaunga mkono kwa 100% haya mapinduzi ya Gabon, na wakianza kuchapana pia nitaziunga mkono pande zote kwa 100%
 
Back
Top Bottom