PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wakuu,

Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendelea :KEKLaugh: hivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea:KEKLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!

Pia soma Pre GE2025 - Ogopa Teknolojia na Mungu! Sasa ni rasmi G55 wametumwa kuifumuafumua CHADEMA mpaka isambaratike

Moshi wameanza kuunguruma


Meza kuu inajumuisha
  • Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Moshi DC
  • Mwenyekiti Mstaafu wa Halmashauri ya Moshi DC - Michael Kilawila
  • Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Kilimanjaro - Grace Kiwelu
  • Katibu wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini - Rachel Sadiki
  • Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro - Gervas Mgonja
  • Katibu wa Mkoa wa Kilimanjaro

Gervas Mgonja Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro
Mwenendo wa chama chetu hauridhishi, tuliokuwa tunamsapoti Mbowe tumekuwa hatuishi kwa amani ndani ya kipindi hiki. Najivua rasmi vyeo vyangu na uanachama wa CHADEMA kuanzia leo Mei 11, 2025.

Rachel Sadiki Mwanachadema & na Founder wa CHADEMA jimbo la Mkinga-Tanga
Nilipeleka harakati kwa mara ya kwanza CHADEMA, nilifanya kazi mpaka nikafukuzwa serikalini, nikafirisika. Tulishauri lakini tulichukuliwa kama wahalifu. Hatujapewa haki ya kujieleza wala kusikilizwa, suala la kuondolewa/kushughulikiwa kwetu lina baraka za chama, sioni mwanga huko tunapoenda. Ninajitoa uanachama wa CHADEMA na kujivua nyadhifa zilizonazo na kufanya shughuli nyingine kama alivyosema Mbowe

Wajikusanye wote kwa pamoja watangaze kutoka, wanatupigia kelele!
 
Anaedharau kambi pinzani ndani ya Chadema huenda alikuwa mkimbizi wa muda mrefu kwamba hajui ambayo yanaendelea nchii hii. CUF ilikufa kwa sura hiyo..CUF has become history, almost no more. The same,kwa movement hii ya G55 Chadema is on the same path through which CUF took to it's total death. A matter of time. Anaebisha kuwa CCM ni GIANT muda utatuambia.
Kwa bahati mbaya mfano wa CUF huingii kwa cdm, kwa CUF aliondoka maalim Seif aliyekuwa na nguvu, kwa cdm wanaondoka waganga njaa wasio na ushawishi wowote. Lisu angeondoka cdm ndio ingeyumba, sio hao wababaishaji. Namna pekee ya kuifuta cdm na kuifuta kwa msajili, sio kwa hizo press za wachaga.
 
Leo watamsema nani? Jana ilikuwa zamu ya Lema. Sasa yule malaya Emma alikuwa mweka hazina wa kaskazini alikuja dar kufanya press na leo kule kwao viongozi wenzake wanafanya press. Au wanakutana kimafungu kutokana na mafungu ya mgao wa Abdul? Kila kundi na fungu lake?
Ninazidi kuziamini zile tetesi toka Twitter na Dr Slaa kuwa kuna 12B iliingia chadema. Nasubiria tetesi toka Twitter na Dr Slaa kuwa hawa g55 wamepewa billioni ngapi?
 
Hawawezi kufanya kimya kimya mpaka watupigie kettle, sisi ndiyo tuliwaambia wajiunge CHADEMA, kwa nini wakati wakijiunga hawakuita press? Hawa jamaa akili kisoda
 
Ninazidi kuziamini zile tetesi toka Twitter kuwa kipindi cha uchaguzi wa viongozi wa chadema kuna asali ya 12B ilitumbukia chamani. Sijui hawa g55 wamepewa billioni ngapi?
Ni kweli team Mbowe walipewa hizo hela ili wamshinde Lisu, lakini ikashindikana, kwa sasa team Mbowe wako kwenye marejesho ya hiyo hela. Na bado watataabishwa vibaya.
 
Ni kweli team Mbowe walipewa hizo hela ili wamshinde Lisu, lakini ikashindikana, kwa sasa team Mbowe wako kwenye marejesho ya hiyo hela. Na bado wataabishwa vibaya.
Kijani wamepania mno kama kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema walitoa 12B, vipi kuhusu hao g55 🤣🤣🤣 Nasubiria tetesi toka Twitter na Dr Slaa sijui hao g55 wamepewa billioni ngapi?
 
Wawekeze nguvu kwenye chama kipya wanachoenda huku wanapoteza muda tunawasubiri ground ndio kutaongea press ni porojo ujumbe wameshagikisha waje mtaani kwa wananchi ndio wataona yaliyomo yamo au otherwise kwa sasa No reform No Election imepata mapokezi makubwa sana wao waendelee kushikikiana na dola na mikakati yao yakuzuia
😂😂 Nakumbuka Mbatia pia aliingizwa mjini na Magufuli kuwa chama chake kitapata viti 20+ ili kiwe chama kikuu cha upinzani. Safari ya kwanza Mbatia akaanzia Mbeya na ndege ATC, kufika huko akapokelewa na mkuu wa mkoa wa Mbeya. Mkutano akajaziwa na wanaccm! Ila kadiri kampeni zilivyokuwa zinaendelea NCCR ikawa haina nyomi, inabidi watu walipwe, na wanaccm wanapelekwa ili kumpa nyomi lakini wapi.

Kufika uchaguzi mkuu Magufuli akaona NCCR haina ushawishi wowote, na cdm inazidi kukubalika, ikabidi apore uchaguzi wote.
 
Hawa ndio waliokuwa wakikihujumu chama sasa Mungu kawandoa.
Inawezekana kuna mabilioni mengine wamepewa, maana tetesi toka Twitter mara ya mwisho kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema isemekana kuna asali ya 12B iliingia chadema inawezekana hao g55 ndio walioilamba. Na sasa wamepewa dau jipya la mabilioni mengine 🤣🤣🤣


Subiria Huko Twitter na Dr Slaa watasema ni billioni ngapi wamepewa akina g55
 
Wasiende Mbeya watapata tabu sana. Kuzomewa nje nje,watatafuta mahala pa kujificha
 

Attachments

  • VID-20250511-WA0035.mp4
    12.3 MB
  • VID-20250511-WA0026.mp4
    14.1 MB
Mbowe nilikuwa namheshimu. Napoteza imani nae kwa speed sana. Kama kweli yuko nyuma ya hawa mitu,atajishushia heshima sana. Bahati mbaya inaonyesha ni wote wa moshi na Arusha hawa mitu,ndicho kinachoaminisha kuna Mbowe nyuma yao
 
Sasa kama sio wanachama/viongozi wa chadema inakuwaje wanatumia nendo za chadema?
Bc wale covid 19 wapo sahihi kujiita chadema.
 
Back
Top Bottom