Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,538
- 122,959
Ni mkakati eti wa kuiua cdm, na vyombo vya habari vinapewa posho kuhakikisha vinatangaza habari hizo ili kufanya ionekane cdm imekufa. Mahali wanachoka ni pale wanapoona mikutano ya NRNE inajaza watu wanazidi kupata shida. Uzuri wananchi nao wameshaamka, na wanapoona hizi press za kila siku ndio wanazidi kuamka kuwa kuna mpango nyuma ya pazia.Hizi press conference ni za kazi gani mbona hawajielewi hawa?
hivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea
