Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,896
- 15,465
press nyingi sana hadi jpili si mchezo yaniHizi press conference ni za kazi gani mbona hawajielewi hawa?
press nyingi sana hadi jpili si mchezo yaniHizi press conference ni za kazi gani mbona hawajielewi hawa?
100%Kwanini wanatumia nembo ya Chadema watumie ya CCM au ya Chauma wanakoelekea, wapuuzi sana.
CHADEMA SI NI CHAMA KUBWA?Hizi press conference ni za kazi gani mbona hawajielewi hawa?
Wakuu,
Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendeleahivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea
Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!
Pia soma Pre GE2025 - Ogopa Teknolojia na Mungu! Sasa ni rasmi G55 wametumwa kuifumuafumua CHADEMA mpaka isambaratike
Moshi wameanza kuunguruma
Meza kuu inajumuisha
- Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Moshi DC
- Mwenyekiti Mstaafu wa Halmashauri ya Moshi DC - Michael Kilawila
- Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Kilimanjaro - Grace Kiwelu
- Katibu wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini - Rachel Sadiki
- Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro - Gervas Mgonja
- Katibu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Gervas Mgonja Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro
Mwenendo wa chama chetu hauridhishi, tuliokuwa tunamsapoti Mbowe tumekuwa hatuishi kwa amani ndani ya kipindi hiki. Najivua rasmi vyeo vyangu na uanachama wa CHADEMA kuanzia leo Mei 11, 2025.
Rachel Sadiki Mwanachadema & na Founder wa CHADEMA jimbo la Mkinga-Tanga
Nilipeleka harakati kwa mara ya kwanza CHADEMA, nilifanya kazi mpaka nikafukuzwa serikalini, nikafirisika. Tulishauri lakini tulichukuliwa kama wahalifu. Hatujapewa haki ya kujieleza wala kusikilizwa, suala la kuondolewa/kushughulikiwa kwetu lina baraka za chama, sioni mwanga huko tunapoenda. Ninajitoa uanachama wa CHADEMA na kujivua nyadhifa zilizonazo na kufanya shughuli nyingine kama alivyosema Mbowe
Wakuu,
Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendeleahivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea
Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!
Pia soma Pre GE2025 - Ogopa Teknolojia na Mungu! Sasa ni rasmi G55 wametumwa kuifumuafumua CHADEMA mpaka isambaratike
Moshi wameanza kuunguruma
Meza kuu inajumuisha
- Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Moshi DC
- Mwenyekiti Mstaafu wa Halmashauri ya Moshi DC - Michael Kilawila
- Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Kilimanjaro - Grace Kiwelu
- Katibu wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini - Rachel Sadiki
- Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro - Gervas Mgonja
- Katibu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Gervas Mgonja Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro
Mwenendo wa chama chetu hauridhishi, tuliokuwa tunamsapoti Mbowe tumekuwa hatuishi kwa amani ndani ya kipindi hiki. Najivua rasmi vyeo vyangu na uanachama wa CHADEMA kuanzia leo Mei 11, 2025.
Rachel Sadiki Mwanachadema & na Founder wa CHADEMA jimbo la Mkinga-Tanga
Nilipeleka harakati kwa mara ya kwanza CHADEMA, nilifanya kazi mpaka nikafukuzwa serikalini, nikafirisika. Tulishauri lakini tulichukuliwa kama wahalifu. Hatujapewa haki ya kujieleza wala kusikilizwa, suala la kuondolewa/kushughulikiwa kwetu lina baraka za chama, sioni mwanga huko tunapoenda. Ninajitoa uanachama wa CHADEMA na kujivua nyadhifa zilizonazo na kufanya shughuli nyingine kama alivyosema Mbowe
😂😂Leo watamsema nani? Jana ilikuwa zamu ya Lema. Sasa yule malaya Emma alikuwa mweka hazina wa kaskazini alikuja dar kufanya press na leo kule kwao viongozi wenzake wanafanya press. Au wanakutana kimafungu kutokana na mafungu ya mgao wa Abdul? Kila kundi na fungu lake?
Kabisa na Bora waendelee na mikutano yao bila kuwajibuNiwashauri Chadema wawapuuze kabisa hawa kenge, wasiwajibu
Wakuu,
Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendeleahivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea
Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!
Pia soma Pre GE2025 - Ogopa Teknolojia na Mungu! Sasa ni rasmi G55 wametumwa kuifumuafumua CHADEMA mpaka isambaratike
Moshi wameanza kuunguruma
Meza kuu inajumuisha
- Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Moshi DC
- Mwenyekiti Mstaafu wa Halmashauri ya Moshi DC - Michael Kilawila
- Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Kilimanjaro - Grace Kiwelu
- Katibu wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini - Rachel Sadiki
- Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro - Gervas Mgonja
- Katibu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Gervas Mgonja Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro
Mwenendo wa chama chetu hauridhishi, tuliokuwa tunamsapoti Mbowe tumekuwa hatuishi kwa amani ndani ya kipindi hiki. Najivua rasmi vyeo vyangu na uanachama wa CHADEMA kuanzia leo Mei 11, 2025.
Rachel Sadiki Mwanachadema & na Founder wa CHADEMA jimbo la Mkinga-Tanga
Nilipeleka harakati kwa mara ya kwanza CHADEMA, nilifanya kazi mpaka nikafukuzwa serikalini, nikafirisika. Tulishauri lakini tulichukuliwa kama wahalifu. Hatujapewa haki ya kujieleza wala kusikilizwa, suala la kuondolewa/kushughulikiwa kwetu lina baraka za chama, sioni mwanga huko tunapoenda. Ninajitoa uanachama wa CHADEMA na kujivua nyadhifa zilizonazo na kufanya shughuli nyingine kama alivyosema Mbowe
Tumeambiwa kujastfay matumizi yapesa walipewa🤣🤣Ina maana media za Dar hasikiki Moshi na Morogoro au lengo lao kuzurura wamekosa cha kufanya Dar?
Hatuwataki washenzi hawa. Kama wanaondoka waondoke zao wajinga sana.Hizi press conference ni za kazi gani mbona hawajielewi hawa?
Wakuu,
Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendeleahivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea
Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!
Pia soma Pre GE2025 - Ogopa Teknolojia na Mungu! Sasa ni rasmi G55 wametumwa kuifumuafumua CHADEMA mpaka isambaratike
Moshi wameanza kuunguruma
Meza kuu inajumuisha
- Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Moshi DC
- Mwenyekiti Mstaafu wa Halmashauri ya Moshi DC - Michael Kilawila
- Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Kilimanjaro - Grace Kiwelu
- Katibu wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini - Rachel Sadiki
- Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro - Gervas Mgonja
- Katibu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Gervas Mgonja Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro
Mwenendo wa chama chetu hauridhishi, tuliokuwa tunamsapoti Mbowe tumekuwa hatuishi kwa amani ndani ya kipindi hiki. Najivua rasmi vyeo vyangu na uanachama wa CHADEMA kuanzia leo Mei 11, 2025.
Rachel Sadiki Mwanachadema & na Founder wa CHADEMA jimbo la Mkinga-Tanga
Nilipeleka harakati kwa mara ya kwanza CHADEMA, nilifanya kazi mpaka nikafukuzwa serikalini, nikafirisika. Tulishauri lakini tulichukuliwa kama wahalifu. Hatujapewa haki ya kujieleza wala kusikilizwa, suala la kuondolewa/kushughulikiwa kwetu lina baraka za chama, sioni mwanga huko tunapoenda. Ninajitoa uanachama wa CHADEMA na kujivua nyadhifa zilizonazo na kufanya shughuli nyingine kama alivyosema Mbowe
Chama bado kinatoa kadi za kidijitali<swali nje ya Mada>
Habari Ndugu Chillah
- Hivi kwa sasa chama kinatoa kadi za Kidigitali au bado zile za kuandika kwa Peni?
Harufu hukuisikia Bunge la Ulaya!!!Mnakinukisha lini nyie mazuzu
Wakuu,
Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendeleahivi hawaoni walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla, anakuua, inakuwa ni fezea
Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!
Pia soma Pre GE2025 - Ogopa Teknolojia na Mungu! Sasa ni rasmi G55 wametumwa kuifumuafumua CHADEMA mpaka isambaratike
Moshi wameanza kuunguruma
Meza kuu inajumuisha
- Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Moshi DC
- Mwenyekiti Mstaafu wa Halmashauri ya Moshi DC - Michael Kilawila
- Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Kilimanjaro - Grace Kiwelu
- Katibu wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini - Rachel Sadiki
- Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro - Gervas Mgonja
- Katibu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Gervas Mgonja Mwenyekiti wa Mkoa wa Kilimanjaro
Mwenendo wa chama chetu hauridhishi, tuliokuwa tunamsapoti Mbowe tumekuwa hatuishi kwa amani ndani ya kipindi hiki. Najivua rasmi vyeo vyangu na uanachama wa CHADEMA kuanzia leo Mei 11, 2025.
Rachel Sadiki Mwanachadema & na Founder wa CHADEMA jimbo la Mkinga-Tanga
Nilipeleka harakati kwa mara ya kwanza CHADEMA, nilifanya kazi mpaka nikafukuzwa serikalini, nikafirisika. Tulishauri lakini tulichukuliwa kama wahalifu. Hatujapewa haki ya kujieleza wala kusikilizwa, suala la kuondolewa/kushughulikiwa kwetu lina baraka za chama, sioni mwanga huko tunapoenda. Ninajitoa uanachama wa CHADEMA na kujivua nyadhifa zilizonazo na kufanya shughuli nyingine kama alivyosema Mbowe
Hawajui hiloKwenye vyama vya siasa wanaoweza kukiangusha chama sio viongozi ni wanachama wenyewe.
Sasa nembo za cdm za nini wakati wanaondoka?Nyie si mmesema anayetaka kuondoka na aondoke na wao ndio wanatangaza kuondoka Chadema sasa! Au hupendi?
Ninazidi kuziamini zile tetesi toka Twitter kuwa kipindi cha uchaguzi wa viongozi wa chadema kuna asali ya 12B ilitumbukia chamani. Sijui hawa g55 wamepewa billioni ngapi?Wanajustify fweza ya abdul wakafanye retirement, pesa ngumu ujue...
Sacco imeporwa kibabe na WananchiKwani aliyewatuma ameshawapatia fungu lao?....