PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

PreGE2025 G55 Moshi na Temeke waondoka CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wakuu,

Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendelea :KEKLaugh: hivi hawaoi walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla na anakuua, inakuwa ni fezea:KEKLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!

Hao watu ni mental-retards.Wanaaga na kuondoka mara ngapi?Au wapo kwenye kampeni ya kuhutubia na kuaga?
 
Watapiga kelele kwa muda baadae watapotea na kusahaulika tena mapema Sana wengine wataenda CCM kuvizia vyeo na wengine watatubu na kurudi chadema na wengine watakata tamaa ya siasa..Inshort watasambaratika
 
Wakuu,

Mpango wa kupiga kelele kwenye media ili wasisahaulike unaendelea :KEKLaugh: hivi hawaoi walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla na anakuua, inakuwa ni fezea:KEKLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

Wacha tuendelee kukinga maji yanayovuja tukaflashie chooni!

Huku kunazidi kutuonyesha rangi zao halisi. Nawashauri watembee kila mkoa, wilaya, kata, kijiji, mtaa na nyumba kwa nyumba ili tuwafahamu vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣
 
*Hawa G 55, wanapoteza muda.
Kata zote na wilaya zote,Zina wagombea wa CCM,watagomea wapi?*
Warudi makwao,wakalime au wakafuge mbuzi
 
Anaedharau kambi pinzani ndani ya Chadema huenda alikuwa mkimbizi wa muda mrefu kwamba hajui ambayo yanaendelea nchii hii. CUF ilikufa kwa sura hiyo..CUF has become history, almost no more. The same,kwa movement hii ya G55 Chadema is on the same path through which CUF took to it's total death. A matter of time. Anaebisha kuwa CCM ni GIANT muda utatuambia.

Chadema is here to stay kijana acha ndoto za mchana! Mrema na kikundi chake wanasahaulika soon, hawajawahi kuwa na impact wakiwa wakurugenzi watakua nayo leo? abdul akipunguza fungu tu wanaingia kwenye bahari ya sahau na kukabiliana na kifo cha kawaida tu!
 
Hivi wanafanyaje retirements!!?
Wanazo risiti za matumizi yao kweli!!??

Si ndio wanazitafuta risiti za ukumbi, vyombo vya kukodi, mahoteli wanapoenda kulala, per diem, tickets za kwenda Moro na Moshi then wakiunga na inflation wanapata ugali wa watoto wao, kumbuka tu hawana tena mishahara wala posho toka Chadema! So wanapiga deal tu kama kawaida kibongobongo
 
Sio wanachama wa Chadema mbona wanaenda kama chadema waende wakafanye shughuli zingine wamesema wanaachana na siasa harafu wapo busy kuzunguka Tanzania kusema nini na wanapata vibali kama wakina nani? nani anawadhamini hawa G 55..
 
Press ya Mdude haijafadhiliwa. Ila ya wanaotaka kujitoa Chadema, wamefadhiliwa sio? Kumbe wanachokisema wanaotoka ni kweli kwamba sasa hivi Chadema imejaa chuki, roho mbaya, visasi na ubinafsi! Na wote wenye akili wataondoka tu. Na usishangae hata Mnyika akaondoka maana sio aina ya siasa anayoijua!
Endelea kuota ndoto
 
Back
Top Bottom