G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,277
- 38,847
Inamaana huamini kuwa wanafadhiliwa? Na kila mmoja atajiunga chama chake na wengine wataomba kurudi baada ya ufadhili kuisha.Hawa kenge hivi wanatafuta nini, hii inatoa picha kweli kuwa wanafadhiliwa. Waindoke kimya kimya, kelele tumechoka
hivi hawaoi walivyokuwa majinga? Ukiamua kumla chura hakikisha unachagua aliyenona, sasa unakula chura afu unachagua chenye kimedhoofu na utapia mlo, unamla na anakuua, inakuwa ni fezea
