FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

That will be new version ya human being, lakini hatakuwa mtu mwenye nafsi na Roho yenye sura ya Mungu, atakuwa mtu ambaye hana asili ya Mungu katika utu wake wa ndani, ambao ndio mtu halisi, utu wa ndani wenye sura ya Mungu una upendo, huruma , ukarimu, imani na ibada kwa Muumba.
Watakuwa ni watu wa kuunganishwa kwenye maabara na hivyo ndivyo watakavyokuwa
 
Haya uliyoandika yote ni movie tu zipo kibao zimetemgenezwa sio uhalisia

Sio tu kumfanya mtu aishi milele bali hata kumfanya binadamu wa Sasa waishi miaka 800 au 900 kama binadamu wa Zamani hawawezi

Na ni Bora wangeanza kufikiria hili la kurefusha miaka kutoka 70 ya yasasa Hadi miaka 700 kama watu wa Zamani wakifanikiwa ndio wafikirie Hilo la kuishi milele
Ok asante kwa kushiriki mjadala
 
Watakuwa ni watu wa kuunganishwa kwenye maabara na hivyo ndivyo watakavyokuwa
Looks like kilichoandikwa kwenye kitabu cha ufunuo, ni mtu atakaye umbwa kwa makusudi ya muovu
15 Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
Ufunuo wa Yohana 13:15
 
Looks like kilichoandikwa kwenye kitabu cha ufunuo, ni mtu atakaye umbwa kwa makusudi ya muovu
15 Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
Ufunuo wa Yohana 13:15
Kuna hawa mawakala wao lakini tayari muumba keshaganya yake cheki walichokihubiri na picha yake ya sasa


Mungu amekufa, kulingana na Jukwaa la Kiuchumi Ulimwenguni, ambao pia wametangaza kwamba "Yesu ni habari za uwongo," na kwamba viongozi wa WEF "wamepata nguvu za kimungu" za kutawala wanadamu.
(Makala ya Baxter Dmitry yamechapishwa tena kutoka NewsPunch.com)

Kulingana na WEF, dini mpya ya ulimwengu imefika na inaunganisha wanadamu wote katika kuabudu kwenye madhabahu ya sayansi ya hali ya hewa, teknolojia ya ukomunisti na eugenics.

Iwapo unaona ni vigumu kuamini WEF ya Klaus Schwab ingefikia hatua hii, ni wazi kwamba haujazingatia maendeleo katika siku za hivi karibuni.

Mwanaume wa mkono wa kulia wa Klaus Schwab Yuval Noah Harari ametangaza kwamba WEF imefanikiwa sana katika mipango yake hivi kwamba "inapata nguvu za kimungu" za "uumbaji na uharibifu." Kufuru hakuishii hapo. Harari pia anaahidi WEF itawageuza wanadamu kuwa miungu.
WEF pia inazidi kuchukia Ukristo na dini kuu. Ukisoma kati ya mistari kidogo tu, ni wazi WEF inajaribu kwa uangalifu kuchukua nafasi ya Yesu.

Kulingana na WEF, Yesu ni habari za uwongo, Mungu amekufa, na wewe huna roho. Wewe ni "mnyama anayeweza kukatwa" ambaye hana uwezo wa hiari.

Kongamano la Kiuchumi la Dunia limetumia miongo kadhaa kupenyeza kimya kimya serikali zilizochaguliwa kwa njia ya kidemokrasia, kupenya kwenye makabati na kuwa na ushawishi mkubwa duniani kutoka kwenye korido za maficho ya Schwab ya Uswizi huko Davos.

Madhalimu hawa sasa wamekuwa na kiburi na uhakika wa mafanikio yao wenyewe. Hawajifichi tena kwenye vivuli na kuvuta kamba za puppet kutoka nyuma ya pazia
JamiiForums1264054232.jpg
 
Acha kuamini ujinga ww
Unajikuta Elimu kumbe ww ndo hamnazo kabisaaaa
Nani alokufa akafufuka?
Kma kweli wangekua na elimu hiyo si wangemfufua japo uyo Queen
Acha kukaza shingo. Usibishane na technology lolote linawezekana.
Umemsahau yesu alishaproove hilo?
 
Kama tukilitazama hili kwa jicho la kiimani tutasema shetani anaupiga mwingi na ametafuta plan B baada ile ya pale Eden kuingia dosari na watu kuanza kuugua, kuzeeka na kufa.. Kama kuna kitu kinawatisha washika imani basi ni kifo na ukomo wao umeishia kutumainia maisha mapya huko mbinguni baada ya kufa

Je kisayansi tunaliwekaje hili? Wenzetu wenye kuwaza zaidi walijiongeza pale imani ilipoishia na kutamani kupata suluhu ya kutokufa milele bila kufa kimwili
Ulimwengu wa dunia ijayo kutakuwa hakuna kufa tena LAKINI hii haitakuwa kwa wote bali kwa wenye uwezo wa kumiliki uhai mpya baada ya ule wa mwanzo kuchakaa, yaani uhai mpya utakuwa ni bidhaa adhimu ya kuuzwa kwa wenye uwezo

Je hii itawezekanaje? Naweza kuonekana chizi sasa hivi kwa hiki ninachokiandika lakini kuna wakati kitatamalaki sote tukiwa hatupo tena

Uhai mpya utapimiwa kwa kipimo cha muda na kila kipimo kitakuwa na ubora wake na sifa zake
Kipimo cha miaka 5 bila magonjwa wala uchakavu wa haraka nk
Kipimo cha miaka 10 bila magonjwa, bila njaa, bila kufanya update nk
Kipimo cha miaka 20 na kupata kila unachotaka, kuanzia size ya sehemu za siri mpaka aina ya libido na kwa vipindi gani..

Hiyo ni mifano michache tu ya hayo yajayo yasiyawazika kwamba uatakuja kutokea na kuwa halisi
Kama haya yaliwezekana basi hata tunayoyawaza sasa kuna siku yatatimia.. Maisha bila kifo

Walianza na kupandikiza mimba ikawezekana
Wakaja na watoto wa chupa nalo likawa
Ikafuatilia kumtoa mtu nakala(cloning) nalo limewezekana
Lijalo kubwa ni hili la kuhifadhiwa kumbukumbu zako zote mpaka sura .. Hii ni updated version ya cloning.. Na likitokea la kukutokea fasta version yako iliyohifadhiwa inapandikizwa kwenye mwili mpya maisha yanaendelea

LAKINI
Haya yote yatakuwa kwa wenye uwezo wa kifedha tuu
Hakutakuwa na upendo kati ya mtu na mtu
Familia zitaparaganyika kwakuwa mzazi hatakuwa na uwezo wa kumgharamia kila mtoto version ya maisha mapya
Kwa kifupi population duniani itapungua mno kwakuwa hata kuzaana hakutakuwa kama huku kwa sasa

Watoto watazaliwa na mashine, zaidi ya vinasaba vya kijenetiki vinavyotengeneza muunganiko wa kibailojia na wazazi ambao hata hivyo nao utafanyika maabara, hakuna mahali mzazi mmoja atabeba mimba
Kutakuwa na watoto wa wazazi wa jinsia moja ama kutakuwa na watoto wa wazazi zaidi ya mmoja kutokana na vinasaba kutoka watu tofauti
Wazazi watapanga wanataka mtoto wa aina gani kuanzia kimo, maumbile rangi akili alama maalum nknk

Nina mengi ya kuandika kwenye hili lakini moja kubwa na la kutisha sana hakutakuwa na huruma, umoja, ujamaa upendo nk, na watu watakuwa na uwezo wa kutoa oda ya aina ya watu watengenezewe kwa matumizi yao binafsi

Dunia ya tatu itaangamia/itaangamizwa kwa kiwango kikubwa lakini watabakisha wachache kwa ajili ya majiribio yao na matumizi mengineyo kwa mahitaji yao.. Utumwa ujao urakuwa mbaya kuliko ulopita

Survival of the fittest will bare the real life!
Hatutaishi kuyaona haya pengine! Na waumini na waamini pengine hawatakuwepo tena huku dini ikiwa ni kitu kisichokuwepo tena kikibaki kama hekaya za simulizi za kufikirika
Wakati jamii forums itakua imenunuliwa na Matajiri wakubwa duniani wasiozidi kumi na kuifanya chumba siri cha kukutana na kufanya vikao vyao vya siri!
 
Katika miaka ijayo, wanasayansi wanapanga kukuza viinitete vya binadamu katika maabara kwa kutumia matumbo bandia ya hali ya juu.

Madaktari katika Hospitali ya Watoto ya Philadelphia wanafanya mazungumzo na Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) kuanza kupima matumbo ya bandia kwenye viinitete vya binadamu ndani ya miaka miwili ijayo, kulingana na Metro. Iwapo watafaulu, utafiti huo unaweza kubadilisha kabisa jinsi tunavyoona ujauzito, kuzaa mtoto, na pengine hata mabadiliko ya binadamu.
grow-babies-artificial-wombs.jpg
 
Wakati jamii forums itakua imenunuliwa na Matajiri wakubwa duniani wasiozidi kumi na kuifanya chumba siri cha kukutana na kufanya vikao vyao vya siri!
A . I is the future way of life and every walk of life
fantasy-5174303_1920.jpg
 
Huku kunaitwa kumchokonoa Mungu
Wanasayansi katika Chuo Kikuu cha Princeton wameunda upya muundo huu wa 3D wa jinsi Adamu, mwanadamu wa kwanza aliyeumbwa na Mungu, angeweza kuonekana.
20221130_205332.jpg


Lakini hili lingefanywa na mwafrika, waafrika wenzake wangemuona chizi
 
I truely believe in AI as soon as the year 2040
Elon Musk amedai kuwa ndani ya miezi sita ijayo Neuralink itakuwa tayari kuwekwa kwenye ubongo wa binadamu. Chip hii ambayo ni kama laini ya simu imeundwa ili iweze kuungana na utendaji kazi mzima wa ubongo kuanzia kumbukumbu n.k. Kupitia tukio aliloliita “show and tell” tajiri Musk ameongeza kuwa kwa miaka ijayo, chip hiyo itasaidia kurudisha uwezo wa kuona kwa vipofu.

Mwanzilishi msaidizi wa Neuralink, DJ Seo, amedai kuwa N1 chip ina chanel zaidi ya 1000 ambazo zina uwezo wa kurekodi na kucheza na kila kitu kinachoendelea kwenye ubongo wa mwanadamu.

Wanaopinga mpango huo ni pamoja na kamati ya pamoja ya dawa (PCRM) ambao wanadai kuwa chip hiyo imeonyesha kuwa ni hatari kwani hata nyani waliofanyiwa majaribio wapo waliozimia, waliopata maambukizi, kukosa nguvu, kushindwa kutembea n.k.

Zoezi la kutafuta watu watakaojitolea (volunteers) litaanza mapema baada ya mamlaka ya chakula na dawa (FDA) kuthibitisha kifaa hicho.
JamiiForums114480252.jpg
 
Daaah natamani huu wakati unikute duniani niyaone mapinduzi haya ya nature
 
Mshana kaongea ukweli ila nishasoma makala sehem sikusoma kama yeye alivo ileta. Wazungu baadae watakuwa na uwezo wa kuurudisha mwili ujana, hakutakua na magonjwa,
 
Hahah nimezama chimbo uzi wa kwanza tu nimekutana na kauli ya mshana, hii inaitwa death disposition
 
Kama tukilitazama hili kwa jicho la kiimani tutasema shetani anaupiga mwingi na ametafuta plan B baada ile ya pale Eden kuingia dosari na watu kuanza kuugua, kuzeeka na kufa.. Kama kuna kitu kinawatisha washika imani basi ni kifo na ukomo wao umeishia kutumainia maisha mapya huko mbinguni baada ya kufa

Je kisayansi tunaliwekaje hili? Wenzetu wenye kuwaza zaidi walijiongeza pale imani ilipoishia na kutamani kupata suluhu ya kutokufa milele bila kufa kimwili
Ulimwengu wa dunia ijayo kutakuwa hakuna kufa tena LAKINI hii haitakuwa kwa wote bali kwa wenye uwezo wa kumiliki uhai mpya baada ya ule wa mwanzo kuchakaa, yaani uhai mpya utakuwa ni bidhaa adhimu ya kuuzwa kwa wenye uwezo

Je hii itawezekanaje? Naweza kuonekana chizi sasa hivi kwa hiki ninachokiandika lakini kuna wakati kitatamalaki sote tukiwa hatupo tena

Uhai mpya utapimiwa kwa kipimo cha muda na kila kipimo kitakuwa na ubora wake na sifa zake
Kipimo cha miaka 5 bila magonjwa wala uchakavu wa haraka nk
Kipimo cha miaka 10 bila magonjwa, bila njaa, bila kufanya update nk
Kipimo cha miaka 20 na kupata kila unachotaka, kuanzia size ya sehemu za siri mpaka aina ya libido na kwa vipindi gani..

Hiyo ni mifano michache tu ya hayo yajayo yasiyawazika kwamba uatakuja kutokea na kuwa halisi
Kama haya yaliwezekana basi hata tunayoyawaza sasa kuna siku yatatimia.. Maisha bila kifo

Walianza na kupandikiza mimba ikawezekana
Wakaja na watoto wa chupa nalo likawa
Ikafuatilia kumtoa mtu nakala(cloning) nalo limewezekana
Lijalo kubwa ni hili la kuhifadhiwa kumbukumbu zako zote mpaka sura .. Hii ni updated version ya cloning.. Na likitokea la kukutokea fasta version yako iliyohifadhiwa inapandikizwa kwenye mwili mpya maisha yanaendelea

LAKINI
Haya yote yatakuwa kwa wenye uwezo wa kifedha tuu
Hakutakuwa na upendo kati ya mtu na mtu
Familia zitaparaganyika kwakuwa mzazi hatakuwa na uwezo wa kumgharamia kila mtoto version ya maisha mapya
Kwa kifupi population duniani itapungua mno kwakuwa hata kuzaana hakutakuwa kama huku kwa sasa

Watoto watazaliwa na mashine, zaidi ya vinasaba vya kijenetiki vinavyotengeneza muunganiko wa kibailojia na wazazi ambao hata hivyo nao utafanyika maabara, hakuna mahali mzazi mmoja atabeba mimba
Kutakuwa na watoto wa wazazi wa jinsia moja ama kutakuwa na watoto wa wazazi zaidi ya mmoja kutokana na vinasaba kutoka watu tofauti
Wazazi watapanga wanataka mtoto wa aina gani kuanzia kimo, maumbile rangi akili alama maalum nknk

Nina mengi ya kuandika kwenye hili lakini moja kubwa na la kutisha sana hakutakuwa na huruma, umoja, ujamaa upendo nk, na watu watakuwa na uwezo wa kutoa oda ya aina ya watu watengenezewe kwa matumizi yao binafsi

Dunia ya tatu itaangamia/itaangamizwa kwa kiwango kikubwa lakini watabakisha wachache kwa ajili ya majiribio yao na matumizi mengineyo kwa mahitaji yao.. Utumwa ujao urakuwa mbaya kuliko ulopita

Survival of the fittest will bare the real life!
Hatutaishi kuyaona haya pengine! Na waumini na waamini pengine hawatakuwepo tena huku dini ikiwa ni kitu kisichokuwepo tena kikibaki kama hekaya za simulizi za kufikirika
Toka itabiriwe ajari ya ndege na ikatokea, akaibuka shujaa mmoja, ukaibuka uchunguzi na taarifa ya uchunguzi ikatolewa kimafumbo mafumbo sasa hivi nyuzi Kama hizi nikiziona Namuomba Mungu azidi kunipa maarifa, maana mfalme wa Dunia keshaamua liwalo na liwe lazima apate wafuasi kwa gharama yoyote.
 
Kuna ndugu mmoja aliwahi kuniambia hakuna mahali unaweza kusema hapa ndio mbinguni au hapa ndio motoni.
Kwamba jehenamu au peponi ni hali wala sio mahali

Huyo alieniambia hivyo ni kiongozi mkubwa wa kanisa haya madhehebu makubwa kabisa , na ni msomi mkubwa sana wa falsafa theolojia na historia kwa ngazi Phd.
Lakini pia huyu msomi ni wa elimu hii hii ya Dunia, ambayo pia kwa mujibu mleta mada elimu hiyo itatumika kucreate uhai mpya, hivyo mthiology huyo aliyekugusia juu imagination ya pepo na jehunum anatumia elimu hii ya dunia, Ingawa mtawala wa Dunia yuko very creative lakini kuna baadhi ya vitu vinamzingua........
 
Back
Top Bottom