FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

Bro hii conspiracy itawezekana pale tuu, binadamu ataweza kujiumba, na ili aweze kujiumba ni pale ama atakapo fanikiwa kumuona muumba, ambaye ndie Mungu ambaye ametuumba. Ndio maana hakuna binadaam aliyewai kumuona Muumba ktk asili yake, bali vitabu vya dini vinaonyesha kwamba Mungu amewatokea wanadamu ktk fomu mbalimbali na si ktk unature wake. Unajua kwanini Mungu hawezi kujitokeza ktk u natute wake, kwa sababu once binadamu atakapo muona tuu, basi ndio siku itakuwa mwanzo wa huyu binadamu kishi milele ktk huu huu mwili wa asili bila kufa.

Mbali na apo, huyu binadamu atajaribu tuu kuishi milele kwa fomu zingine artificials mbalimbali, kama hizi unazozielewa, hii ni kwasababu hizi fomu ni kwamba binadamu anaweza kujiona mwenyewe kupitia vitu kadhaa, kama mind, ubongo, damu, nk.
Means, SIKU BINADAMU AKIWEZA MUONA MUNGU... MAANA YAKE AMEWEZA KUIONA ILE PUNZI YA UHAI ILIYONDANI YAKE, AMBAYO ILE PUMZI HUWA INATOKA PALE BINADAMU ANAPOKUFA.. sasa ikiwa binadamu atafanikiwa kuiretain, kuicontrol, kuitunza iyo pumzi, hapo ndio utakuwa mwisho na mwanzo wa maisha mapya ya milele..
Naomba kuwasilisha
sasa ikiwa binadamu atafanikiwa kuiretain, kuicontrol, kuitunza iyo pumzi, hapo ndio utakuwa mwisho na mwanzo wa maisha mapya ya milele..
Naomba kuwasilisha
 
Washafika asilimia 70 Kwa kutengeneza mashine mfano wa tumbo la mwanamke linalobeba mimba Kwa miez 9.
 

Attachments

  • VID-20221212-WA0012.mp4
    19.2 MB
Kama tukilitazama hili kwa jicho la kiimani tutasema shetani anaupiga mwingi na ametafuta plan B baada ile ya pale Eden kuingia dosari na watu kuanza kuugua, kuzeeka na kufa.. Kama kuna kitu kinawatisha washika imani basi ni kifo na ukomo wao umeishia kutumainia maisha mapya huko mbinguni baada ya kufa

Je kisayansi tunaliwekaje hili? Wenzetu wenye kuwaza zaidi walijiongeza pale imani ilipoishia na kutamani kupata suluhu ya kutokufa milele bila kufa kimwili
Ulimwengu wa dunia ijayo kutakuwa hakuna kufa tena LAKINI hii haitakuwa kwa wote bali kwa wenye uwezo wa kumiliki uhai mpya baada ya ule wa mwanzo kuchakaa, yaani uhai mpya utakuwa ni bidhaa adhimu ya kuuzwa kwa wenye uwezo

Je hii itawezekanaje? Naweza kuonekana chizi sasa hivi kwa hiki ninachokiandika lakini kuna wakati kitatamalaki sote tukiwa hatupo tena

Uhai mpya utapimiwa kwa kipimo cha muda na kila kipimo kitakuwa na ubora wake na sifa zake
Kipimo cha miaka 5 bila magonjwa wala uchakavu wa haraka nk
Kipimo cha miaka 10 bila magonjwa, bila njaa, bila kufanya update nk
Kipimo cha miaka 20 na kupata kila unachotaka, kuanzia size ya sehemu za siri mpaka aina ya libido na kwa vipindi gani..

Hiyo ni mifano michache tu ya hayo yajayo yasiyawazika kwamba uatakuja kutokea na kuwa halisi
Kama haya yaliwezekana basi hata tunayoyawaza sasa kuna siku yatatimia.. Maisha bila kifo

Walianza na kupandikiza mimba ikawezekana
Wakaja na watoto wa chupa nalo likawa
Ikafuatilia kumtoa mtu nakala(cloning) nalo limewezekana
Lijalo kubwa ni hili la kuhifadhiwa kumbukumbu zako zote mpaka sura .. Hii ni updated version ya cloning.. Na likitokea la kukutokea fasta version yako iliyohifadhiwa inapandikizwa kwenye mwili mpya maisha yanaendelea

LAKINI
Haya yote yatakuwa kwa wenye uwezo wa kifedha tuu
Hakutakuwa na upendo kati ya mtu na mtu
Familia zitaparaganyika kwakuwa mzazi hatakuwa na uwezo wa kumgharamia kila mtoto version ya maisha mapya
Kwa kifupi population duniani itapungua mno kwakuwa hata kuzaana hakutakuwa kama huku kwa sasa

Watoto watazaliwa na mashine, zaidi ya vinasaba vya kijenetiki vinavyotengeneza muunganiko wa kibailojia na wazazi ambao hata hivyo nao utafanyika maabara, hakuna mahali mzazi mmoja atabeba mimba
Kutakuwa na watoto wa wazazi wa jinsia moja ama kutakuwa na watoto wa wazazi zaidi ya mmoja kutokana na vinasaba kutoka watu tofauti
Wazazi watapanga wanataka mtoto wa aina gani kuanzia kimo, maumbile rangi akili alama maalum nknk

Nina mengi ya kuandika kwenye hili lakini moja kubwa na la kutisha sana hakutakuwa na huruma, umoja, ujamaa upendo nk, na watu watakuwa na uwezo wa kutoa oda ya aina ya watu watengenezewe kwa matumizi yao binafsi

Dunia ya tatu itaangamia/itaangamizwa kwa kiwango kikubwa lakini watabakisha wachache kwa ajili ya majiribio yao na matumizi mengineyo kwa mahitaji yao.. Utumwa ujao urakuwa mbaya kuliko ulopita

Survival of the fittest will bare the real life!
Hatutaishi kuyaona haya pengine! Na waumini na waamini pengine hawatakuwepo tena huku dini ikiwa ni kitu kisichokuwepo tena kikibaki kama hekaya za simulizi za kufikirika
Umeandika Kweli,

Hiyo ni mipango ya KUZIMU Ili watu waishi milele wakiendelea na DHAMBI na Kila aina ya UOVU.

Dunia hii Ina mwenyewe, naye ndiye Mungu, na Yesu ndilo Jina lake.

BIBLIA inasema Falme na mamlaka zote za Dunia zitakuwa za BWANA na mwanakondoo.

Mitambo imeshatestiwa corona iliporuhusiwa.

2023 chinjachinja yaja, watakaosalimika ni wale WATAKAOTUBU na kuishi Kwa kumtegemea Mungu.

U have a choice.

Aaaamen
 
Unajua we ni mkongwe hpa hlf unaandika Pumba kama hizi

Embu jitafakari bhna
Kufa kupo na alokufa harudi
Kifo ni kinywaji kila mmoja atakinywa
Kifo ni mlango kila mmoja atapita
Kifo ni nguo kila mmoja atakivaa
Usipuuze, KUZIMU imejipanga kuja kuishambulia wakaao juu yake.
 
Umeandika Kweli,

Hiyo ni mipango ya KUZIMU Ili watu waishi milele wakiendelea na DHAMBI na Kila aina ya UOVU.

Dunia hii Ina mwenyewe, naye ndiye Mungu, na Yesu ndilo Jina lake.

BIBLIA inasema Falme na mamlaka zote za Dunia zitakuwa za BWANA na mwanakondoo.

Mitambo imeshatestiwa corona iliporuhusiwa.

2023 chinjachinja yaja, watakaosalimika ni wale WATAKAOTUBU na kuishi Kwa kumtegemea Mungu.

U have a choice.

Aaaamen
2023 chinjachinja yaja, watakaosalimika ni wale WATAKAOTUBU na kuishi Kwa kumtegemea Mungu.
 
2023 chinjachinja yaja, watakaosalimika ni wale WATAKAOTUBU na kuishi Kwa kumtegemea Mungu.
Usitie muhuri NENO Hilo mshana,

Nia ya unabii ni kuonya waovu Ili wageuke na kutubu,

Wanaweza tubu kama walivyotubu enzi za YONA na UPANGA ukarudi alani mwa Malaika.

Mungu hapendi KUFA Kwa mtenda dhambi, always humsubiri ATUBU.

Aamen.
 
Usitie muhuri NENO Hilo mshana,

Nia ya unabii ni kuonya waovu Ili wageuke na kutubu,

Wanaweza tubu kama walivyotubu enzi za YONA na UPANGA ukarudi alani mwa Malaika.

Mungu hapendi KUFA Kwa mtenda dhambi, always humsubiri ATUBU.

Aamen.
Aaamen Rabbon
 
Hayo yote wakati yakiwa yana tokea Mungu atakua wapi wakati huo?
Imeandikwa kuwa itakuwa hivyo...Mungu atawaacha katika upumbavu wao...Mara wakifanikiwa ndiyo watamjua kuwa yeye ni Mungu...Watatafuta kifo kitakuwa hakipo maana shetani atawatumikish balaa...Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia. Na maumbo ya hao nzige yalikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita, na juu ya vichwa vyao kama taji, mfano wa dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama nyuso za wanadamu.
Ufu 9:6‭-‬7 SUV
 
fantasy world, ungekuwa mitaa ya Hollywood hii ni movie script nzuri ya kutengeneza Sci-fi movie.
alichoandika mleta mada tayari kilishawahi kutengenezewa movie japo kwa storyline tofauti kidogo na hii.

ni animation movie(nimesahau jina lake), jamaa anauza hewa na wasio na uwezo wa kununua hiyo hewa wanakufa.
 
Unajua we ni mkongwe hpa hlf unaandika Pumba kama hizi

Embu jitafakari bhna
Kufa kupo na alokufa harudi
Kifo ni kinywaji kila mmoja atakinywa
Kifo ni mlango kila mmoja atapita
Kifo ni nguo kila mmoja atakivaa
Kama hujui ni bora uulize toka... Imagine mwanzon mwa miaka 1000... Watu ungewaambia kuna kipind mtu anaongea na mtu mwingine kutoka nchi mbili tofauti.. je wangeamin

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Maarifa batili hayawezi kushika hatamu katika dunia hii tuishiyo.... Haitakaa itokee ....labda binadamu akigundua sayari nyingine akafanyie hayo lakini sio hapa tulipo.
 
Maarifa batili hayawezi kushika hatamu katika dunia hii tuishiyo.... Haitakaa itokee ....labda binadamu akigundua sayari nyingine akafanyie hayo lakini sio hapa tulipo.
Hii dunia ina ukamilifu gani wa kiroho? Mbona ni batili kuliko hata huo ubatili wenyewe?
 
Back
Top Bottom