Funny facts

Funny facts

umeona eeeh Kaizer.... sometimes wanasema "akili nyingi........."
na si unakumbuka ule usemi "nabii hakubaliki nyumbani" rafiki?
ndo kama hivi sasa, yeye anaona yupo karibu nami basi ananichukulia kikawaida tu.....

we ngoja utamwona akija apa na fujo zake huku anamsingizia mkoloni
snowhite mwelewe dadako FP jana amekuwa na nia njema sana na wewe
 
Last edited by a moderator:
Nipo bwana. Mie najiandaa na mfungo kwa hiyo nshapunguza madhambi. Sema najifunika mno ndo maana haunitambui.

Ndo kofia iyo King'asti. Leo wifi yako kanipikia vichapati vitamuu kwa chai..karibu
 
Last edited by a moderator:
we ngoja utamwona akija apa na fujo zake huku anamsingizia mkoloni
snowhite mwelewe dadako FP jana amekuwa na nia njema sana na wewe
ha haaa, mkoloni anasingiziwa na wengi sana....
mwambie huyo mdogo wangu, hajui ni jinsi gani ninavyompenda, siwezi kufanya chochote kitakachomwumiza
 
Apple:I look like a human heart.
Mango:I look like a stomach.
Grapes:I look like eyes.
Banana:
I don't like this game..

teh teh tehhhhhhh....

cc. Arushaone, watu8, Asprin, BAK, Nyani Ngabu, Erickb52, Baba_Enock, The Boss, Dark City, Bishanga, Mtambuzi, kiwatengu, Mr Rocky, C6 Excellent, Baba V, zumbemkuu, Filipo, Bujibuji, manoah, Mungi, Young Master, sosoliso, Blaine, bombom, CPU, figganigga, HorsePower, Jiwe Linaloishi, Kapalampya, Mkusa, Ndibalema, Nicas Mtei, Mwakalinga Y. R, puravida, saudari, WABUSH, The Finest, Vin Diesel Kaizer..........
:car:
It seems you are among great thinker FP.
 
ha haaa, mkoloni anasingiziwa na wengi sana....
mwambie huyo mdogo wangu, hajui ni jinsi gani ninavyompenda, siwezi kufanya chochote kitakachomwumiza
snowhite come zis way umsikie FP ameshatoa final analysis.....
 
Last edited by a moderator:
mwezi wa saba mwanzoni... yaweza kuwa tarehe 10 july inshaallah
Asante kwa taarifa......
kuanzia weekend hii kila siku ni nyumba moja baada ya nyingine.... kwa Waisilamu tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kisarawe utafika?
kuna sehemu ambayo ntashindwa kufwata futari kweli! I doubt.......
napenda sana. tena huko si ndo kuna ile mihogo ya haja? yaani hata kama kila wiki nitakuja.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
ha haaa, usimchokoze mwalimu....
hivi mchango wa nauli uliishia wapi?
na hivi umemwita hapa akiona na picha za watu8 si itakuwa majanga?


Unaongelea nauli tena?

Haki ya nani kumbe wewe uko nyuma ya wakati kabisa.....

Anyway,

Jana nilitaka kuwauliza kwamba, ..hivi inawezekana mtu akarudia mchakato wa fungate??

cc: teacher gfsonwin.. Kaizer..

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
hivi mfungo unaanza lini? nataka nianze kutembelea nyumba za kwenda kufuturu, kujiweka karibu, lol!
Mwezi ukiandama tu ntakustua. Umeshanunua mavazi ya futuru, manake na visarawili vyako hivyo utaondoa swaumu zetu?

Afu nimemmiss Ritz, hapiti huku siku hizi (natengeneza mazingira ya mialiko hapa hehehe)
 
Last edited by a moderator:
Mimi tena mzee mwenzangu?

Hapa sijaisoma picha kabisa....

Una maana kuna mtu anawindwa?

Naamini babu hayumo kwenye hiyo sampling frame!

Babu DC!!
ha haaa, nikingalia angalia kumbukumbu zangu sijawahi kabisa kuwinda...
sidhani kama naweza nikaanza umri huu
it was just a joke babu
 
Back
Top Bottom