Funny facts

Funny facts

Hahaha...nimeipenda hii mtani "nkajikatalia mimi ujinga wa fenesi kuning'inia shinani!"

ahahahhha ngastuka bana! FP na Kaizer wana mana basi wakiwa pamoja!??
jana wamenizuga kule wananisololesha kumbe huku wanapeana funny facts!
nkajikatalia mimi ujinga wa fenesi kuning'inia shinani!
 
Nahisi wewe ndiye uliyeniibia ile kamusi yangu ya Vitenzi Vikurupushi...maana siioni siku hizi hahahah!!!!

ahahhahahahhaha wewe huyo ndo umenfundisha maneno !sijui hata nilifikiria nini!
 
ahahahhha ngastuka bana! FP na Kaizer wana mana basi wakiwa pamoja!??
jana wamenizuga kule wananisololesha kumbe huku wanapeana funny facts!
nkajikatalia mimi ujinga wa fenesi kuning'inia shinani!

hahaha snowhite na akili zote izo ulizopewa bado hujamuappreciate dadako @FP

Shauri yako ukikubali kuahidiwa ndizi huku unaona mgomba unakatwa!
 
Last edited by a moderator:
Nipo bwana. Mie najiandaa na mfungo kwa hiyo nshapunguza madhambi. Sema najifunika mno ndo maana haunitambui.
hivi mfungo unaanza lini? nataka nianze kutembelea nyumba za kwenda kufuturu, kujiweka karibu, lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahaha snowhite na akili zote izo ulizopewa bado hujamuappreciate dadako @FP

Shauri yako ukikubali kuahidiwa ndizi huku unaona mgomba unakatwa!
umeona eeeh Kaizer.... sometimes wanasema "akili nyingi........."
na si unakumbuka ule usemi "nabii hakubaliki nyumbani" rafiki?
ndo kama hivi sasa, yeye anaona yupo karibu nami basi ananichukulia kikawaida tu.....
 
ahahahhha ngastuka bana! FP na Kaizer wana mana basi wakiwa pamoja!??
jana wamenizuga kule wananisololesha kumbe huku wanapeana funny facts!
nkajikatalia mimi ujinga wa fenesi kuning'inia shinani!

hahaha snowhite na akili zote izo ulizopewa bado hujamuappreciate dadako @FP

Shauri yako ukikubali kuahidiwa ndizi huku unaona mgomba unakatwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom