Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #161
mmmhhh!Kumbe ilikuwa ngoma tofauti halafu unataka kumsababishia FP ka blood pressure kabla budget haijasomwa??
Next time utuwekee vizuri bwana hata kama hatujua kusoma picha tusiondoke mikono mitupu au kuwazulia wakubwa wenzetu balaa....
Babu DC!!
kwa kweli karibia ntakata rufaa, hamuwezi mkawa mnaniacha kwenye mataa kiasi hiki mkubwa mwenzeno, KULIKONIIIIII!