Funny facts

Funny facts

Unaongelea nauli tena?

Haki ya nani kumbe wewe uko nyuma ya wakati kabisa.....

Anyway,

Jana nilitaka kuwauliza kwamba, ..hivi inawezekana mtu akarudia mchakato wa fungate??

cc: teacher gfsonwin.. Kaizer..

Babu DC!!
hapo nakubali kabisa nipo nyuma ya wakati, sasa kama hamnipi update mnafikiri ntazipataje? wote mna kesi za kujibu
 
Mwezi ukiandama tu ntakustua. Umeshanunua mavazi ya futuru, manake na visarawili vyako hivyo utaondoa swaumu zetu?

Afu nimemmiss Ritz, hapiti huku siku hizi (natengeneza mazingira ya mialiko hapa hehehe)
ha haaaa, nina baibui langu nililetewa na shostito toka Zenji......
nikijipigaga hilo utafikiri mtoto wa Imamu.....
Ndo naulizia ili nilifue, maana sijalivaa tangu Ramadhan iliyopita.
Mialiko iwe mingi basi ili tusirudie nyumba nyingine mara 2 2
 
nipo, nimeokoka siku hizi, nimefungua kanisa mitaa ya Mwenge.
ha haaa, bora umeokoka na kufungua kanisa....
mtama bomba sana huo wa kanisa.....
utakuwa unajikamatia tu wanakondoo kwa nafasi yako...
kila la heri
 
ha haaa, bora umeokoka na kufungua kanisa....
mtama bomba sana huo wa kanisa.....
utakuwa unajikamatia tu wanakondoo kwa nafasi yako...
kila la heri
yeah!
kwakweli najitahidi kutoa huduma, kama una mwenzio hapati ujauzito mwambie aje ntamfanyia maombi.
 
Unaongelea nauli tena?

Haki ya nani kumbe wewe uko nyuma ya wakati kabisa.....

Anyway,

Jana nilitaka kuwauliza kwamba, ..hivi inawezekana mtu akarudia mchakato wa fungate??

cc: teacher gfsonwin.. Kaizer..

Babu DC!!

hahaha mkuu Dark City, nadhani fungate halina mchakato...mfano mi na shemejio tuna fungate kila siku.....sasa sijui nayo hii kawaida au
 
Last edited by a moderator:
yeah!
kwakweli najitahidi kutoa huduma, kama una mwenzio hapati ujauzito mwambie aje ntamfanyia maombi.
ha haaa, kuna ambaye mwanaye hafaulu vizuri shule......
ntamwambia ywyw na mumewe wamlete mtoto kwa maombi
 
Mimi tena mzee mwenzangu?

Hapa sijaisoma picha kabisa....

Una maana kuna mtu anawindwa?

Naamini babu hayumo kwenye hiyo sampling frame!

Babu DC!!

hahaha we bora hata jana hukuwepo manake ilikuwa balaaa
 
ha haaa, nikingalia angalia kumbukumbu zangu sijawahi kabisa kuwinda...
sidhani kama naweza nikaanza umri huu
it was just a joke babu

hahaha we bora hata jana hukuwepo manake ilikuwa balaaa

Kumbe ilikuwa ngoma tofauti halafu unataka kumsababishia FP ka blood pressure kabla budget haijasomwa??

Next time utuwekee vizuri bwana hata kama hatujua kusoma picha tusiondoke mikono mitupu au kuwazulia wakubwa wenzetu balaa....

Babu DC!!
 
hahaha mkuu Dark City, nadhani fungate halina mchakato...mfano mi na shemejio tuna fungate kila siku.....sasa sijui nayo hii kawaida au


Mimi tena??

Haki ya nani hujanitendea haki...

Ngoja fungate part two (may be 2n) ikiisha mtuhumiwa aje ajibu kesi yake...

cc: teacher gfsonwin,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom