thread imechakachuliwa.
Ha ha ha!
Bye bye! Acha nimwandalie husband dinner, amechoka alikuwa shinyanga anakagua migodi yake! Ukimwona Mungi mwambie asinizoee!
Ha ha ha!
Bye bye! Acha nimwandalie husband dinner, amechoka alikuwa shinyanga anakagua migodi yake! Ukimwona Mungi mwambie asinizoee!
Ha ha ha ha! Sikuwezi lol!kwi kwi kwi kwiiiiiii! Mnapendana kitu gani wakati mwenzio analalamika hulali nyumbani!? Lazima tuyawasilishe malalamiko yake kunakohusika! Lol...
Khaaaa! Mungi tafadhali usinivunjie ndoa heeee!
Ha ha ha ha! Sikuwezi lol!
Ukome!
yaani hawa raia wa Rchunga ni kama viwavi...wakiivamia thread wengine mnabaki kukodoa mimacho kodokodo!!!
Hahahahaha! Hii nilikuwa sijaiona lol... Nimecheka sana daah!hapa leo hadi kieleweke! Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo!
Me namiliki wanaume watano.
Na wote nawamudu.
thread imechakachuliwa.
Kwa leo nimekubali kushindwa! Ila najipanga lol