Na Adamu alimjua Eva baada yakujua mema na mabaya.
[emoji15] [emoji23] [emoji779]
Na Adamu alimjua Eva baada yakujua mema na mabaya.
[emoji15] [emoji23] [emoji779]
Kitabu cha Mwanzo"Genesis"-Old Testament kinaukakasi mwingi hasa hii story ya Adam na Hawa.Nini tafsiri ya uchi? Ama nini tafsiri ya kukaa uchi? Uchi wa mwanamke ni kitu gani? Ama uchi wa Mwanaume ni kitu gani?
Lakini kuna uchi wa mnyama, kuna uchi wa mbuzi kuna uchi wa mtoto....!!! Uchi ni utupu eneo lote tangu chini ya kitovu na juu ya mapaja.... Hapo katikati ndipo panapokaa uchi, penye uchi......
Baada ya kula tunda la mti wa kati( mti wa ujuzi wa mema na mabaya) Adam na Eva wakajijua wako uchi... Ni nani aliwaambia kuwa wako uchi? Maana Bwana Mungu aliposhuka Bustanini na kumuita Adam, alisita kujitokeza na kusema yu uchi...[emoji779] [emoji779] [emoji779]![]()
Hata hivyo kwanini baada ya kujijua wako uchi walichukua majani na kujiziba zile sehemu tuu (chini ya kitovu na juu ya magoti? Kwanini hawakujifunika sehemu nyingine yoyote ya mwili?
Bila hili fumbo kufumbuliwa hizi mada hazitaisha lakini pia jiulize kwanini anayerudishwa kundini kanisani ni yule aliyebeba mimba na kujifungua nje ya ndoa? Kwani ni wangapi ni wadhambi kuliko huyo?
Kwanini binti anayepata mimba shule anafukuzwa bila kujali alikuwa na nidhamu kiasi gani?
Fumbo la Eden ni siri isiyo siri
yaaani hapo uko chapachapaAdam ni mwanaume wa shoka, sio kwa misuli hiyo
Na Adamu alimjua Eva baada yakujua mema na mabaya.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji779] [emoji779]Kitabu cha Mwanzo"Genesis"-Old Testament kinaukakasi mwingi hasa hii story ya Adam na Hawa.
Mkuu Jiulize kwanza, Mungu alijuwa watakula Tunda au Hawatakula Tunda...?
swali ni ,kwa nini amefunika chini ya kitovu na sio kisogoni ama kwenye makwapa?ama nyuma?Someni maandiko ya Biblia vizuri, acheni kufikiria ngpno tu kuhusu dhambi ya Adamu na Eva.
[emoji12] Tunda la mti kwa kati kwa nini nisilijue love... [emoji12]
Mk54 napenda kujifunza sana vitu vipya vitu vyenye utata, vitu visivyo na majibu.... Kuna points kadha hapa umezizungumzia which are very crucial... Kuna vitu vingi havina majibu kwakuwa our minds are so limitedKatika hili swala kuna myths nyingi sana.The problem is hatutaki kufikiria nje ya dini,Everything we speak out soma Biblia ,soma Quran .Guys ,Biblia na Quran ni vitabu vya jana na juzi kulikua na maisha thousands of years kabda ya hivyo vitabu.
Yatupasa kuamini hivyo vitabu kutokana na imani zetu lakini havipaswi kutuzuia sisi kufikiria nje ya hivyo vitabu.
It is said that Adam na Hawa walikula psychoactive substance ( ambayo ndiyo ilichange state ya mind zao) ,kama umeshawahi kusikia Amanita muscaria ,hii ni mushroom [emoji265] ambayo ndiyo inasemekana walikula na ikawabadilisha ile perspective yao wakaanza kuona mambo tafauti kabisa na awali.They became aware of who they were .It makes really sense kwangu kuwa walichokula Adam na Hawa ni lazima kiwe kitu kilichobadilisha mtazamo wa mind zao (psychoactive substance) ,ni sawa na mtoto mdogo anaweza kukaa uchi at the age of 5 but akiwa na 12 yrs hawezi kukaa uchi,kwasababu mind yake ime change na yupo more aware kuwa yeye ni nani.So ,I assume that Adam na Hawa walikuwa na mind ya mtoto mdogo ,kila kitu kilikuwa ni sawa kwao ,hawafikiri Kesho ,they don't feel shy,they don't know their past ,hawaumizi kichwa juu ya future ,what they were enjoying was just the present,Eternal NOW,kama unavyoona maisha ya watoto wadogo tu,lakini baada ya kula Amanita muscaria (psychoactive substance) ,mind yao ilikuwa stimulated and more aware of who they are (mind awareness) ,the past ,the future started disturbing them ,the present was forgotten ,mind awareness ikawa very clear na hiyo ndiyo sababu ya wao kujificha baada ya kupata mind awareness.
Kwa wale ambao wameshawahi kutumia any psychoactive substance (Heroine ,cocaine,Cannabis etc ) ile the first feeling unayoipata (kwa mara ya kwanza unapoanza kutumia) ndiyo feeling inayowafanya watu washindwe kuacha,kwa sababu ile state ya mind uliyokuwa nayo mwanzo before kutumia ina change ,una acquire the new mind awareness ,you don't see the same world ,you see other beautiful world .Simaanishi watu wa try hizi psychoactive,No ,Unga ni devil in a chemical form ,never try ,I am saying what happened in Eden was just a game of mind ,they ate something,then mind was changed .Miili yao haikubadilika bali akili zao zilibadilika kwa kupata more awareness.Ninashawishika kuamini kuwa walikula kitu (Amanita mushrooms? ) na hicho kitu ni lazima kilikuwa psychoactive ambacho kiliwabadilisha wao uwezo wao wa kutizama mambo na kujijua zaid.
Sijui kama Mshana jr umeahawahi kukutana na concept kama hii ? .
—Najua ni hard to accept this ,but it might make sense too if you do some research •
Ninakataa kuwa tunda la mti wa kati ni uchi kama wengi mnavyohisi. Ikumbukwe kwamba hilo agizo la kutokula tunda, Mungu alimpa Adam na sio eva (mti wa kati ulikuwepo hata kabla ya Eva kuumbwa) na eva alipewa maelekezo na adam juu ya nn afanye na nn asifanye. Jiulize kwann shetani hakumshawishi Adam. Ni kwasababu adam aliumbwa na upeo mkubwa hivyo iwapo nyoka angemwendea, lazima anhekumbana na vizingiti/maswali. 1. Nyoka ametoa wapi uwezo wa kuongea (pamoja na kwamba nyoka alikuwa mwerevu, hakuna kiumbe kilichokuwa kikizungumza)Binadamu ndy kiumbe cha mwisho kabisa kuumbwa...MUNGU aliumba KILA KITU...mbinguni na duniani...akampa binadamu akili ya kujuwa baya na zuri...na MBINGUNI akaumba pepo na moto...ibilisi akamdanganya EVA..kwamba lile tunda ni tamu kuliko matunda yote....lakini bado ni kitendawili..mti huo ni mti gani basi ambao leo duniani haupo?na mti huo unauhusiano gani na KUKAA UCHI? jibu linakuja..pengine mti huo na tunda hilo la mti wa kati lilikuwa mapajani mwa EVA...ndy maana baada ya kula wakajiona wapo uchi...na wakamkasirisha MUUMBA..na kila mmoja akapewa adhabu yake...mwanaume atapata riziki yake kwa jasho...na taabu na mwanamke atazaa kwa uchungu....