Fumbo la Eden! Nani aliwaambia wako uchi?

Fumbo la Eden! Nani aliwaambia wako uchi?

Mi naona kama hilo tunda ni kifo maana wakivyokula mti wa ujuzi wa mema na mabaya baadae wakatolewa bustanini wasiweze kula mti wa uzima wakaishi milele
 
Siwezi kuelezea zaidi juu ya hili maana hata maandiko ya Biblia hayakufafanua zaidi... Ila tu tambua mti wa uzima uko "protected" hakuna binadamu anayeweza kuufikia
Ifike hatua mjue kuwa biblia haifichagi kitu na zamani au maandiko yanavoeleza ilikuwa ukisex tu na mimba imooo. Lakini imetumia neno kumjua akamjua alipomjua ikiwa inamaana ya kusex au kumgonga mwanamke kama tulivozoea

Bible haifichi ila watu wanapenda kusema maneno yanayohusu ngono kwenye kila fumbo la kuhusu jinsia mbili.
 
Ifike hatua mjue kuwa biblia haifichagi kitu na zamani au maandiko yanavoeleza ilikuwa ukisex tu na mimba imooo. Lakini imetumia neno kumjua akamjua alipomjua ikiwa inamaana ya kusex au kumgonga mwanamke kama tulivozoea

Bible haifichi ila watu wanapenda kusema maneno yanayohusu ngono kwenye kila fumbo la kuhusu jinsia mbili.
Una maana gani,, kwamba tunda ni uke wa mwanamke??
 
Hapana tunda ni tunda la mti na huo mti upo katikati ya bustani ya eden na ni tunda LA uzima sio LA anasa wala starehe lakini ni tamu sana

Sijaonja ila maelezo ya Bible[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante kwa ufafanuzi ila naona bado hujanipata
-ni nani alimwambia Adam kama wako uchi?
-kwanini kwenye mwili mzima walifunika 'sehemu za siri tu' (na kwanini ziitwe sehemu za siri?)
Kwanini kanisani dhambi inayokufanya utengwe ama kwanini kuna ibada maalum ya kurudishwa kundini ukizaa bila ndoa?
Hakuna sehemu kwenye bible inayosema walifunika sehemu za siri tu, mistari inasema Mungu aliwatengenezea magome ya miti wavae, yalicover sehemu zipi za mwili haijasemwa.
Kumbuka, kabla ya kula tunda la mti wa ujuvi wa mema na mabaya, Adam na Eve hawakuwa na utashi. Waliishi kama wanyama. Ndio kusema kuwa kama mbwa wangejaaliwa utashi, nao wasingefanya baadhi ya mambo hadharani, kulingana na maana ya utashi kwao. Kwa hiyo kwa kula tunda la mti wa ujuvi wa mema na mabaya, automatically wakajikuta wanajua mema na mabaya na mojawapo ya mabaya ni kukaa uchi mbele ya Mwenyezi Mungu.
Kuhusu kupata mimba na kuwa excommunicated, kumbuka pia kuwa dini ilikutana na tamaduni za watu. Until recently hata jamii ambazo hazikuwahi kupractice ukristo au uislam, ilikuwa bado ni aibu kwa binti kuzalia nyumbani kwa baba yake (kabla ya ndoa)
 
Shetani alichomwambia hawa kilitimia kwa mfano ukila tunda la mti huo utajua mema na mabaya. Ndiyo maana baada ya kula kweli alijiona yuko uchi. namjue hili lilikuwa ni pambano la shetani na Mungu akatumie ETI
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji115]
 
Back
Top Bottom