Kwa mara ya kwanza Eva alikuka pekeyake Adamu hakuwepo, sex gani inafanywa na mtu mmoja?
Evea alimshawiahi Adam wale tunda la mti wa Kati,,
Shetani ndy alimshawiahi Eva akiwa peke yake,,
Na aliambiwa lile tunda la mti wa kati ndy tamu na ndy lenye uzima wa milele.
Baada ya kula wakajikuta wapo uchi,,
Je tunda gani hilo ambalo leo duniani halipo?
Kama sio sex?