cheetah255
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 1,373
- 2,385
3 points za gamondi scoreboard 3-0.
Usiangalie tu ila habari ya watakachokifanya yanga utaipataSito poteza muda wangu kuangalia huu utopolo
Haiondoi ukweli kuwa ni mechi ya mtu na dadaakeUsiangalie tu ila habari ya watakachokifanya yanga utaipata
Acha uongo bwana mdogoMechi Kali sana hii....yenye ushindani halisi hapa Tanzania
Mimi kama mchambuzi nimeshindwa kutabiri mshindi ni nani coz itakuwa ni mechi ngumu sana na ya visasi
Lkn tuwaombee wananchi
Wewe ni mimi mtupuSito poteza muda wangu kuangalia huu utopolo
Round hii lazima wakae.Tutakachowafanya Singida leo ni Salaam kwa wachumba zetu kwamba 5/11/2023 tunaenda kuwaoa, kelele zimekuwa nyingi sana.
The end justifies the means!Round hii lazima wakae.
Naamini haiwezi kunyesha hadi saa 12 jioniUpdates.
Dar es Salaam is Raining.
Kuna mvua yakutosha hapa Maeneo ya Temeke
Pamoja mkuuWewe ni mimi mtupu