Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,139
- 25,415
Leo Jumatano 24.01.2024.
Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania
Kikosi cha Tanzania
Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo
Mpira Umeanza...
Tanzania ndio tumeanza ball hapa.
Dakika ya 5
Tanzania 0-0 DR Congo.
Dakika ya 10
Tanzania 0-0 DR Congo.
Tunaupiga mwingi
Dakika ya 28
Mayele kakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 30
Kona DRC wanapata Kona
Dakika ya 45
imeongezwa Moja hapa ya niongeza
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 58 tunashambulia sana tunakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 60
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 67 congo wanafanya mabadiliko ya wachezi 2 mayele anakwenda nje bakambu anaingia
Dakika ya 71
bado ni 0-0
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka himidi mao anaingia mzamiru yasini
Dakika ya 72
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 76
Samatta kachezewa rafu tunaupiga mwingi sana hapa
Dakika ya 77
Congo wamekosa goal la wazi manula katoa mpira wa hatari sana nusu uingie kambani
Dakika ya 78
Feisal Out Kibu In
Dakika ya 81
Bado ni 0-0
Dakika ya 84
DR Congo wanakosa goli la wazi wissa anapaisha mpira
Dakika ya 85
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka msuva na samatta anaingia Charles muhombwa na morice Abraham
Dakika ya 88
Tumekosa nafasi ya wazi
Dakika ya 90 zimeongezwa dakika 4 za niongeza
Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania
Kikosi cha Tanzania
Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo
Mpira Umeanza...
Tanzania ndio tumeanza ball hapa.
Dakika ya 5
Tanzania 0-0 DR Congo.
Dakika ya 10
Tanzania 0-0 DR Congo.
Tunaupiga mwingi
Dakika ya 28
Mayele kakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 30
Kona DRC wanapata Kona
Dakika ya 45
imeongezwa Moja hapa ya niongeza
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 58 tunashambulia sana tunakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 60
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 67 congo wanafanya mabadiliko ya wachezi 2 mayele anakwenda nje bakambu anaingia
Dakika ya 71
bado ni 0-0
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka himidi mao anaingia mzamiru yasini
Dakika ya 72
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 76
Samatta kachezewa rafu tunaupiga mwingi sana hapa
Dakika ya 77
Congo wamekosa goal la wazi manula katoa mpira wa hatari sana nusu uingie kambani
Dakika ya 78
Feisal Out Kibu In
Dakika ya 81
Bado ni 0-0
Dakika ya 84
DR Congo wanakosa goli la wazi wissa anapaisha mpira
Dakika ya 85
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka msuva na samatta anaingia Charles muhombwa na morice Abraham
Dakika ya 88
Tumekosa nafasi ya wazi
Dakika ya 90 zimeongezwa dakika 4 za niongeza