FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Kiukweli tungewaacha singida waende fainali maana wameonyesha kuitaka kuliko Simba.
Hakuna sababu yakuwaacha.

Huu utakuwa udhaifu ujue tuna kikosi chote hapo.
Kasoro Kibu, Inonga, Chama na Mzamiru.
 
Back
Top Bottom