Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Mzee thanks so much about the info maana I have heard so many sickening stories about these people with them being associated with devil worshipping.
There are so many things about religion that is too hard to understand.The Catholics with Opus Dei and so many other stories about Mary Magdalene and Jesus are among some very contradicting things!

Nadhani kumwita mtu devil worshipper si sahihi kwa wataalamu wa demokrasia.
Lugha sahihi ni kumwita mtu asiyeabudu Mungu unayemwabudu wewe.Sababu huyo anayeabudu devil kwake huyo devil ndiye Mungu na huyo wako kwake ni devil.

Mfano mimi ni mpagani na nimebobea kwenye upagani.Kulikuwa na mjadala mkali wakishindana wapagani na wakristo AMSTERDAM ambapo wapagani waabudu shetani waliambiwa kuwa mbinguni kuna mwanga wakawakatalia wakristo wakawataka wakristo wawathibitishie. Wakristo walihangaika sana kUTHIBITISHA.Ilipofika zamu ya wapagani wakasema wanaamini mbinguni kuna giza kwa sababu hakuna moto uwakao ila jehanamu kuna mwanga kwa sababu kuna moto uwakao katika ziwa la moto milele na milele na penye moto hapakosi mwanga.Wapagani wakasema hawako tayari kukaa mbinguni kwenye giza.

Huo ni mfano mdogo wa kukuonyesha tu kuwa unayemwona wewe anaabudu shetani kwake yeye anaona anaabudu Mungu.Hivyo ni vizuri kusema mtu asiyeabudu Mungu unayeabudu wewe.Badala ya kutumia lugha kali za kuita watu ma-devil worshipper

Ndiyo maana katiba za nchi zimetoa uhuru wa kuabudu.Hazisemi uhuru wa kuabudu Mungu la hasha zinaishia kusema tu mtu ana uhuru wa kuabudu.Kitu gani anaabudu kama ni Mungu,shetani au kenge hilo si suala la serikali,katiba ya nchi,bunge au mahakama.Anachoabudu mtu hakitajwi katika katiba ni siri yake.Mtu yuko huru kujiabudu,kuabudu mavi yake akitaka au hata kumtangaza hawara yake kuwa ni mungu asitahiliye kuabudiwa.Ndio maana kitendo cha kuingiza Mungu wa Waislamu au wakristo atambuliwe katika katiba hakikubaliki.Katiba inabidi iishie tu kusema mtu ana uhuru binafsi wa kuabudu.

Hata wimbo wa taifa unaimbwa Mungu ibariki afrika.Ni mungu gani huyo? Kwa mwabudu mavi atakuwa anaimba akimaanisha mungu mavi,kwa devil worshipper akiimba mungu atakuwa akimaanisha Shetani ambaye ndiye mungu wake,Kwa mwislamu akiimba atakuwa akimaanisha Allah,Kwa mkristo akiimba anamanisha Yehova n.k Kwa yule aabuduye mbwa akiimba atakuwa akiimba akitaja Mungu anamaanisha mbwa wake anayemwabudu. Kwa hiyo kila mtu akiimba wimbo wa taifa Mungu amtajaye ni yule amjuaye yeye.

Waliotunga wimbo wa Taifa ni watu wenye akili mno.Wataalamu wa demokrasia waliobobea ambao walijua kila mtu wa kila dini waweza ungana kuimba wimbo mmoja wakiwa na imani tofauti kila mmoja akimtaja Mungu wake bila kugombana waimbapo huo wimbo.

Ni ushauri tu usimwite mtu devil worshipper mwite mtu asiyeabudu Mungu umwaduye wewe.Sababu huyo shetani kumbuka kwake ni mungu wake.

kuhusu swala la kujiunga na free masons si rahisi.Kuna viingilio na annual fees ambazo kwa mtanzania wa kawaida si rahisi kuingia.Kuna secret society moja marekani niliambiwa annual membership subscription yake kwa mwaka ni dola 100,000 kwa hesabu za haraka ni kama shilingi milioni 120 za Tanzania.Watanzania wangapi waweza jiunga.

Hata free masons si rahisi kuingia.Zina gharama kubwa watanzania wengi hawawezi kujiunga nazo ni wachache sana waweza kuingia.Ni matajiri wakubwa na wenye nazo ndio wanaweza.Free Masons si sehemu ya akina yahe wanaotafuta kuganga njaa baada ya kupigika na maisha.

Secret society hazihangaiki kutafuta waumini kama makanisa na misikiti wahangaikavyo.Hawana njaa ya wafuasi ndio maana hawajitangazi wala kuzurura huko na huko kusaka wafuasi.
 
kuhusu swala la kujiunga na free masons si rahisi.Kuna viingilio na annual fees ambazo kwa mtanzania wa kawaida si rahisi kuingia.Kuna secret society moja marekani niliambiwa annual membership subscription yake kwa mwaka ni dola 100,000 kwa hesabu za haraka ni kama shilingi milioni 120 za Tanzania.Watanzania wangapi waweza jiunga.

Hata free masons si rahisi kuingia.Zina gharama kubwa watanzania wengi hawawezi kujiunga nazo ni wachache sana waweza kuingia.Ni matajiri wakubwa na wenye nazo ndio wanaweza.Free Masons si sehemu ya akina yahe wanaotafuta kuganga njaa baada ya kupigika na maisha.

Secret society hazihangaiki kutafuta waumini kama makanisa na misikiti wahangaikavyo.Hawana njaa ya wafuasi ndio maana hawajitangazi wala kuzurura huko na huko kusaka wafuasi.
You nailed it brother!
 
Nadhani kumwita mtu devil worshipper si sahihi kwa wataalamu wa demokrasia.
Lugha sahihi ni kumwita mtu asiyeabudu Mungu unayemwabudu wewe.Sababu huyo anayeabudu devil kwake huyo devil ndiye Mungu na huyo wako kwake ni devil.

Mfano mimi ni mpagani na nimebobea kwenye upagani.Kulikuwa na mjadala mkali wakishindana wapagani na wakristo AMSTERDAM ambapo wapagani waabudu shetani waliambiwa kuwa mbinguni kuna mwanga wakawakatalia wakristo wakawataka wakristo wawathibitishie. Wakristo walihangaika sana kUTHIBITISHA.Ilipofika zamu ya wapagani wakasema wanaamini mbinguni kuna giza kwa sababu hakuna moto uwakao ila jehanamu kuna mwanga kwa sababu kuna moto uwakao katika ziwa la moto milele na milele na penye moto hapakosi mwanga.Wapagani wakasema hawako tayari kukaa mbinguni kwenye giza.

Huo ni mfano mdogo wa kukuonyesha tu kuwa unayemwona wewe anaabudu shetani kwake yeye anaona anaabudu Mungu.Hivyo ni vizuri kusema mtu asiyeabudu Mungu unayeabudu wewe.Badala ya kutumia lugha kali za kuita watu ma-devil worshipper

Ndiyo maana katiba za nchi zimetoa uhuru wa kuabudu.Hazisemi uhuru wa kuabudu Mungu la hasha zinaishia kusema tu mtu ana uhuru wa kuabudu.Kitu gani anaabudu kama ni Mungu,shetani au kenge hilo si suala la serikali,katiba ya nchi,bunge au mahakama.Anachoabudu mtu hakitajwi katika katiba ni siri yake.Mtu yuko huru kujiabudu,kuabudu mavi yake akitaka au hata kumtangaza hawara yake kuwa ni mungu asitahiliye kuabudiwa.Ndio maana kitendo cha kuingiza Mungu wa Waislamu au wakristo atambuliwe katika katiba hakikubaliki.Katiba inabidi iishie tu kusema mtu ana uhuru binafsi wa kuabudu.

Hata wimbo wa taifa unaimbwa Mungu ibariki afrika.Ni mungu gani huyo? Kwa mwabudu mavi atakuwa anaimba akimaanisha mungu mavi,kwa devil worshipper akiimba mungu atakuwa akimaanisha Shetani ambaye ndiye mungu wake,Kwa mwislamu akiimba atakuwa akimaanisha Allah,Kwa mkristo akiimba anamanisha Yehova n.k Kwa yule aabuduye mbwa akiimba atakuwa akiimba akitaja Mungu anamaanisha mbwa wake anayemwabudu. Kwa hiyo kila mtu akiimba wimbo wa taifa Mungu amtajaye ni yule amjuaye yeye.

Waliotunga wimbo wa Taifa ni watu wenye akili mno.Wataalamu wa demokrasia waliobobea ambao walijua kila mtu wa kila dini waweza ungana kuimba wimbo mmoja wakiwa na imani tofauti kila mmoja akimtaja Mungu wake bila kugombana waimbapo huo wimbo.

Ni ushauri tu usimwite mtu devil worshipper mwite mtu asiyeabudu Mungu umwaduye wewe.Sababu huyo shetani kumbuka kwake ni mungu wake.

kuhusu swala la kujiunga na free masons si rahisi.Kuna viingilio na annual fees ambazo kwa mtanzania wa kawaida si rahisi kuingia.Kuna secret society moja marekani niliambiwa annual membership subscription yake kwa mwaka ni dola 100,000 kwa hesabu za haraka ni kama shilingi milioni 120 za Tanzania.Watanzania wangapi waweza jiunga.

Hata free masons si rahisi kuingia.Zina gharama kubwa watanzania wengi hawawezi kujiunga nazo ni wachache sana waweza kuingia.Ni matajiri wakubwa na wenye nazo ndio wanaweza.Free Masons si sehemu ya akina yahe wanaotafuta kuganga njaa baada ya kupigika na maisha.

Secret society hazihangaiki kutafuta waumini kama makanisa na misikiti wahangaikavyo.Hawana njaa ya wafuasi ndio maana hawajitangazi wala kuzurura huko na huko kusaka wafuasi.

Mkuu naomba unielewe kwamba sijamwita mtu devil worshipper as you put it!
Nimeandika kwamba I heard them so many times being associated with devil worshipping and there is a difference between a devil worshipper and being associated with them!
 
FreeMason and the Grand Lodges in Tanzania
Katika kanuni au katiba ya hawa jamaa kuna tetetsi kuwa Jesus Christ haimjui yet wanajidai kwa uongo kwenye mission zao kuwa ni kuwapatia brotherly love those who need assistance and are stressed na hapa tu kwa kuanza they are ANTI-CHRISTS.

Kuna tetesi pia kuwa hawa jamaa ambao wana imani ya siri na pengine ya kishetwani kuliko kitu chochote, uongozi wa dunia unawahusu?

Tutathmini je hapa nyumbani wapo waliomo?

Je kwa kuwa moja ya kanuni zao ni kutomwadhibu Brother mwenzao na kumtetea kwa nguvu zote hata kwa mambo mabaya yanayomkuta (repercations), isipokuwa kupoteza maisha ya mtetezi, na kwa kuwa Tanzania kuna mengi yametokea na moja ya kanuni hizi zinaonekana kufuatwa kwa makini. Tunawezaje kujiaminisha kuwa waabudu hawa shetwani hawamo katika uongozi katika sekta zote; dini, serikali etc?

This is a matter of serious concern than the EPA, RICHMOND, MEREMETA, MADINI SECTOR because it might be the source of all EVILS.

Tuchangie kwa utafiti wa kina na mwisho tuwatambue na kuwarudisha makundini.
 
Originally Posted by Ibrah
Maxence,



Lakini naomba nikufahamishe kidogo kuhusiana na alama ya nyoka anayening'inia kwenye mti. Nyoka yule anayening'inia kweny mti kwanye logo ya Muhimbili ni replication ya kwenye Biblia baada ya Musa kumwinua nyoka wa shaba na kumtundika mtini ambapo kila mtu aliyeng'atwa na nyoka za sumu zilizotumwa kuwaua Waisraeli baada ya kuabudu sanamu badala ya Mungu na kufanya uzinzi pale jangwani. Kila mtu aliyeng'atwa na akamwangalia nyoka wa shaba aliyetundikwa mtini alipona.

Nadhani hiyo ndiyo rationale ya yule nyoka kwenye logo ya Chuo cha Tiba Muhimbili.



Thanks Ibrah;

Kwa sis wa-tiba, alama hiyo pia inatokana ile Venom (Sumu) ya nyoka iliyokuwa ikitumika hasa wakati uliopita ambayo ina uwezo wa kutumika kutengeneza tiba za aina nyingi


Yule aliye kwa logo ya Muhimbili si nyoka ni mnyoo aitwae Drancuculus medinensis na amechangia kwa kiasi kikubwa utafiti na development katika nyanja ya tiba.

We need not to connect unknown dots to make out a news. And plaese again please! Research before pasting or downloading your misinformation from your brain to this holy forum

Thanks
 

Thanks Ibrah;

Kwa sis wa-tiba, alama hiyo pia inatokana ile Venom (Sumu) ya nyoka iliyokuwa ikitumika hasa wakati uliopita ambayo ina uwezo wa kutumika kutengeneza tiba za aina nyingi

Highlights in RED is mere lie and you should conferess or remove the post and read below

The logo is called the "Rod of asclepius" and you can Google it for more details.

..............
Dracunculus medinensis
Dracunculiasis, more commonly known as Guinea worm disease (GWD) or Medina Worm, is a parasitic infection caused by the nematode, Dracunculus medinensis. The name, dracunculiasis, is derived from the Latin "affliction with little dragons".[1] The common name "Guinea worm" appeared after Europeans first saw the disease on the Guinea coast of West Africa in the 17th century.[2] The painful, burning sensation experienced by the infected patient has led to the disease being called "the fiery serpent". Once prevalent in 20 nations in Asia and Africa, the disease remains endemic in only five countries in Sub-Saharan Africa. It is hoped that Guinea worm disease will be the first parasitic disease to be eradicated and the first disease in history eradicated through behavior change, without the use of vaccines or a cure.[3] Guinea worm disease is only contracted when a person drinks stagnant water contaminated with the larvae of the Guinea worm. There is no animal or environmental reservoir of D.medinensis. The infection must pass through humans each year.[3]

Treatment

The ancient symbol of medicine, the staff of Asklepios, is believed to also represent the treatment of Guinea worm still used today.There is no vaccine or medicine to treat or prevent Guinea worm disease. Once a Guinea worm emerges a person must wrap the live worm around a piece of gauze or a stick to extract it from the body. This long, painful process that can take up to a month.[3] This is the same treatment that is noted in the famous ancient Egyptian medical text, the Ebers papyrus from 1550 B.C..[2] Some people have said that extracting a Guinea worm feels like they are being stabbed or that the afflicted area is on fire.[7][8]

Although Guinea worm disease is usually not fatal, the wound where the worm emerges could develop a secondary bacterial infection such as tetanus, which may be life-threatening—a concern in endemic areas where there is typically limited or no access to health care.[9] Analgesics can be used to help reduce swelling and pain and antibiotic ointments can help prevent secondary infections at the wound site.[4]


[edit] Endemic areas
In 1986, there were an estimated 3.5 million cases of Guinea worm in 20 endemic nations in Asia and Africa.[3] Due to prevention and health education efforts, by the end of 2007, there were fewer than 10,000 cases in five nations in Africa: Sudan, Ghana, Nigeria, Niger, and Mali, and as of June 2008, cases had been reduced by more than 50 percent compared to the same period of 2007.[10][11][12] Guinea worm disease is expected to be the next disease after smallpox to be eradicated.[7]


For more readings and to see the sign go to Dracunculiasis - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Wewe usiongee vitu usivyovijua na hata kuwa na maarifa navyo tafadhali

Thats the point: Weka na ongea unavyovijua wewe basi kuhusu Hili suala ndio tunataka atiii? Au siyo wana JF?
 
Kuna thread ilishawahi kuanzishwa kuhusu hawa freemansons...Wako sana tu hata hapo bongo na ndio mizizi ya ufisadi....Hiyo thread ilikuwa hapa JF na pia nafikiri kuna waliowataja watu flani flani...Nakumbuka hata Sir Andy Chande alitajwa humo....Watu kama kina GT nadhani wana insight nzuri kuhusu hili kwasababu nakumbuka mjadala ulikuwepo na wakati huo hata sijajiunga na forum hii bali nilikuwa guest nikiufuatilia mjadala huo.
Kama kuna mwenye kumbu kumbu kuhusu hili naomba anisahihishe.
 
Andy Chande katika kitabu chake "A Knight In Africa : Journey from Bukene" ameelezea uhusiano wake na Freemasons in a favorable manner, of course with him being a Grandmaster and everything.

Kitabu kiko hapa
 
Andy Chande katika kitabu chake "A Knight In Africa : Journey from Bukene" ameelezea uhusiano wake na Freemasons in a favorable manner, of course with him being a Grandmaster and everything.

Kitabu kiko hapa

akia_front.jpg width="75" height="120"

hakumshawishi Mwalimu kweli naye aingie kwenye list of shame?
 
hakumshawishi Mwalimu kweli naye aingie kwenye list of shame?

Ukimsoma utaona between the lines anasema kwamba yeye alitetea free market na kusema matatizo ya Ujamaa kabla ya implementation za Azimio la Arusha.Na pengine angesikilizwa Tanzania isingetumbukia katika umaskini ulioambatana na Ujamaa.Nyerere alikuwa anamuheshimu sana, lakini Chande hakuweza kumshawishi Nyerere.
 
Obama naye vipi??????

Kama una data mwaga mkuu...Maana naona unauliza tuu.
Ngoja tusubirie kama kuna mwenye data..Hata hivyo kuuliza kwako na hayo ma question marks inaelekea kuna rumours...Binafsi sijazisikia hizo.
 
FreeMason and the Grand Lodges in Tanzania
Katika kanuni au katiba ya hawa jamaa kuna tetetsi kuwa Jesus Christ haimjui yet wanajidai kwa uongo kwenye mission zao kuwa ni kuwapatia brotherly love those who need assistance and are stressed na hapa tu kwa kuanza they are ANTI-CHRISTS.

Kuna tetesi pia kuwa hawa jamaa ambao wana imani ya siri na pengine ya kishetwani kuliko kitu chochote, uongozi wa dunia unawahusu?

Tutathmini je hapa nyumbani wapo waliomo?

Je kwa kuwa moja ya kanuni zao ni kutomwadhibu Brother mwenzao na kumtetea kwa nguvu zote hata kwa mambo mabaya yanayomkuta (repercations), isipokuwa kupoteza maisha ya mtetezi, na kwa kuwa Tanzania kuna mengi yametokea na moja ya kanuni hizi zinaonekana kufuatwa kwa makini. Tunawezaje kujiaminisha kuwa waabudu hawa shetwani hawamo katika uongozi katika sekta zote; dini, serikali etc?

This is a matter of serious concern than the EPA, RICHMOND, MEREMETA, MADINI SECTOR because it might be the source of all EVILS.

Tuchangie kwa utafiti wa kina na mwisho tuwatambue na kuwarudisha makundini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom