freemason

Freemasonry or Masonry consists of fraternal organisations that trace their origins to the local fraternities of stonemasons that from the end of the 14th century regulated the qualifications of stonemasons and their interaction with authorities and clients. Freemasonry has been the subject of numerous conspiracy theories throughout the years. Modern Freemasonry broadly consists of two main recognition groups:

Regular Freemasonry insists that a volume of scripture be open in a working lodge, that every member profess belief in a Supreme Being, that no women be admitted, and that the discussion of religion and politics be banned.
Continental Freemasonry is now the general term for the jurisdictions that have removed some, or all, of these restrictions.The basic, local organisational unit of Freemasonry is the Lodge. These private Lodges are usually supervised at the regional level (usually coterminous with either a state, province, or national border) by a Grand Lodge or Grand Orient. There is no international, worldwide Grand Lodge that supervises all of Freemasonry; each Grand Lodge is independent, and they do not necessarily recognise each other as being legitimate.
The degrees of Freemasonry retain the three grades of medieval craft guilds, those of Apprentice, Journeyman or fellow (now called Fellowcraft), and Master Mason. The candidate of these three degrees is progressively taught the meanings of the symbols of Freemasonry and entrusted with grips, signs and words to signify to other members that he has been so initiated. The degrees are part allegorical morality play and part lecture. Three degrees are offered by Craft (or Blue Lodge) Freemasonry, and members of any of these degrees are known as Freemasons or Masons. There are additional degrees, which vary with locality and jurisdiction, and are usually administered by their own bodies (separate from those who administer the Craft degrees).

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Sababu na athari za matangazo ya kubeti, kudanga na kujiunga Freemason kuongezeka

    Matangazo ya makampuni ya kubeti, matangazo ya kujiuza (kudanga) na yale ya kujiunga na uFreemason ni mengi san Hii ni ishara mbaya sana inayoonesha kuwa umaskini umeongezeka kwa kiwango kikubwa sana na hivyo kupelekea kuongezeka kwa wahitaji (wateja) wa Freemason, kubeti na kudanga. Kama...
  2. bongo dili

    Wasabato majibu mnara wa freemason kwenye kaburi la nabii wenu Bi Hellen G White una maana Gani?

    Hili ni kaburi la Bi Hellen G White lina mnara wa Obelisk.Ukiona mnara wowote round about unamaanisha kiungo cha uzazi Cha kiume Cha Nimrodi. Nimrod mtoto wa haramu ndie aliyejenga mnara WA babel kisha Mungu akawachanganyia lugha wakasambaa duniani. Baada ya Nimrodi kuuwawa kwa kukatwa katwa...
  3. S

    Kaombeni Vibarua Jengo la Freemason Posta, Dar

    Enyi mnaosaka vibarua ndani ya JIJI la DAR, nendeni mkaombe vibarua hapo kwenye Jengo la Freemason Dar es salaam. wanafanya maboresho ya Jengo zima kuanzia Ground Floor mpaka Paa. Huwezi Jua labda Deiwaka ni laki moja kwa siku.
  4. Mhaya

    Huwapendi Freemason ila unapenda vitu vyao

    Kitu cha kwanza kitakachokupa nguvu katika dunia hii ni elimu. Utake usitake elimu ina nguvu kuliko kitu chochote kwenye hii dunia. Kwa nini Mafreemason na Illuminat wanaitawala hii dunia? Ni kwa sababu wamesoma sana. Wanajua mambo mengi mno. Ukikutana na Freemason mwenye digrii 33 na akaanza...
  5. badison

    Elon Musk is a croock freemason ushahidi umewekwa wazi the code X is debunked

    Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure. Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana. Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu...
  6. fungi06

    Je! Ni wazo sahihu kujiunga na ILLUMINANT. Zipi ni hasara za kujiunga na freemason?

    Kwa miaka mingi watu wengi wamekua wakitamani kujiunga na illuminant (Frères-Maçons of Zion). Ila wengi wamekua hawaelewi ni nani kiongozi aliye juu ya taasisi hii nyeti sana dunia. Wengi wanatamani kujiunga Illuminati ili kutafuta majina, kupata nguvu na ushawishi kwenye public, kuwa na...
  7. Clepatina

    Sijui ingekuaje kama ningepiga zile namba walizonipa wale Freemason wa Kiswedish

    Shikamoo /Mambo. Kwa mnaofuatilia story yangu ya YULE MZEE ALIHARIBU MAISHA YA MABINTI WENGI ILA YA KWANGU ALIYAHARIBU NA KUYATENGENEZA MWENYEWE ep. 4 niliandika nilivyoenda Ulaya kwa mara ya kwanza ila nikashindwa maisha ya kule nikarudi zangu. Ilikua ni Sweden na ilikua January ambapo winter...
  8. Hemedy Jr Junior

    Chanzo cha Freemason ulimwenguni

    Freemasonry ilianza kuwa katka ulimwengu 100Bc huko nyuma na (kabla ya kristo. Siri ambayo uijui nikuwa hapo zamani Nabii suleimani+ndo binadamu pekee ambaye alikuwa na utajiri mwingi hapa duniani na pia alikuwa anaongea na mwenyezi mungu moja kwa moja bila chenga. 🌍 Nabii Suleiman kutokana na...
  9. Dj Aiman

    Siri ya kitendawili cha msanii Diamond Platnumz ambayo watu wote wameshindwa kutegua

    Nasibu Abdul Juma Issaack (maarufu kwa jina la kisanii kama Diamond Platnumz;Alizaliwa Dar es Salaam, Tanzania, 2 Oktoba 1989) ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva na dansa kutoka nchini Tanzania. Ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa Kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani zaidi ya...
  10. Mtu Asiyejulikana

    Tulianza na Freemason sasa tunaendelea na upinde wa mvua

    Kama Matahira ... Huwa hatuna tunalojua. Tunapewa na kupokea na kushika kidedea. Upinde wa Mvua upo miaka mingi kabla hata Ushoga hauja wa maarufu. Leo ukiona mchoro au picha ya upinde wa mvua mtu anakwambia ni ushoga. Mimi nimekulia Tanga kuna mashoga toka miaka ya 80 huko hata hawakuwa...
  11. Aaron Arsenal

    Freemason walivyotoa pole kwa kifo cha Malkia

    Niliwahi kueleza kuhusu familia 13 za siri duniani kutoka Freemason, ikiwepo familia ya Malkia. Wengi huwa wanabeza wakidai ni consiparacy theory tu, but haya mambo ni real, sio bla blaa. Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za...
  12. Balqior

    Yani mtu uko freemason, halafu unaendesha Passo?

    Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo...
  13. Maxence Melo

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various forms all over the world, and claims millions of members. All of these various forms share moral and...
  14. kamituga

    Freemason wa enzi za Kikwete walienda wapi?

    Salaam kwenu wakuu, Kama mada ilivyo naomba kuuliza wale jamaa waliokua wanamiliki mikwanja na ndinga kali town mpaka wananzego wakaaminishwa mafanikio mpaka uwe freemason wako wapi wakati huu? Mbona uvumi wa hiyo jamii ya siri umepoa kwanini? Nao vyuma vimekaza? Au ndio walukua wazee wa...
  15. Swahili AI

    Freemasons na illuminant

    Hiki ni kitabu chenye siri nzito za Freemasons na Illuminant Ni mpango wa Shetani kuangamiza sheria ya Mungu tangu mwanzo. Shetani amekuwa akifanya vita dhidi ya amri 10 za Mungu ambazo ndicho kipimo pekee cha utii kwa Mungu. Katika vita hiyo, Shetani amekuwa akitumia mawakala wa aina...
Back
Top Bottom