Freemasonry or Masonry consists of fraternal organisations that trace their origins to the local fraternities of stonemasons that from the end of the 14th century regulated the qualifications of stonemasons and their interaction with authorities and clients. Freemasonry has been the subject of numerous conspiracy theories throughout the years. Modern Freemasonry broadly consists of two main recognition groups:
Regular Freemasonry insists that a volume of scripture be open in a working lodge, that every member profess belief in a Supreme Being, that no women be admitted, and that the discussion of religion and politics be banned.
Continental Freemasonry is now the general term for the jurisdictions that have removed some, or all, of these restrictions.The basic, local organisational unit of Freemasonry is the Lodge. These private Lodges are usually supervised at the regional level (usually coterminous with either a state, province, or national border) by a Grand Lodge or Grand Orient. There is no international, worldwide Grand Lodge that supervises all of Freemasonry; each Grand Lodge is independent, and they do not necessarily recognise each other as being legitimate.
The degrees of Freemasonry retain the three grades of medieval craft guilds, those of Apprentice, Journeyman or fellow (now called Fellowcraft), and Master Mason. The candidate of these three degrees is progressively taught the meanings of the symbols of Freemasonry and entrusted with grips, signs and words to signify to other members that he has been so initiated. The degrees are part allegorical morality play and part lecture. Three degrees are offered by Craft (or Blue Lodge) Freemasonry, and members of any of these degrees are known as Freemasons or Masons. There are additional degrees, which vary with locality and jurisdiction, and are usually administered by their own bodies (separate from those who administer the Craft degrees).
Matangazo ya makampuni ya kubeti, matangazo ya kujiuza (kudanga) na yale ya kujiunga na uFreemason ni mengi san
Hii ni ishara mbaya sana inayoonesha kuwa umaskini umeongezeka kwa kiwango kikubwa sana na hivyo kupelekea kuongezeka kwa wahitaji (wateja) wa Freemason, kubeti na kudanga.
Kama...
Hili ni kaburi la Bi Hellen G White lina mnara wa Obelisk.Ukiona mnara wowote round about unamaanisha kiungo cha uzazi Cha kiume Cha Nimrodi.
Nimrod mtoto wa haramu ndie aliyejenga mnara WA babel kisha Mungu akawachanganyia lugha wakasambaa duniani.
Baada ya Nimrodi kuuwawa kwa kukatwa katwa...
Enyi mnaosaka vibarua ndani ya JIJI la DAR, nendeni mkaombe vibarua hapo kwenye Jengo la Freemason Dar es salaam.
wanafanya maboresho ya Jengo zima kuanzia Ground Floor mpaka Paa.
Huwezi Jua labda Deiwaka ni laki moja kwa siku.
Kitu cha kwanza kitakachokupa nguvu katika dunia hii ni elimu. Utake usitake elimu ina nguvu kuliko kitu chochote kwenye hii dunia. Kwa nini Mafreemason na Illuminat wanaitawala hii dunia? Ni kwa sababu wamesoma sana. Wanajua mambo mengi mno.
Ukikutana na Freemason mwenye digrii 33 na akaanza...
Huyu tajiri ni freemason au freemanga anapenda kula vya bure.
Baada ya kubadilisha jina kutoka twitter mpaka X nia na lengo la imani yake imesha julikakana.
Ndugu zangu duniani kuna mitandao mingi mfano mjusi mark ameanzisha mtandao unaitwa threads ambayo chata yake ni 666. Hii hapa. Pia huyu...
Kwa miaka mingi watu wengi wamekua wakitamani kujiunga na illuminant (Frères-Maçons of Zion). Ila wengi wamekua hawaelewi ni nani kiongozi aliye juu ya taasisi hii nyeti sana dunia.
Wengi wanatamani kujiunga Illuminati ili kutafuta majina, kupata nguvu na ushawishi kwenye public, kuwa na...
Shikamoo /Mambo.
Kwa mnaofuatilia story yangu ya YULE MZEE ALIHARIBU MAISHA YA MABINTI WENGI ILA YA KWANGU ALIYAHARIBU NA KUYATENGENEZA MWENYEWE ep. 4 niliandika nilivyoenda Ulaya kwa mara ya kwanza ila nikashindwa maisha ya kule nikarudi zangu.
Ilikua ni Sweden na ilikua January ambapo winter...
Freemasonry ilianza kuwa katka ulimwengu 100Bc huko nyuma na (kabla ya kristo. Siri ambayo uijui nikuwa hapo zamani Nabii suleimani+ndo binadamu pekee ambaye alikuwa na utajiri mwingi hapa duniani na pia alikuwa anaongea na mwenyezi mungu moja kwa moja bila chenga.
🌍 Nabii Suleiman kutokana na...
Nasibu Abdul Juma Issaack (maarufu kwa jina la kisanii kama Diamond Platnumz;Alizaliwa Dar es Salaam, Tanzania, 2 Oktoba 1989) ni mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva na dansa kutoka nchini Tanzania.
Ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa Kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani zaidi ya...
Kama Matahira ... Huwa hatuna tunalojua. Tunapewa na kupokea na kushika kidedea. Upinde wa Mvua upo miaka mingi kabla hata Ushoga hauja wa maarufu.
Leo ukiona mchoro au picha ya upinde wa mvua mtu anakwambia ni ushoga. Mimi nimekulia Tanga kuna mashoga toka miaka ya 80 huko hata hawakuwa...
Niliwahi kueleza kuhusu familia 13 za siri duniani kutoka Freemason, ikiwepo familia ya Malkia. Wengi huwa wanabeza wakidai ni consiparacy theory tu, but haya mambo ni real, sio bla blaa.
Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za...
Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo...
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various forms all over the world, and claims millions of members. All of these various forms share moral and...
Salaam kwenu wakuu,
Kama mada ilivyo naomba kuuliza wale jamaa waliokua wanamiliki mikwanja na ndinga kali town mpaka wananzego wakaaminishwa mafanikio mpaka uwe freemason wako wapi wakati huu?
Mbona uvumi wa hiyo jamii ya siri umepoa kwanini? Nao vyuma vimekaza?
Au ndio walukua wazee wa...
Hiki ni kitabu chenye siri nzito za Freemasons na Illuminant
Ni mpango wa Shetani kuangamiza sheria ya Mungu tangu mwanzo. Shetani amekuwa akifanya vita dhidi ya amri 10 za Mungu ambazo ndicho kipimo pekee cha utii kwa Mungu. Katika vita hiyo, Shetani amekuwa akitumia mawakala wa aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.