wakuu..
nimepita kwenye hiyo sura inayozungumzia freemason kunako kitabu cha Sir Chande(thanks to Pundit) na sidhani kama Sir Chande anatatua tatizo lolote hapa kwenye uelewa wetu husiana na hao jamaa.
anajitetea tu na kugusia activities 'safi' za masons,hakuna zaidi.
nimepita kwenye hiyo sura inayozungumzia freemason kunako kitabu cha Sir Chande(thanks to Pundit) na sidhani kama Sir Chande anatatua tatizo lolote hapa kwenye uelewa wetu husiana na hao jamaa.
anajitetea tu na kugusia activities 'safi' za masons,hakuna zaidi.