EdygarMassawe
New Member
- Dec 12, 2019
- 4
- 2
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.
#NoHateNoFear
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na mazuri yake yote, hapa Mbowe hayuko serious hata kidogo.Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.
#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
View attachment 1290342
Hii ndo tofauti ya ubora wa wanasiasa wa upinzani TZ na wale wa Kenya. Pale Kenya pamoja na vituko alivyofanyiwa Odinga, hatukusikia maneno yenye immaturity kiasi hiki.Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.
#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
View attachment 1290342
Ccm wamekosea timing ya uhuni waliofanya kilichofanyika kilindi chanuchaguzi mdogo kilitakiwa kufanya 2020 Sasa mwenzao kaweka wazi yuko ready kwa maridhiano na na katangazia umma kama hawa yako maridhiano wao hawatakubali kunyanyasikaSure but when the oppressed shout out they must do it at the right time, place and odiance. Do yu think he shouted at the right time and place???
nidhamu ya uwoga kwa MTU anaye jiita kamanda mkuu..hayo si angeyasema ile siku ya Uhuru pale mwanzaNajua Jiwe atajibu kauli hii kwa kiburi na kejeli, ila uzuri ni kwamba ujumbe umemfikia.
Na kweli hakupiga magotiMzee Mbowe ameongea hii kauli kusafisha taswira yake iliyochafuka siku chache zilizopita. Ili kuonesha umma kwamba hakupiga magoti kwa Raisi Magufuli, atalazimika kujitutumua na kufanya vitu vya hatari ili kuthibitisha kwamba haogopi mtu.
Mh. Mbowe endelea kuwadanganya wanaufipa ili uendelee kula ruzuku na mavuvuzela ya ufipa yaendelee kushangilia siku ile ulipokodi ndege kwenda kujipendekeza kwa Rais Magufuli vuvuzela walishangilia hata sasa kwa kauli hii yatashangilia ikifika tena 2020 ukiona umebanwa tena tangaza kujitoa watashangilia tena.
DJ anajua kutumia fursa vizuri mfanyabiashara yuleMbona mbowe anajitejenya alafu anacheka mwenyewe
Umeonae wamefeli sana hao kiukweliMmeongea na huyo katibu mkuu wa UN kakubali au ni ndoto? Mnaacha kupigania haki wenyewe mnamuota huyokatibu. Mmeshafeli vibaya kama mna mawazo ya hovyo hivo.
Hayafutiki kabisa hayo imekula kwakeHapa kinacho onekana ni Mbowe anajaribu kuyafuta maneno aliyoyasema kwenye sherehe za uhuru!
Pesa azitoe wapi ndio ameshafeliSwala ni rahisi sana, atowe pesa za semina kwa wagombea wake ili wasirudie makosa waliofanya 2019. Vinginevyo ni kutakina ubaya.