Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,913
- 93,663
Ngoja tuoneImekaa mokide kabisa
Ngoja tuoneImekaa mokide kabisa
Mbona huna point hata moja? Unandika ukurasa zima pointlessAtawachoka tu na yeye huyo ‘bi-tozo’ ipe muda. Hawanaga ushawishi zaidi ya maandamano, ayakuzuiwa burebure huko nyuma. Lakini pia hii si serikali pia labda ndio maana...
Ngumu kuelewa kwa sasa, subiri muda ufike.Mbona huna point hata moja? Unandika ukurasa zima pointless
Mnaacha kuhamasisha watu wakafanye kazi mnahamasisha waandamane? Samia anawafanyia mzaha sana.Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini...
Hivi Yale maandamano yaliyofanyika Dar hayakupeleka ujumbe? Ujumbe uliotumwa kwa KM UN haukufanyiwa kazi?Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema chama hicho kitaingia kwenye awamu nyingine ya Maandamano yatakayofanyika kwenye makao makuu yote ya mikoa nchini, maarufu kama wiki ya Maandamano yatakayofanyika kuanzia Aprili 22-30, 2024.
Aidha, amewatangazia Diaspora kufanya maandamano makubwa kwenye miji mikubwa Duniani kupeleka Ujumbe duniani juu ya mambo yanayoendelea nchini.
Kamati kuu ya Chama hicho imepanga wiki hiyo ili kuwapa nafasi waumini wa dini zote kumaliza mfungo wao.
Mimi mwenyewe nashangaa sana! Demokrasia niliyoiona ACT Wazalendo ni ya hali ya juu sana! Ila cha kushangaza huyu mzee wa Kishumundu a.k.a Makengeza daily yuko pale na hataki kutoka! Ujinga ujinga wa maandamano ni kutafuta huruma kwa wananchi!Hao nyumbu hawana kazi za kufanya. Zito mtoto mdogo ameshaachia ngazi huyo makengeza anahangaika na maandamano. Ni mbinafsi sana.
Ni mwendo wa matukio tu, agenda hakuna.Kikokotoo na NHIF, yaani hoja haziishi.
Agenda ni zile zinazowafurahisha ccm.Ni mwendo wa matukio tu, agenda hakuna.
Kwa akili yako matatizo ya nchi hii ni Umeme na Sukari tuu ?! Kwa akili yako inavyo waza ?!Kwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
Hii ya kushikia bango Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya Mkuranga kwa kweli inachekesha sana.Kwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
Watanzania wanataka kusikia sera zenu siyo maandamano.Mama pole na maumivu
Najua hapo ulipo nafsi inakusuta kwa kuandika uongo.
Ni kuomba Mola kumuepusha mzee mbowe na wanaotaka uwenyekiti wa ChamaNiko interested kujua ni nini madai namba moja ya hayo maanadamano!
Maswali yako yanaakisi jina lakoKwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
Hao ndio wanasiasa wetu wa bongo, kukimbizana na matukio ili watrend mitandaoni kama kina Mwijaku, baba levo nk.Hii ya kushikia bango Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya Mkuranga kwa kweli inachekesha sana.
Yani mpaka najiuliza hawa hawa ndio watakuja kudai katiba mpya? Au hawa tofauti?
Duniani kuna mambo!Kwa sasa maandamano yenu yataegemea hoja ipi baada ya umeme na sukari kuanza kupatikana?
Au mtajitika katika swala la hayati mzee Mwinyi kuzikiwa Zanzibar badala ya kwao Mkuranga?
To be fair lakini hakuna kiongozi wa CHADEMA wa kitaifa aliyelishikia bango hilo, hao vi watu wa mitandaoni tu.Hao ndio wanasiasa wetu wa bongo, kukimbizana na matukio ili watrend mitandaoni kama kina Mwijaku, baba levo nk.
Swala la kudai katiba hawana umuhimu nalo. Lenye umuhimu kwao ni hilo la Mwinyi kuzikwa Mkuranga, au kung'ang'ania katika msiba wa Lowasa kuwa hakutajwa kuwa aliwahi kujiunga upinzani nk.